< Isaya 38 >

1 Siku zile Hezekia alikuwa anaumwa karibia na kufa. Hivyo Isaya mtoto wa Amozi, nabii alikuja kwake na kumwambia, ''Yahwe amesema, 'panga mambo yako maana utakufa, hautaishi.'
En ce temps-là, Ézéchias fut malade à la mort. Le prophète Isaïe, fils d’Amos, vint auprès de lui et lui dit: « Ainsi dit Yahweh: Donne tes ordres à ta maison, car tu vas mourir, et tu ne vivras plus. »
2 'Halafu Hezekia akaugeukia ukuta na akamuomba Yahwe.
Ézéchias tourna son visage contre le mur et pria Yahweh; il dit:
3 Na akasema, ''samahani Yahwe, kumbuka jinsi nilivyoenenda kwa uaminifu mbele zako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya matendo mema katika macho yako.'' Na Hezekia akalia kwa sauti.
« Souvenez-vous, ô Yahweh, que j’ai marché devant votre face avec fidélité et intégrité, et que j’ai fait ce qui est bien à vos yeux! » Et Ézéchias versa des larmes abondantes.
4 Basi neno la Yawe likamjia Isaya, na kusema,
Et la parole de Yahweh fut adressée à Isaïe en ces termes:
5 ''Nenda ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ''Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi babu yenu, amesema: Nimeyasikiliza maombi yako, na nimeyaona machozi yako. Ona ninakaribia kuongeza miaka kumi na tano katika maisha yako.
« Va, et dis à Ézéchias: « Ainsi dit Yahweh, le Dieu de David, ton père: J’ai entendu ta prière, j’ai vu tes larmes; voici que j’ajouterai à tes jours quinze années.
6 Na nitakukomboa wewe pamoja mji huu kutoka kwenye mkono wamfalme wa Asiria, na nitaulinda huu mji.
Je te délivrerai, toi et cette ville, de la main du roi d’Assyrie; je protégerai cette ville.
7 Na hii itakuwa alama kwako kutoka kwangu, Yahwe, kwamba nitafanya nilichokisema:
Et voici pour toi le signe donné par Yahweh, auquel tu connaîtras que Yahweh accomplira cette parole qu’il a dite:
8 Angalia, nitasababisha kimvuli katika nyumba ya Ahazi kwenda nyuma hautua kumi.'' hivvyo basi kivuli kilirudi nyuma hatua kumi juu ya nyumba iliyopanda juu.
Voici que je vais faire reculer l’ombre en arrière, des degrés qu’elle a descendus sur les degrés d’Achaz sous l’ influence du soleil, soit de dix degrés. Et le soleil recula de dix degrés sur les degrés qu’il avait descendus.
9 Haya ndiyo maandishi ya maombi ya Hezekia mfalme wa Yuda, alipokuwa anaumwa halafu akapona:
Écrit d’Ézéchias, roi de Juda, lorsqu’il fut malade et qu’il guérit de sa maladie:
10 ''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol h7585)
Je disais: Dans la paix de mes jours je m’en vais aux portes du schéol; je suis privé du reste de mes ans! (Sheol h7585)
11 Nikasema sitamuona tena Yahwe, Yahwe kaika nchi ninayoishi; sitaangalia watu tena au wenyeji wa dunia hii.
Je disais: Je ne verrai plus Yahweh, Yahweh sur la terre des vivants; je ne verrai plus les hommes, parmi les habitants du silencieux séjour!
12 Maisha yangu yameondolea na kupelekwa mbali na mimi kama hema la mchungaji; Niliyakunja maisha yangu juu kama mfumaji; ameniondoa katika kifungo; kati ya mchana na usiku ameyakomesha maisha yangu.
Ma demeure est enlevée, emportée loin de moi comme une tente de bergers. Comme un tisserand, j’ourdissais ma vie; il me retranche du métier! Du jour à la nuit tu en auras fini avec moi!
13 Nililia mpaka asubuhi; kama simba anaivunja mifupa yangu. Kati ya usiku na mchana ameyakomesha maisha yangu.
Je me suis tu jusqu’au matin; comme un lion, il brisait tous mes os; du jour à la nuit tu en auras fini avec moi!
14 Kama mbayuwayu ndivyo nilivyolia; nililia kama njiwa; macho yangu yalichoka kuangalia juu. Bwana ninateseka; nisaidie mimi.
Comme l’hirondelle, comme la grue, je crie; je gémis comme la colombe; mes yeux se sont lassés à regarder en haut: « Yahweh, on me fait violence; sois mon garant! »
15 Niseme nini? wote wameongea na mimi na amefanya hivyo; Nitatembea taratibu miaka yangu yote maana ninayashinda kwa huzuni.
Que dirais-je? Il m’a dit, il l’ a fait. Je marcherai humblement pendant toutes mes années, me souvenant de l’amertume de mon âme.
16 Bwana, mateso uliyoyatuma ni mazuri kwangu; ikiwezekana nirudishiwe tena maisha yangu; umeyahifadhi maisha maisha yangu na afya yangu.
Seigneur, c’est en cela qu’est la vie, en tout cela est la vie de mon esprit. Vous me guérissez, vous me rendez la vie:
17 Ni kwa faida yangu kwamba nimwpitia huzuni kama hii. Umenikomboa kutoka kwenye shimo la uharibifu; maana umetupa dhambi zangu nyuma yako.
voici que ma suprême amertume se change en paix! Vous avez retiré mon âme de la fosse de perdition; vous avez jeté derrière votre dos tous mes péchés.
18 Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol h7585)
Car le schéol ne vous célèbre pas, la mort ne chante pas vos louanges; ceux qui descendent dans la fosse n’espèrent plus en votre fidélité. (Sheol h7585)
19 Mtu anayeishi, mtu anayeishi, ndiye anayekushukuru wewe, kama ninavyofanya leo; baba atawjulisha watoto uaminifu wako.
Le vivant, le vivant, c’est lui qui vous célèbre, comme je le fais en ce jour; père fera connaître à ses enfants votre fidélité.
20 Yahwe anakarbia kunikomboa mimi, na tutasherekea kwa mziki siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yahwe.''
Yahweh a été prompt à me sauver; nous ferons résonner les cordes de ma harpe, tous les jours de notre vie, devant la maison de Yahweh.
21 Sasa Isaya alisema, ''Waacheni wachukue donge mitini na kuliweka kweye jipu naye atapona.
Isaïe dit: « Qu’on apporte une masse de figues, et qu’on l’applique sur l’ulcère et que le roi guérisse! »
22 ''Hezekia pia alisema, ''Je ni ishara gan ya kwamba nitaiende juu katika nyumba ya Yahwe?''
Et Ézéchias dit: « À quel signe connaîtrai-je que je monterai à la maison de Yahweh? »

< Isaya 38 >