< Isaya 38 >

1 Siku zile Hezekia alikuwa anaumwa karibia na kufa. Hivyo Isaya mtoto wa Amozi, nabii alikuja kwake na kumwambia, ''Yahwe amesema, 'panga mambo yako maana utakufa, hautaishi.'
in/on/with day [the] they(masc.) be weak: ill Hezekiah to/for to die and to come (in): come to(wards) him Isaiah son: child Amoz [the] prophet and to say to(wards) him thus to say LORD to command to/for house: household your for to die you(m. s.) and not to live
2 'Halafu Hezekia akaugeukia ukuta na akamuomba Yahwe.
and to turn: turn Hezekiah face his to(wards) [the] wall and to pray to(wards) LORD
3 Na akasema, ''samahani Yahwe, kumbuka jinsi nilivyoenenda kwa uaminifu mbele zako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya matendo mema katika macho yako.'' Na Hezekia akalia kwa sauti.
and to say Please! LORD to remember please [obj] which to go: walk to/for face: before your in/on/with truth: faithful and in/on/with heart complete and [the] pleasant in/on/with eye: seeing your to make: do and to weep Hezekiah weeping great: large
4 Basi neno la Yawe likamjia Isaya, na kusema,
and to be word LORD to(wards) Isaiah to/for to say
5 ''Nenda ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ''Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi babu yenu, amesema: Nimeyasikiliza maombi yako, na nimeyaona machozi yako. Ona ninakaribia kuongeza miaka kumi na tano katika maisha yako.
to go: went and to say to(wards) Hezekiah thus to say LORD God David father your to hear: hear [obj] prayer your to see: see [obj] tears your look! I to add upon day your five ten year
6 Na nitakukomboa wewe pamoja mji huu kutoka kwenye mkono wamfalme wa Asiria, na nitaulinda huu mji.
and from palm king Assyria to rescue you and [obj] [the] city [the] this and to defend upon [the] city [the] this
7 Na hii itakuwa alama kwako kutoka kwangu, Yahwe, kwamba nitafanya nilichokisema:
and this to/for you [the] sign: miraculous from with LORD which to make: do LORD [obj] [the] word: thing [the] this which to speak: promise
8 Angalia, nitasababisha kimvuli katika nyumba ya Ahazi kwenda nyuma hautua kumi.'' hivvyo basi kivuli kilirudi nyuma hatua kumi juu ya nyumba iliyopanda juu.
look! I to return: return [obj] shadow [the] step which to go down in/on/with step Ahaz in/on/with sun backwards ten step and to return: return [the] sun ten step in/on/with step which to go down
9 Haya ndiyo maandishi ya maombi ya Hezekia mfalme wa Yuda, alipokuwa anaumwa halafu akapona:
writing to/for Hezekiah king Judah in/on/with be weak: ill he and to live from sickness his
10 ''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol h7585)
I to say in/on/with quiet day my to go: went in/on/with gate hell: Sheol to reckon: put remainder year my (Sheol h7585)
11 Nikasema sitamuona tena Yahwe, Yahwe kaika nchi ninayoishi; sitaangalia watu tena au wenyeji wa dunia hii.
to say not to see: see LORD LORD in/on/with land: country/planet [the] alive not to look man still with to dwell world
12 Maisha yangu yameondolea na kupelekwa mbali na mimi kama hema la mchungaji; Niliyakunja maisha yangu juu kama mfumaji; ameniondoa katika kifungo; kati ya mchana na usiku ameyakomesha maisha yangu.
generation my to set out and to reveal: remove from me like/as tent to pasture my to roll like/as to weave life my from hair to cut off me from day till night to complete me
13 Nililia mpaka asubuhi; kama simba anaivunja mifupa yangu. Kati ya usiku na mchana ameyakomesha maisha yangu.
to set till morning like/as lion so to break all bone my from day till night to complete me
14 Kama mbayuwayu ndivyo nilivyolia; nililia kama njiwa; macho yangu yalichoka kuangalia juu. Bwana ninateseka; nisaidie mimi.
like/as swallow crane so to whisper to mutter like/as dove to languish eye my to/for height Lord oppression to/for me to pledge me
15 Niseme nini? wote wameongea na mimi na amefanya hivyo; Nitatembea taratibu miaka yangu yote maana ninayashinda kwa huzuni.
what? to speak: speak and to say to/for me and he/she/it to make: do to go slowly all year my upon bitter soul my
16 Bwana, mateso uliyoyatuma ni mazuri kwangu; ikiwezekana nirudishiwe tena maisha yangu; umeyahifadhi maisha maisha yangu na afya yangu.
Lord upon them to live and to/for all in/on/with them life spirit my and be healthy me and to live me
17 Ni kwa faida yangu kwamba nimwpitia huzuni kama hii. Umenikomboa kutoka kwenye shimo la uharibifu; maana umetupa dhambi zangu nyuma yako.
behold to/for peace: well-being to provoke to/for me bitter and you(m. s.) to desire soul: life my from Pit: hell without for to throw after back your all sin my (questioned)
18 Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol h7585)
for not hell: Sheol to give thanks you death to boast: praise you not to await to go down pit to(wards) truth: faithful your (Sheol h7585)
19 Mtu anayeishi, mtu anayeishi, ndiye anayekushukuru wewe, kama ninavyofanya leo; baba atawjulisha watoto uaminifu wako.
alive alive he/she/it to give thanks you like me [the] day father to/for son: child to know to(wards) truth: faithful your
20 Yahwe anakarbia kunikomboa mimi, na tutasherekea kwa mziki siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yahwe.''
LORD to/for to save me and music my to play all day life our upon house: temple LORD
21 Sasa Isaya alisema, ''Waacheni wachukue donge mitini na kuliweka kweye jipu naye atapona.
and to say Isaiah to lift: raise fig cake fig and to rub upon [the] boil and to live
22 ''Hezekia pia alisema, ''Je ni ishara gan ya kwamba nitaiende juu katika nyumba ya Yahwe?''
and to say Hezekiah what? sign: miraculous for to ascend: rise house: temple LORD

< Isaya 38 >