< Isaya 38 >
1 Siku zile Hezekia alikuwa anaumwa karibia na kufa. Hivyo Isaya mtoto wa Amozi, nabii alikuja kwake na kumwambia, ''Yahwe amesema, 'panga mambo yako maana utakufa, hautaishi.'
In the days those he became sick Hezekiah to die and he went to him Isaiah [the] son of Amoz the prophet and he said to him thus he says Yahweh command to household your for [are] about to die you and not you will live.
2 'Halafu Hezekia akaugeukia ukuta na akamuomba Yahwe.
And he turned Hezekiah face his to the wall and he prayed to Yahweh.
3 Na akasema, ''samahani Yahwe, kumbuka jinsi nilivyoenenda kwa uaminifu mbele zako kwa moyo wangu wote, na jinsi nilivyofanya matendo mema katika macho yako.'' Na Hezekia akalia kwa sauti.
And he said I beg you O Yahweh remember please this: I have walked about before you in faithfulness and with a heart complete and the good in view your I have done and he wept Hezekiah weeping great.
4 Basi neno la Yawe likamjia Isaya, na kusema,
And it came [the] word of Yahweh to Isaiah saying.
5 ''Nenda ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ''Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi babu yenu, amesema: Nimeyasikiliza maombi yako, na nimeyaona machozi yako. Ona ninakaribia kuongeza miaka kumi na tano katika maisha yako.
Go and you will say to Hezekiah thus he says Yahweh [the] God of David ancestor your I have heard prayer your I have seen tear[s] your here I he will add to days your fif-teen year[s].
6 Na nitakukomboa wewe pamoja mji huu kutoka kwenye mkono wamfalme wa Asiria, na nitaulinda huu mji.
And from [the] hand of [the] king of Assyria I will deliver you and the city this and I will defend the city this.
7 Na hii itakuwa alama kwako kutoka kwangu, Yahwe, kwamba nitafanya nilichokisema:
And this for you [will be] the sign from with Yahweh that he will do Yahweh the thing this which he has spoken.
8 Angalia, nitasababisha kimvuli katika nyumba ya Ahazi kwenda nyuma hautua kumi.'' hivvyo basi kivuli kilirudi nyuma hatua kumi juu ya nyumba iliyopanda juu.
Here I [am] about to turn back [the] shadow of the steps which it had gone down on [the] steps of Ahaz with the sun backwards ten steps and it went back the sun ten steps on the steps which it had gone down.
9 Haya ndiyo maandishi ya maombi ya Hezekia mfalme wa Yuda, alipokuwa anaumwa halafu akapona:
A writing of Hezekiah [the] king of Judah when was sick he and he lived from sickness his.
10 ''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol )
I I said in [the] half of days my let me go in [the] gates of Sheol I have been caused to miss [the] remainder of years my. (Sheol )
11 Nikasema sitamuona tena Yahwe, Yahwe kaika nchi ninayoishi; sitaangalia watu tena au wenyeji wa dunia hii.
I said not I will see Yahweh Yahweh in [the] land of the living not I will look at humankind again with [the] inhabitants of cessation.
12 Maisha yangu yameondolea na kupelekwa mbali na mimi kama hema la mchungaji; Niliyakunja maisha yangu juu kama mfumaji; ameniondoa katika kifungo; kati ya mchana na usiku ameyakomesha maisha yangu.
Dwelling-place my it has been pulled up and it has been removed from me like [the] tent of shepherd my I have rolled up like weaver life my from [the] loom he cuts off me from day unto night you make an end of me.
13 Nililia mpaka asubuhi; kama simba anaivunja mifupa yangu. Kati ya usiku na mchana ameyakomesha maisha yangu.
I have lain down until morning like lion so he breaks all bones my from day unto night you make an end of me.
14 Kama mbayuwayu ndivyo nilivyolia; nililia kama njiwa; macho yangu yalichoka kuangalia juu. Bwana ninateseka; nisaidie mimi.
Like a swallow a crane so I chirp I moan like dove they are cast down eyes my to the height[s] O Lord oppression [belongs] to me stand surety for me.
15 Niseme nini? wote wameongea na mimi na amefanya hivyo; Nitatembea taratibu miaka yangu yote maana ninayashinda kwa huzuni.
What? will I say and he has spoken to me and he he has acted I will walk deliberately all years my on [the] bitterness of self my.
16 Bwana, mateso uliyoyatuma ni mazuri kwangu; ikiwezekana nirudishiwe tena maisha yangu; umeyahifadhi maisha maisha yangu na afya yangu.
O Lord on them people live and to all in them [the] life of spirit my and may you restore to health me and preserve alive me.
17 Ni kwa faida yangu kwamba nimwpitia huzuni kama hii. Umenikomboa kutoka kwenye shimo la uharibifu; maana umetupa dhambi zangu nyuma yako.
Here! for welfare it was bitter to me bitterly and you you loved life my from [the] pit of destruction for you threw away behind back your all sins my.
18 Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol )
For not Sheol it gives thanks to you death it praises you not they hope [those who] go down of [the] pit to faithfulness your. (Sheol )
19 Mtu anayeishi, mtu anayeishi, ndiye anayekushukuru wewe, kama ninavyofanya leo; baba atawjulisha watoto uaminifu wako.
[the] living [the] living He he gives thanks to you as I this day a father to children he makes known concerning faithfulness your.
20 Yahwe anakarbia kunikomboa mimi, na tutasherekea kwa mziki siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yahwe.''
Yahweh [is] to save me and songs my we will play all [the] days of lives our at [the] house of Yahweh.
21 Sasa Isaya alisema, ''Waacheni wachukue donge mitini na kuliweka kweye jipu naye atapona.
And he said Isaiah let them take a cake of figs and let them rub [it] on the boil so he may live.
22 ''Hezekia pia alisema, ''Je ni ishara gan ya kwamba nitaiende juu katika nyumba ya Yahwe?''
And he said Hezekiah what? [will be the] sign that I will go up [the] house of Yahweh.