< Isaya 36 >

1 Katika mwaka wa kumi na nne wa mfalme Hezekia, Senacherebi, mfalme wa Asiria, alivamia miji yote ya Yuda na kuwakamata.
W czternastym roku królowania Ezechiasza Sennacheryb, król Asyrii, wyruszył przeciwko wszystkim warownym miastom Judy i zdobył je.
2 Halafu mfalme wa Asiria akamtuma kamanda mkuu na jeshi kubwa kutoka Lachishi mpaka Yerusalemu kwa mfalme Hezekia. Alipofika kwenye mfereji katika kisima cha juu, katika njia kuu na katika shamba la dobi na akasimama pale.
I król Asyrii posłał Rabszaka z Lakisz do Jerozolimy, do króla Ezechiasza, z wielkim wojskiem. Ten stanął przy kanale górnej sadzawki przy drodze pola folusznika.
3 Maofisa wa Israeli waliotumwa kuzungumza nao walikuwa ni Eliakimu mtoto wa Hilkia, kiongozi wa jumba, Shebna katibu wa mfalme, na Joa mtoto wa Asapha, anayeandika makubaliano ya serekali.
Wtedy wyszli do niego Eliakim, syn Chilkiasza, przełożony domu, i Szebna, pisarz, oraz Joach, syn Asafa, kronikarz.
4 Kamanda mkuu wa jeshi akawaambia wao, ''Mwambieni Hezekia kwamba mfalme mkuu, mfalme Asiria, asema, 'Nini chanzo cha ujasiri wako?
Wtedy Rabszak powiedział do nich: Proszę, powiedzcie Ezechiaszowi: Tak mówi wielki król, król Asyrii: Co to za ufność, na której polegasz?
5 Unaongea maneno yasiyo na maana tu, nasema kama kuna shauri na nguvu za vita. Sasa ni nani unayemuamini? na ni nani aliyekupa ujasiri wa kuniasi mimi.
[Mówisz] – ale to słowa daremne – mam dość dużo rad i siły do wojny. Teraz więc w kim pokładasz ufność, że zbuntowałeś się przeciwko mnie?
6 Tazama, umeweka imani yako Misri, maana banzi la mwanzi unalolitumia kama fimbo ya kutembelea, ikiwa mtu ataiegemea na kuishika kwenye mkono wake itamchoma. Hivyo ndovyo jinsi Farao mfalme wa Misri alivyo kwa yeyote anayemuamini.
Oto opierasz się na tej nadłamanej lasce trzcinowej – na Egipcie – która, gdy ktoś się oprze na niej, wbija mu się w dłoń i przebija ją. Taki jest faraon, król Egiptu, dla wszystkich, którzy mu ufają.
7 Lakini ikiwa utasema nami, ''Tunamwamini Yahwe Mungu wetu,''Je sio yeye ambaye Hezekia ameondosha mahali palipoinuka na madhebau, asema kwa Yuda na Yerusalemu, ''Lazima tuabudu mbele ya madhebau hii katika Yerusalemu''?
A jeśli mi powiesz: Ufamy PANU, naszemu Bogu, czy on nie jest tym, którego wyżyny i ołtarze zniósł Ezechiasz i nakazał Judzie i Jerozolimie: Przed tym ołtarzem będziecie oddawać pokłon?
8 Hivyo sasa, nataka kukufanya wewe kuwa zawadi nzuri kwa Bwana mfalme Asiria. Nitakupa farasi elfu mbili, kama utaweza kuwatafutia dereva.
Dlatego teraz proszę, daj zastaw memu panu, królowi Asyrii, a ja dam ci dwa tysiące koni, jeśli zdołasz posadzić na nich jeźdźców.
9 Ni kwa jinsi gani unaweza kumpinga moja kati ya nahodha aliye mdogo katika watumishi wa Bwana wangu? Mmeweka imani yenu Misri katika gari na farasi!
Jakże więc stawisz opór jednemu dowódcy z najmniejszych sług mego pana, a pokładasz nadzieję w Egipcie, że [otrzymasz] rydwany i jeźdźców?
10 Halafu sasa, Je nimewezaje kusafiri mpaka hapa pasipo Yahwe kupigana dhidi ya nchi hii na kuhiaribu? Yahwe asema nami, Vamia nchi hii na uhiharibu.
Poza tym czy bez woli PANA wyruszyłem przeciw tej ziemi, aby ją zniszczyć? PAN powiedział do mnie: Wyrusz przeciwko tej ziemi i spustosz ją.
11 Halafu Eliakimu mtoto wa Hilkia, na Shebna na Joa asema kwa kamanda mkuu, Tafadhali zungumza na watu wako kwa lugha ya kiashuru, maana kiashuru tunakielewa. Usiongee na sisi kwa lugha kiyahudi katika masikio ya watu ambao wako ukutani.''
Wtedy Eliakim, Szebna i Joach powiedzieli do Rabszaka: Proszę, mów do swoich sług po syryjsku, bo rozumiemy, a nie mów do nas po hebrajsku wobec ludu, który jest na murze.
12 Lakini kamanda mkuu akasema, ''Je bwana wenu ametuma kwa bwana wako na kuzungumza haya maneno? Je hajanituma kwa watu walio kaa kwenye ukuta, ili wale kinyesi chaao mwenyewe na kunywa mkojo waomwenyewe?
Lecz Rabszak odpowiedział: Czy do twego pana i do ciebie posłał mnie mój pan, abym mówił te słowa? Czyż nie do tych mężczyzn siedzących na murze, aby jedli swój kał i pili swój mocz razem z wami?
13 Halafu kamanda mkuu akasimama na kupiga kelele kwa sauti kubwa kwa lugha ya kiyahudi, na akisema,
Stał więc Rabszak i zawołał donośnym głosem po hebrajsku tymi słowami: Słuchajcie słów wielkiego króla, króla Asyrii.
14 ''Mfalme asema, ' Msimruhusu Hezekia awadanganye ninyi, maana hataweza kuwaokoa ninyi.
Tak mówi król: Niech was nie zwodzi Ezechiasz, bo nie będzie mógł was wybawić.
15 Msimruhusu Hezekia awafanye muumuamini Yahwe, Nawambieni Hakika Yahwe atatukomboa sisi; mjii huu hautachukuliwa na mfalme wa Asiria.''
A nie dajcie się przekonać Ezechiaszowi, by zaufać PANU, gdy mówi: Na pewno PAN nas wybawi i to miasto nie będzie wydane w ręce króla Asyrii.
16 Msimsikilize Hezekia, maana hivi ndivyo mfalme wa Asiria anavyosema: 'Fanyeni amani na mimi na mje kwangu. Halafu kila mmoja wenu atakula kwenye mzabibu wake mwenyewe na tunda la mti wake mwenyewe, na kunjwa maji ya kisima chake mwenyewe.
Nie słuchajcie Ezechiasza. Tak bowiem powiedział król Asyrii: Zawrzyjcie ze mną przymierze i wyjdźcie do mnie, a każdy będzie jeść ze swojej winorośli i ze swego drzewa figowego i każdy będzie pić wodę ze swojej studni;
17 Mtafanya hivi mpaka nije kuwachukua na kuwapeleka kwenye nchi kama ya kwenu. nchi ya mavuno na mvinyo mpya, nchi ya mkate na shamba.
Aż przyjdę i zabiorę was do ziemi podobnej do waszej ziemi, do ziemi zboża i wina, do ziemi chleba i winnic.
18 Msimruhusu Hezekia awapotoshe nyie, akisema, Yahwe atatuokoa nyie; Je kuna miungu ya aina yeyote ya watu iliyowakomboa kutoka mikononi mwa mfalme wa Asiria?
Niech Ezechiasz nie zwodzi was, mówiąc: PAN nas wybawi. Czy bogowie [innych] narodów mogli wybawić swoją ziemię z ręki króla Asyrii?
19 Wako wapi miungu wa Hamathi na Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu? Je wameikomboa Samaria kutoka kwenye nguvu zangu?
Gdzie są bogowie Chamatu i Arpadu? Gdzie są bogowie Sefarwaim? Czy wybawili Samarię z mojej ręki?
20 Miongoni mwa miungu yote ya nchi hii, Je kuna miungu ya aina yeyote iliyoikomboa nchi yao kutoka kwenye nguvu yangu, ni kama Yahwe anaweza kuawokoa Yerusalemu kutoka kwenye nguvu yangu?''
Którzy spośród wszystkich bogów tych ziem wybawili swoją ziemię z mojej ręki, żeby PAN miał wybawić Jerozolimę z mojej ręki?
21 Lakini watu wanabaki kimya na hawataki kujibu, maana amri ya mfalme ilikuwa, ''Msimjibu''.
Lecz lud milczał i nie odpowiedział mu ani słowa, bo taki był rozkaz króla: Nie odpowiadajcie mu.
22 Halafu Eliakimu mtoto wa Hilkia, yeye aliye juu ya kaya, Shebna mwandishi, na Joa mtoto wa Asafu, na mtunza kumbukumbu, walikuja kwa Hezekia na nguo zilizotoboka na wakapeleka maneno ya kamanda mkuu.
Wtedy przełożony domu Eliakim, syn Chilkiasza, pisarz Szebna i kronikarz Joach, syn Asafa, przyszli do Ezechiasza z rozdartymi szatami i oznajmili mu słowa Rabszaka.

< Isaya 36 >