< Isaya 36 >

1 Katika mwaka wa kumi na nne wa mfalme Hezekia, Senacherebi, mfalme wa Asiria, alivamia miji yote ya Yuda na kuwakamata.
Aa ie amy taom-paha folo-efats-ambi’ Iekizkia mpanjakay le naname ze hene rova’ Iehodà nihafatrareñe t’i Senakeribe mpanjaka’ i Asore vaho tinava’e.
2 Halafu mfalme wa Asiria akamtuma kamanda mkuu na jeshi kubwa kutoka Lachishi mpaka Yerusalemu kwa mfalme Hezekia. Alipofika kwenye mfereji katika kisima cha juu, katika njia kuu na katika shamba la dobi na akasimama pale.
Nirahe’ i mpanjaka’ i Asorey boake Lakise mb’am’ Iekizkia e Ierosalaime ao t’i Rabsakè reketse lian-dahin-defo ra’elahy, le nijohañe an-talaha-drano miboak’ amy antara amboney, amy lalan-tetem-panasa-lambay ey.
3 Maofisa wa Israeli waliotumwa kuzungumza nao walikuwa ni Eliakimu mtoto wa Hilkia, kiongozi wa jumba, Shebna katibu wa mfalme, na Joa mtoto wa Asapha, anayeandika makubaliano ya serekali.
Niavotse mb’ama’e mb’eo t’i Eliakime, ana’ i Hilkià, mpifelek’ i anjombay naho i Sebna mpanokitse vaho Ioake ana’ i Asafe, mpamolily.
4 Kamanda mkuu wa jeshi akawaambia wao, ''Mwambieni Hezekia kwamba mfalme mkuu, mfalme Asiria, asema, 'Nini chanzo cha ujasiri wako?
Hoe t’i Rabsakè tam’ iereo, Volaño henaneo am’ Iekizkia: Hoe ty saontsi’ i mpanjaka ra’elahiy, i mpanjaka’ i Asorey. Ajado’ areo ami’ty inom-bao ze o fatokisa’ areo zao?
5 Unaongea maneno yasiyo na maana tu, nasema kama kuna shauri na nguvu za vita. Sasa ni nani unayemuamini? na ni nani aliyekupa ujasiri wa kuniasi mimi.
Hoe iraho: fivolan-kòake hao ty atao safiry naho ozatse hahafialy? Aa le ia ty iatoa’ areo, kanao miola amako?
6 Tazama, umeweka imani yako Misri, maana banzi la mwanzi unalolitumia kama fimbo ya kutembelea, ikiwa mtu ataiegemea na kuishika kwenye mkono wake itamchoma. Hivyo ndovyo jinsi Farao mfalme wa Misri alivyo kwa yeyote anayemuamini.
Hehe te iatoa’ areo i fitoñom-bararata vinonotrobokey, i Mitsraime; ie itoñona’ ondaty am-pitàñe le trofake: izay t’i Parò mpanjaka’ i Mitsraime amy ze hene miato ama’e.
7 Lakini ikiwa utasema nami, ''Tunamwamini Yahwe Mungu wetu,''Je sio yeye ambaye Hezekia ameondosha mahali palipoinuka na madhebau, asema kwa Yuda na Yerusalemu, ''Lazima tuabudu mbele ya madhebau hii katika Yerusalemu''?
Aa naho manao ty hoe amako nahareo: Iehovà iatoa’ay t’i Andrianañahare’ay. Aa tsy ie hao ty nañafaha’ Iekizkia o toe’e ankaboañeo naho o kitreli’eo vaho nanao ty hoe am’ Iehodà naho Ierosalaime te amy ze o kitrely zao ty italahoa’ areo?
8 Hivyo sasa, nataka kukufanya wewe kuwa zawadi nzuri kwa Bwana mfalme Asiria. Nitakupa farasi elfu mbili, kama utaweza kuwatafutia dereva.
Aa ehe manoa kizè amy taleko mpanjaka’ i Asorey, le hatoloko azo ty soavala ro’arivo, naho mete’o ty hampijoñe mpiningitse ama’e.
9 Ni kwa jinsi gani unaweza kumpinga moja kati ya nahodha aliye mdogo katika watumishi wa Bwana wangu? Mmeweka imani yenu Misri katika gari na farasi!
Akore arè ty hampiambohoa’o ty mpifehe, fara­gidro’ o mpitoron-talèkoo? te hapite’o amy Mitsraime ty fiatoa’o hahazoa’o sarete naho mpiningitse!
10 Halafu sasa, Je nimewezaje kusafiri mpaka hapa pasipo Yahwe kupigana dhidi ya nchi hii na kuhiaribu? Yahwe asema nami, Vamia nchi hii na uhiharibu.
Aa vaho nionjoñe mb’an-tane atoy hao iraho handro­tsak’ aze tsy ama’ Iehovà? Toe nanao ty hoe amako t’Iehovà: Mionjona haname o tane zao le rotsaho.
11 Halafu Eliakimu mtoto wa Hilkia, na Shebna na Joa asema kwa kamanda mkuu, Tafadhali zungumza na watu wako kwa lugha ya kiashuru, maana kiashuru tunakielewa. Usiongee na sisi kwa lugha kiyahudi katika masikio ya watu ambao wako ukutani.''
Aa le hoe t’i Eliakime, i Sebnà, naho Ioàke amy Rabsakè, Ehe, misaon­tsia amo mpitoro’oo an-tsaontsi’ i Arame, fa hai’ay; le ko misaontsy ama’ay an-tsaontsi’ Iehodà, am-pijanjiña’ ondaty ambone’ o kijolioo.
12 Lakini kamanda mkuu akasema, ''Je bwana wenu ametuma kwa bwana wako na kuzungumza haya maneno? Je hajanituma kwa watu walio kaa kwenye ukuta, ili wale kinyesi chaao mwenyewe na kunywa mkojo waomwenyewe?
Fa hoe t’i Rabsakè: Aa vaho nirahe’ i talèkoy iraho hivolañe amy tale’ areoy naho ama’ areo avao o entako zao, le tsy am’ ondaty mitoboke ambone’ o kijolioo, o nozoñeñe hitraoke ama’ o hikama ty fiamonto’e naho hinoñe ty rano faria’eo?
13 Halafu kamanda mkuu akasimama na kupiga kelele kwa sauti kubwa kwa lugha ya kiyahudi, na akisema,
Aa le niongake t’i Rabsakè vaho pinaza’e ty koike, ami’ty saontsi’ Iehodà ty hoe: Janjiño ty saontsi’ i mpanjaka ra’ elahiy, ty mpanjaka’ i Asore!
14 ''Mfalme asema, ' Msimruhusu Hezekia awadanganye ninyi, maana hataweza kuwaokoa ninyi.
Hoe i mpanjakay, Ko apo’ areo ho fañahie’ Iekizkia, fa tsy ho lefe’e rombaheñe.
15 Msimruhusu Hezekia awafanye muumuamini Yahwe, Nawambieni Hakika Yahwe atatukomboa sisi; mjii huu hautachukuliwa na mfalme wa Asiria.''
Ko ado’ areo hampiatoa’ Iekizkia am’ Iehovà ami’ty hoe: Toe hamotsotse an-tika t’Iehovà, le tsy hatolotse am-pità’ i mpanjaka’ i Asorey ty rova toy.
16 Msimsikilize Hezekia, maana hivi ndivyo mfalme wa Asiria anavyosema: 'Fanyeni amani na mimi na mje kwangu. Halafu kila mmoja wenu atakula kwenye mzabibu wake mwenyewe na tunda la mti wake mwenyewe, na kunjwa maji ya kisima chake mwenyewe.
Ko haoñe’ areo t’Iekizkia; fa hoe ty mpanjaka’ i Asore, mifampilongoa amako le miavota mb’etoy; fa songa hikama ami’ty vahe’e t’indaty, naho sindre ami’ty sakoa’e t’indaty vaho hene hinon-drano boak’ an-tsajoa’e t’indaty,
17 Mtafanya hivi mpaka nije kuwachukua na kuwapeleka kwenye nchi kama ya kwenu. nchi ya mavuno na mvinyo mpya, nchi ya mkate na shamba.
ampara’ te homb’eo iraho hanese anahareo mb’an-tane manahake ty tane’ areo, tanen-ampemba naho divay, tane ama mahakama naho tanem-bahe.
18 Msimruhusu Hezekia awapotoshe nyie, akisema, Yahwe atatuokoa nyie; Je kuna miungu ya aina yeyote ya watu iliyowakomboa kutoka mikononi mwa mfalme wa Asiria?
Ko apo’ areo hampivihe’ Iekizkia ami’ ty hoe: Handrombake antika t’Iehovà. Fa ia amo ‘ndrahare’ o kilakila’ ndatio ty nandrombake ty tane’e am-pità’ i mpanjaka’ i Asorey?
19 Wako wapi miungu wa Hamathi na Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu? Je wameikomboa Samaria kutoka kwenye nguvu zangu?
Aia o ndrahare’ i Kamate naho i Arpadeo? Aia o ndrahare’ i Sefarvaimeo? Fa navotso’ iareo an-tañako hao t’i Some­rone?
20 Miongoni mwa miungu yote ya nchi hii, Je kuna miungu ya aina yeyote iliyoikomboa nchi yao kutoka kwenye nguvu yangu, ni kama Yahwe anaweza kuawokoa Yerusalemu kutoka kwenye nguvu yangu?''
Ia amo ndrahare’ i tane rey iabio ty nañaha aze an-tañako, te ha­votso’ Iehovà an-tañako t’Ierosalaime?
21 Lakini watu wanabaki kimya na hawataki kujibu, maana amri ya mfalme ilikuwa, ''Msimjibu''.
Fe nianjiñe avao iereo, leo volañe raike tsy natoi’ iareo aze, amy linili’ i mpanjakaiy, ty hoe: Ko itoiñañe.
22 Halafu Eliakimu mtoto wa Hilkia, yeye aliye juu ya kaya, Shebna mwandishi, na Joa mtoto wa Asafu, na mtunza kumbukumbu, walikuja kwa Hezekia na nguo zilizotoboka na wakapeleka maneno ya kamanda mkuu.
Nomb’ am’ Iekizkia t’i Eliakime ana’ i Kilkeia mpifeleke i anjombay naho i Sebnà mpanokitse naho Ioàke ana’ i Asafe mpamolily, an-tsaroñe riatse, vaho nitaroñe i enta’ i Rabsakèy.

< Isaya 36 >