< Isaya 33 >

1 Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
Terrible things will happen to you [people of Assyria]! You have destroyed [others], [but] you have not been destroyed [yet]. You have betrayed/deceived [others], [but] you have not been betrayed/deceived [yet]. When you stop destroying [others], others will destroy you. When you stop betraying/deceiving others, [others] betray you.
2 Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
Yahweh, be kind to us, because we have patiently waited for you [to help us]. Enable us to be strong every day, and rescue us when we have troubles.
3 Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
Our enemies run away when they hear your voice. When you stand up and show that you are powerful [IDM], the people of all nations flee.
4 Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
[And after our enemies have been defeated], we, your people, will take away all our enemies’ possessions like [SIM] caterpillars and locusts strip off all the leaves of plants.
5 Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
Yahweh is greater than anyone else, and he lives in heaven, and he will rule justly and righteously in Jerusalem.
6 Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
[When that happens], he will enable you to live securely/safely; he will fully protect your possessions, he will enable you to be wise and to know [all that you need to know]; and revering Yahweh will be [like] [MET] a valuable treasure for you.
7 Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
[But now], look, our brave men are crying out in the streets; our ambassadors [have gone to other countries to make peace treaties], [but they will] cry bitterly [because they will not succeed].
8 Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
No one travels on our roads [DOU]. [The leaders of Assyria] have broken/disregarded their peace treaty [with us]; they despise the people who made those treaties, and they do not respect anyone.
9 Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
The land [of Judah] is dry and barren. The [cedar trees in] Lebanon are drying up and decaying. The Sharon [Plain along the coast] is now a desert. There are no more leaves on the trees in the Bashan and Carmel [areas].
10 ''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
Yahweh says, “Now I will begin to show that I am very powerful [DOU].
11 Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
You [people of Assyria] make plans that are [as useless as] [MET] chaff and straw. Your breath will become a fire that will burn you up.
12 Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
[Your] people will be burned until only ashes remain [MET] like [SIM] thornbushes are cut down and burned up in a fire.
13 Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
You people who live far away and you people who live nearby, pay attention to what I have done and realize that I am [very] powerful.”
14 Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
The sinners in Jerusalem will tremble because of being very afraid; godless people will be terrified. [They say], “None of us can [RHQ] remain alive because this fire is burning everything; it is like the fire on Yahweh’s altar that will burn forever!”
15 Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
Those who act honestly and say what is right, those who do not try to become rich by (extortion/forcing people to give them money), those who do not try to get bribes, those who refuse to listen to people who are planning to murder someone, those who do not join others who urge them to do what is wrong,
16 Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
they are the people who will live safely [MTY]; they will find places to be safe in the caves in the mountains. They will have plenty of food and water.
17 Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
You [SYN] [people of Judah] will see the king wearing all his beautiful [robes], and you will see that he rules a land that extends far away.
18 Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
When you see that, you will think about when you were previously terrified, [and you will say], “[The officers of Assyria] who counted the tax money that we were forced to pay to them [have disappeared] [RHQ]! Those men who counted our towers [are gone] [RHQ]!
19 Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
Those arrogant people who spoke a language that we could not understand are no longer here!”
20 Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
[At that time], you will see Zion Hill, the place where we celebrate our festivals; you will see that Jerusalem has become a place that is calm and safe. It will be [secure], [like] [SIM] a tent [that cannot be moved because] its ropes are tight and its stakes are firmly in the ground.
21 Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
Yahweh will be our mighty God; he will be [like] [SIM] a mighty river that will protect us because [our enemies] will not be able to cross it; no one will be able to row across it and no ships will be able to sail across it.
22 Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
Yahweh is our judge; he is the one who gives us laws, and he is our king. He will rescue us.
23 Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
The ropes on our enemies’ boats will hang loose, their masts will not be fastened firmly, and their sails will not be spread out. The treasures that they have seized will be divided [among us, God’s people], and even lame [people among us] will get some.
24 Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.
And the people in Jerusalem will no [longer] say, “We are sick,” [because Yahweh] will forgive the sins that have been committed by the people who live there.

< Isaya 33 >