< Isaya 33 >

1 Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
Woe to! [the] destroyer and you not [have been] destroyed and [the] traitor and not people have dealt treacherously with him when finishing you destroying you will be destroyed when completing you to deal treacherously people will deal treacherously with you.
2 Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
O Yahweh show favor to us for you we have waited be strength their to the mornings also salvation our in a time of distress.
3 Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
From [the] sound of tumult they flee peoples from arising your they scatter nations.
4 Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
And it will be gathered plunder your gathering of locust[s] like [the] rushing of locusts [someone will be] rushing on it.
5 Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
[is] exalted Yahweh for [he is] dwelling a high place he will fill Zion justice and righteousness.
6 Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
And he will be [the] steadiness of times your wealth of deliverance wisdom and knowledge [the] fear of Yahweh it [will be] treasure his.
7 Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
There! valiant one their they have cried out [the] outside towards messengers of peace bitter they weep!
8 Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
They have been made desolate highways he has ceased [one who] passes by of a path someone has broken a covenant someone has rejected cities not anyone has valued humankind.
9 Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
It has dried up it has languished [the] land it has displayed shame Lebanon it has withered it has become Sharon like desert plain and [is] shaking off Bashan and Carmel.
10 ''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
Now I will arise he says Yahweh now I will exalt myself now I will lift myself up.
11 Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
You will conceive dry grass you will give birth to stubble breath your [is] a fire [which] it will consume you.
12 Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
And they will be peoples burnings of lime thornbushes cut down with fire they will be kindled.
13 Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
Hear O distant [ones] [that] which I have done and know O near [ones] strength my.
14 Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
They are in dread in Zion sinners it has seized trembling godless [people] who? - will he sojourn of us a fire consuming who? will he sojourn of us hearths of perpetuity.
15 Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
[one who] walks Righteousness and [one who] speaks uprightness [one who] rejects unjust gain of extortion [one who] shakes out hands his from taking hold on bribe [one who] shuts ear his from hearing blood and [one who] shuts eyes his from looking on evil.
16 Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
He high places he will dwell [will be] strongholds of cliffs refuge his food his [will be] given water his [will be] reliable.
17 Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
A king in beauty his they will see eyes your they will see a land of distances.
18 Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
Heart your it will meditate on terror where? [is one who] counted where? [is one who] weighed where? [is one who] counted the towers.
19 Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
A people barbarous not you will see a people [too] unintelligible of lip for hearing stammering of tongue there not [is] understanding.
20 Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
See Zion [the] town of appointed feast our eyes your they will see Jerusalem a habitation undisturbed a tent [which] not anyone will pack up [which] not anyone will pull out tent pegs its to perpetuity and all ropes its not they will be torn apart.
21 Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
That except there [will be] majestic Yahweh for us a place of rivers canals broad of both hands not it will go on it a ship of rowing and a ship majestic not it will pass along it.
22 Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
For Yahweh [is] judge our Yahweh [is] commander our Yahweh [is] king our he he will deliver us.
23 Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
They are loose ropes your not they make firm [the] base of mast their not they have spread out [the] sail then it will be divided booty of plunder in abundance lame [people] they will take as spoil spoil.
24 Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.
And not he will say an inhabitant I am sick the people which dwells in it [will be] forgiven of iniquity.

< Isaya 33 >