< Isaya 33 >

1 Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
Ninia ha lai da wadela: lesi dagoi ba: mu. Eno dunu da ilima hame hohonoi amola ilia liligi hame wamolai. Be ilia da eno dunu hohonoi amola ilia liligi wamolai. Be ilia wamolasu amola hohonosu eso da dagoiwane ba: mu. Amasea, eno dunu da ilima wamolamu, amola hohonomu.
2 Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
Hina Gode! Ninima asigima! Dia da ninima hobea misunu hou ouligisa, amo ninia dafawaneyale dawa: sa. Eso huluane eso afae afae nini gaga: ma. Amola bidi hamosu esoga, nini gaga: ma.
3 Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
Di da ninimagale gegesea, fifi asi gala da gegesu gugulubi nabasea, hobeasa.
4 Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
Ilia liligi fisili, ninia da lasa.
5 Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
Hina Gode da bagadedafa! E da liligi huluanedafa amoma Ouligisudafa esala. Ea hamobeba: le, Yelusaleme da hou ida: iwane gala amola moloidafa hou amoga nabaiwane ba: mu.
6 Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
Amola Isala: ili dunu fi da hame dafamu. E da Ea fi dunu amo gaga: lala, amola ilima bagade dawa: su hou iaha. Ilia Godema beda: su hou amola nodosu hou da fedege agoai, ilia baligili bagade gobolo agoai gala.
7 Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
Nimi gasa bagade dunu da Gode fidima: ne bagade wele sia: nana. Sia: alofele iasu dunu da olofosu logo hogoi helele, hamedeiba: le, bagadewane dinana.
8 Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
Wamolasu amola fane legesu dunu da logoga ahoabeba: le, udigili logoga masunu da hamedei agoane ba: sa. Dunu da ilia gousa: su hamoi amo udigili wadela: sa. Dunu huluane da dunu eno ilima hame nodosa.
9 Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
Soge huluane da ha: i manu hame bugi amola dunu hame esalebe agoane udigili diala. Lebanone iwila ifa da bioi dagoi. Musa: nasegagi sogebi amo Sia: lane Fago da wali hafoga: i soge agoane ba: sa. Amola Ba: isia: ne soge amola Gamele Goumi amoga ifa lubi huluane da gili osoba daha.
10 ''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
Hina Gode da fifi asi gala ilima amane sia: sa, “Na da wahadafa hawa: hamomu. Na gasa bagade hou dilima olelemu.
11 Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
Dilia da hamedei ilegesu hamosa. Amola dilia hawa: hamobe huluane da hamedei. Na A: silibu da lalu agoane dili gugunufinisimu.
12 Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
Dilia da igi laluga nebeba: le goudasa, amola aya: gaga: nomei nebeba: le, nasubu fawane ba: sa, amo defele dilia da goudai dagoi ba: mu.
13 Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
Dunu huluane, sedaga fi amola gadenene fi, amo huluane da Na hamobe nabalu, Na gasa bagade hou dafawaneyale dawa: mu da defea.
14 Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
Wadela: i hamosu dunu Saione moilai bai bagade amo ganodini esala da bagadewane beda: iba: le, yagugusa. Ilia da amane sia: sa, “Gode Ea fofada: su hou da lalu amo da mae ha: ba: dole, eso huluane nenana agoane gala. Dunu afae amo laluga nebeba: le esaloma: bela: ? Hame mabu!”
15 Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
Be dilia da moloidafa sia: sea, amola moloidafa hawa: hamosea, dilia da amo lalu baligisia, esalebe ba: mu. Dilia gasaga hame gagui dunu ilima mae ogogoma, amola hano suligisu hou mae lama. Amola nowa da fane legesu hou amola eno wadela: i hou hamomusa: ilegesea, ilima mae gilisima.
16 Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
Amasea, dilia da gaga: i dagoi ba: mu. Dilia da fedege agoane, gasa bagade diasu ganodini gagili sali dagoi ba: mu. Dilia da ha: i manu amola hano nasu dilia hanai defele ba: mu.
17 Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
Fa: no dilia da bu hina bagade hadigiwane dilia soge bu bagade hamoi, amoga ouligilalebe ba: mu.
18 Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
Dilia musa: ga fi su (da: gisi) lasu dunu amola desega ahoasu dunu, ilima bagade beda: i galu. Be amo esoga, dilia da ilima bu hame dawa: mu.
19 Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
Amola gasa fi ga dunu amo da dilia hame dawa: sia: amoga sia: dalebe, amo dilia da bu hame ba: mu.
20 Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
Saione moilai bai bagadega ninia da Godema dawa: su lolo nabe hamonana. Amo ba: ma! Yelusaleme ba: ma! Amo ganodini esaloma: ne, Yelusaleme da gaga: idafa sogebi agoane ba: mu. Yelusaleme da abula diasu amo ea goge bugi da hamedafa dugaga: la: le amola ea efe da hamedafa hedofale, eso huluane dialebe, agoaiwane ba: mu.
21 Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
Hina Gode da Ea hadigi hou ninima olelemu. Ninia da hano ba: de bagade amo ilia bega: esalumu. Be ninia ha lai dunu ilia dusagai da amo hano da: iya hame masunu.
22 Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
23 Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
Amo dusagai ilia ahoasu liligi huluane da hamedei liligi. Ilia foga ahoasu abula amo fadegale gamu da hamedei. Ninia da ha lai dadi gagui dunu ilia liligi huluane udigili lasea, liligi bagade gaguiba: le, emo gasuga: igi dunu amola da mogili lamu defele ba: mu. Hina Gode Hisu da ninia hina bagade esalebe ba: mu. E da nini ouligimu amola gaga: mu.
24 Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.
Ninia soge ganodini dunu huluanedafa da olosu bu hame ba: mu amola Gode da ninia wadela: i hou huluanedafa gogolema: ne olofomu.

< Isaya 33 >