< Isaya 32 >

1 Tazama, mfalme atatawala kwa haki, wakuu wataongoza kwa haki.
look! to/for righteousness to reign king and to/for ruler to/for justice to rule
2 Kila mmoja atakuwa kama makazi kutoka kwenye upepo na kimbilio kutoka kwenye dhoruba, kama mifereji kwenye sehemu kavu, kama kivuli kwenye mwamba mkubwa katika nchi iliyochoka.
and to be man: anyone like/as hiding-place spirit: breath and secrecy storm like/as stream water in/on/with dryness like/as shadow crag heavy in/on/with land: country/planet faint
3 Halafu macho ya waie wanaoona hayataona giza, na masikio ya wale wanosikia yatasikia vizuri.
and not to gaze eye to see: see and ear to hear: hear to listen
4 Wenye upele watafikiria kwa makini kwa uelewa wao, na wenye kigugumizi watazungumza dhahiri na kwa urahisi.
and heart to hasten to understand to/for knowledge and tongue stammerer to hasten to/for to speak: speak dazzling
5 Mjinga hataitwa tena muheshimiwa, wala muongo hataitwa mkuu.
not to call: call by still to/for foolish noble and to/for rogue not to say rich
6 Maana mjinga anazungumza ujinga, na moyo wake unapanga maovu na matendo ya wasiomcha Mungu, na anaongea mambo mabaya kuhusu Yahwe. Na anawafanya wenye njaa kuwa tupu na wenye kiu kukosa maji
for foolish folly to speak: speak and heart his to make: do evil: wickedness to/for to make: do profaneness and to/for to speak: speak to(wards) LORD error to/for to empty soul: appetite hungry and irrigation thirsty to lack
7 Njia ya muongo ni maovu. Anajua kubuni mipango mibaya ya kuwalagai masikini kwa uongo, na hata kama masikini atazungumza ukweli.
and rogue article/utensil his bad: evil he/she/it wickedness to advise to/for to destroy (afflicted *Q(K)*) in/on/with word deception and in/on/with to speak: speak needy justice
8 Lakini watu wa heshima wanapanga mipango ya kuheshimika; na kwa sabaubau ya matendo ya wenye heshima tuatasimama.
and noble noble to advise and he/she/it upon noble to arise: establish
9 Nyanyukeni juu, enyi wanawake mlio wepesi, na sikilizeni sauti yangu; enyi mabinti msiowangalifu, nisikilizeni mimi.
woman secure to arise: rise to hear: hear voice my daughter to trust to listen word my
10 Maana kwa mda mfupi zaidi ya mwaka ujasiri wenu utavunjika, nyie wanawake msiojali, maana mavuno ya zabibu yatakwama, mavuno hayatakuwepo.
day upon year to tremble to trust for to end: expend vintage gathering without to come (in): come
11 Tetemekeni, enyi wanawake, mliowadhaifu; taabikeni enyi msikuwa wangalifu; ondoeni nguo zenu nzuri mbaki wazi;
to tremble secure to tremble to trust to strip and to strip and to gird upon loin
12 Vaeni nguo za magunia katika viuno vyenu. Ole watakaojichukulia mashamba mazuri, kwa mzabibu ulio zaa sana.
upon breast to mourn upon land: country delight upon vine be fruitful
13 Kwenye aridhi ya watu wangu kutamea miiba na mbigiri, hata juu ya nyumba za furaha na mji ulio na shangwe.
upon land: soil people my thorn thorn to ascend: rise for upon all house: household rejoicing town jubilant
14 Maana jumba litaachwa, mji uliosongamana utakuwa faragha; kilima na mnara vitakuwa mapango daima, furaha ya punda, malisho ya mifugo;
for citadel: palace to leave crowd city to leave: forsake hill and watchtower to be about/through/for cave till forever: enduring rejoicing wild donkey pasture flock
15 mpaka roho itushukie sisi kutoka juu, na jangwa litakuwa shamba linalozaa, na shamba linalozaa litachukuliwa kama msitu.
till to uncover upon us spirit from height and to be wilderness to/for plantation (and [the] plantation *Q(K)*) to/for wood to devise: think
16 Wenye haki wataishi jangwani; na wenye haki wataishi katika shamba linalozaa matunda.
and to dwell in/on/with wilderness justice and righteousness in/on/with plantation to dwell
17 Kazi ya mwenye haki itakuwa ni ya amani; na matokeo ya wenye haki, ni utulivu na kujiamini daima.
and to be deed [the] righteousness peace and service: work [the] righteousness to quiet and security till forever: enduring
18 Watu wangu wataishi katika makao ya amani, na katika nyumba salama na mahali tulivu pa kupumzikia.
and to dwell people my in/on/with pasture peace and in/on/with tabernacle confidence and in/on/with resting secure
19 Lakini hata kama ni mvua ya mawe na msitu umeharibiwa, na mji umeteketezwa,
and to hail in/on/with to go down [the] wood and in/on/with humiliation to abase [the] city
20 yule ambae anaye panda pembezoni mwa mifereji atabarikiwa, na yule atakaye wapeleka ng'ombe na punda kuchunga.
blessed you to sow upon all water to send: let go foot [the] cattle and [the] donkey

< Isaya 32 >