< Isaya 32 >
1 Tazama, mfalme atatawala kwa haki, wakuu wataongoza kwa haki.
Eso enoga, hina bagade e da ea fi amo moloidafa ouligimu, amo da misunu. Amola, ouligisu dunu ilia da moloidafa hou amoga ilia dunu fi ouligimu.
2 Kila mmoja atakuwa kama makazi kutoka kwenye upepo na kimbilio kutoka kwenye dhoruba, kama mifereji kwenye sehemu kavu, kama kivuli kwenye mwamba mkubwa katika nchi iliyochoka.
Ilia da afae afae amo fo amola gibu bobodobe amoma wamoaligisu agoane ba: mu. Ilia da hano nawa: li hafoga: i soge amo ganodini diala, amola igi bagadedafa ea baba gala: le bagade, hafoga: i soge ganodini defele ba: mu.
3 Halafu macho ya waie wanaoona hayataona giza, na masikio ya wale wanosikia yatasikia vizuri.
Amo ouligisu dunu ilia da ilia fi dunu ilia hanai dawa: i liligi noga: le nabimu.
4 Wenye upele watafikiria kwa makini kwa uelewa wao, na wenye kigugumizi watazungumza dhahiri na kwa urahisi.
Ilia da momabo agoane bu hame hamomu, be ilia da molole, dawa: iwane sia: mu.
5 Mjinga hataitwa tena muheshimiwa, wala muongo hataitwa mkuu.
Ilia da noga: le dawa: mu. Ilia da gagaoui dunu ilia hamosu da noga: idafa hame sia: mu. Amola wadela: i hamosu dunu da moloidafa hou hamosa, ilia da hame sia: mu.
6 Maana mjinga anazungumza ujinga, na moyo wake unapanga maovu na matendo ya wasiomcha Mungu, na anaongea mambo mabaya kuhusu Yahwe. Na anawafanya wenye njaa kuwa tupu na wenye kiu kukosa maji
Gagaoui dunu da gagoulewane hamosa amola wadela: i hou ilegesa. Ea sia: amola ea hamosu da Hina Godema gadesu liligi agoane. Amola e da ha: i dunuma ha: i manu hame iaha, amola hano hanai dunuma hano hame iaha.
7 Njia ya muongo ni maovu. Anajua kubuni mipango mibaya ya kuwalagai masikini kwa uongo, na hata kama masikini atazungumza ukweli.
Asigi dawa: su hame gala dunu ea hou da wadela: i, amola e da wadela: i hou hamosa. E da hame gagui dunu wadela: ma: ne, amola ilia moloidafa fofada: su hou mae ba: ma: ne, bagadewane ogogosa.
8 Lakini watu wa heshima wanapanga mipango ya kuheshimika; na kwa sabaubau ya matendo ya wenye heshima tuatasimama.
Be moloidafa dunu da molole hamosa, amola eno dunu da moloi hou ba: ma: ne, e da gasawane molole lela.
9 Nyanyukeni juu, enyi wanawake mlio wepesi, na sikilizeni sauti yangu; enyi mabinti msiowangalifu, nisikilizeni mimi.
Dilia uda! Dilia da mae da: i dione, asabole hahawane esala! Na sia: nabima!
10 Maana kwa mda mfupi zaidi ya mwaka ujasiri wenu utavunjika, nyie wanawake msiojali, maana mavuno ya zabibu yatakwama, mavuno hayatakuwepo.
Dilia da wali hahawane sadi esala. Be ode afae gidigili, dilia se bagadewane nabawane esalebe ba: mu. Bai waini fage faimu hame ba: mu.
11 Tetemekeni, enyi wanawake, mliowadhaifu; taabikeni enyi msikuwa wangalifu; ondoeni nguo zenu nzuri mbaki wazi;
Dilia da asabole, mae beda: iwane esalusu. Be wali beda: iba: le, yaguguma. Dilia abula gisa: le, gadelai abula dilia hagomoga idiniginisima.
12 Vaeni nguo za magunia katika viuno vyenu. Ole watakaojichukulia mashamba mazuri, kwa mzabibu ulio zaa sana.
Da: i dioiba: le, dilia bida: igi fama! Bai nasegagi ifabi sogebi amola waini sagai da wadela: lesi dagoi.
13 Kwenye aridhi ya watu wangu kutamea miiba na mbigiri, hata juu ya nyumba za furaha na mji ulio na shangwe.
Aya: gaga: nomei amola gagalobo fawane da Na fi dunu ilia sogega heda: sa. Diasu huluane amo ganodini, musa: dunu da bagadewane nodosu amola moilai amo ganodini hahawane esalusu. Be wali, dunu huluane da asi dagoiba: le, dima mabu!
14 Maana jumba litaachwa, mji uliosongamana utakuwa faragha; kilima na mnara vitakuwa mapango daima, furaha ya punda, malisho ya mifugo;
Hina bagade ea diasu amola da dunu hame esalebe ba: mu, amola bisilua moilai bai bagade (Yelusaleme) amo da dunu hame esalebe ba: mu. Diasu amola gagili sali da mugululi, bu mae gaguma: ne, wadela: lesi dagoi ba: mu. Sigua dougi da amo ganodini udigili ahoanebe ba: mu, amola sibi da amo ganodini, gisi nanebe ba: mu.
15 mpaka roho itushukie sisi kutoka juu, na jangwa litakuwa shamba linalozaa, na shamba linalozaa litachukuliwa kama msitu.
Be fa: no, Gode da Ea A: silibu ninima bu iasimu. Soge wali wadela: lesi dagoi da afadenene, bu nasegagi osobo ba: mu. Ifabi amoga ilia da ha: i manu bagade lamu.
16 Wenye haki wataishi jangwani; na wenye haki wataishi katika shamba linalozaa matunda.
Isala: ili soge ganodini moloidafa hou amola moloi fofada: su hou fawane ba: mu.
17 Kazi ya mwenye haki itakuwa ni ya amani; na matokeo ya wenye haki, ni utulivu na kujiamini daima.
Dunu huluane da moloi hou fawane hamomuba: le, olofosu amola gaga: su fawane ba: mu.
18 Watu wangu wataishi katika makao ya amani, na katika nyumba salama na mahali tulivu pa kupumzikia.
Gode Ea Fi dunu da bu da: i diosu hame ba: mu, amola ilia diasu ganodini ilia da olofole, gaga: iwane esalumu.
19 Lakini hata kama ni mvua ya mawe na msitu umeharibiwa, na mji umeteketezwa,
(Be Gode Ea se iasu esoga, mugene da iwilaga sa: imu, amola moilai da gadelale, mugului dagoi ba: mu.)
20 yule ambae anaye panda pembezoni mwa mifereji atabarikiwa, na yule atakaye wapeleka ng'ombe na punda kuchunga.
Be fa: no dunu huluane da hahawane bagade ba: mu. Ilia da sagai nasegagima: ne hano defele dialebeba: le, amola ha: i manu bagade bugi dialebeba: le, amola ilia dougi amola ohe fi da gaga: iwane gisi bagade nabeba: le, hahawane esalumu.