< Isaya 31 >

1 Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
Malheur à ceux qui descendent en Égypte pour [avoir] du secours, [et] qui s’appuient sur des chevaux et se fient à des chars, parce qu’ils sont nombreux, et à des cavaliers, parce qu’ils sont très forts, et qui ne regardent pas au Saint d’Israël et ne recherchent pas l’Éternel!
2 Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
Cependant lui aussi est sage, et il fait venir le malheur, et ne retire pas ses paroles; et il se lève contre la maison de ceux qui font le mal et contre le secours de ceux qui pratiquent l’iniquité.
3 Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
Et les Égyptiens sont des hommes et non pas Dieu, et leurs chevaux sont chair et non pas esprit; et l’Éternel étendra sa main, et celui qui aide trébuchera, et celui qui est aidé tombera, et tous ensemble ils périssent.
4 Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
Car ainsi m’a dit l’Éternel: Comme le lion, le jeune lion, contre lequel une troupe de bergers est convoquée, rugit sur sa proie, ne s’effraie pas à leur voix, et ne cède pas devant leur multitude, ainsi l’Éternel des armées descendra pour combattre sur la montagne de Sion et sur sa colline.
5 Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
Comme des oiseaux qui déploient leurs ailes, ainsi l’Éternel des armées couvrira Jérusalem: la protégeant, il la délivrera, et l’épargnant, il la sauvera.
6 Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
Fils d’Israël, revenez à celui de qui vous vous êtes si profondément détournés!
7 Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
Car en ce jour-là ils rejetteront chacun ses idoles d’argent et ses idoles d’or, que vos mains iniques ont faites pour vous-mêmes.
8 Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
Et Assur tombera par l’épée, non d’un homme d’importance; et l’épée, non d’un homme du commun, le dévorera: et il fuira devant l’épée, et ses jeunes hommes seront soumis au tribut;
9 Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.
et, de frayeur, il passera vers son rocher, et ses princes seront terrifiés à cause de l’étendard, dit l’Éternel qui a son feu dans Sion et son four dans Jérusalem.

< Isaya 31 >