< Isaya 31 >

1 Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
Terrible things will happen to those who reply on Egypt to help them, trusting in their soldiers’ horses and their many chariots and their strong chariot-drivers, instead of trusting that Yahweh, the Holy One of Israel, will help them.
2 Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
Yahweh is [very] wise, [but] he also causes people to experience disaster! And [when he decides to do that], he does not change his mind! He will strike/punish the wicked people and [all] those who help them.
3 Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
The soldiers of Egypt [that you people of Judah are relying on] are humans, not God! And their horses are only horses; they are not [powerful] spirits! So when Yahweh raises his fist to strike/punish the [soldiers of Egypt whom you thought would help you], he will also strike [you who thought that you would be helped], and you and they will stumble and fall down; all of you will die together.
4 Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
But this is what Yahweh said to me: “When a huge lion stands over the body of a sheep that he has killed and growls, even if a large group of shepherds comes [to chase/shoo away the lion], even if they shout loudly, the lion will not be afraid and will not leave. Similarly, I, the Commander of the armies of angels, will come down to fight [my enemies] on Zion Hill, [and nothing will hinder me].
5 Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
[I], the Commander of the armies of angels, will protect Jerusalem like [SIM] a [mother] bird protects [the baby birds in] her nest: I will defend the city and rescue it from its enemies.”
6 Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
My people, [even though] you have greatly rebelled against Yahweh, return to him.
7 Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
When you do that, each of you will throw away the idols that you [SYN] have sinned by making, idols that are [covered with] silver and gold.
8 Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
[Many of the] Assyrian [soldiers] will be killed, but not by swords that men use. They will be destroyed by the sword of God; and [those who are not killed] will (panic/be very afraid) and flee. And some of them will [be captured] and forced to become slaves.
9 Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.
[Even] their very strong soldiers [MTY] will be terrified; they will abandon their battle flags and run away! Yahweh will cause his enemies who attack Jerusalem to be destroyed. Yahweh’s presence on Zion Hill is [like] a fire, [like] a furnace that blazes in Jerusalem; and that is what Yahweh says [about what will happen to the Assyrian army]!

< Isaya 31 >