< Isaya 30 >
1 Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
Malheur aux enfants rebelles, — oracle de Yahweh, qui font des projets, mais sans moi; qui contractent des pactes, mais sans mon esprit, accumulant péché sur péché.
2 Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
Ils descendent sur le chemin de l’Égypte, sans avoir consulté ma bouche, pour se réfugier sous la protection de Pharaon et pour s’abriter à l’ombre de l’Égypte!
3 Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
La protection de Pharaon sera pour vous une honte; et le refuge à l’ombre de l’Égypte, une confusion.
4 japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
Déjà les princes de Juda sont à Tanis, et ses envoyés se sont avancés jusqu’à Hanés;
5 Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
tous sont confus à cause d’un peuple qui ne leur sert de rien, qui ne leur donne ni aide ni secours, mais seulement confusion et ignominie. —
6 Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
Oracle des bêtes du négéb: A travers une contrée de détresse et d’angoisse, d’où sortent le lion et la lionne, la vipère et le dragon volant, ils portent leurs richesses sur le dos des ânes, et leurs trésors sur la bosse des chameaux, à un peuple qui ne sert à rien.
7 Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
Le secours de l’Égypte sera vanité et néant, c’est pourquoi je la nomme: « La superbe qui reste assise. »
8 Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
Va maintenant, grave cela sur une tablette en leur présence, et écris-le dans un livre, afin que ce soit, pour les jours à venir, un témoignage à perpétuité.
9 Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
Car c’est un peuple de rébellion, ce sont des enfants infidèles, des enfants qui refusent d’écouter la loi de Yahweh.
10 Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
Ils disent aux voyants: « Ne voyez point; » et aux prophètes: « Ne nous prophétisez pas la vérité; dites-nous des choses agréables, prophétisez des illusions!
11 ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
Ecartez-vous de la voie, détournez-vous du chemin; ôtez de devant nos yeux le Saint d’Israël! » —
12 Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
C’est pourquoi ainsi parle le Saint d’Israël: Puisque vous méprisez cette parole et que vous vous confiez dans la violence et l’artifice, et que vous en faites votre appui,
13 hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
à cause de cela, cette iniquité sera pour vous comme une lézarde qui menace ruine et fait saillie sur un mur élevé, dont soudain, en un instant, l’écroulement se produit.
14 Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
Il se brise comme se brise un vase d’argile, que l’on fracasse sans pitié, sans que l’on trouve dans ses débris un morceau, pour prendre du feu au brasier, ou puiser de l’eau à la citerne.
15 Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
Car ainsi a parlé le Seigneur Yahweh, le Saint d’Israël: Par la conversion et une paisible attente vous seriez sauvés; dans le repos et la confiance serait votre force. Mais vous ne l’avez pas voulu
16 Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
et vous avez dit: « Non! Mais nous fuirons sur des chevaux! » — eh bien, vous fuirez — « Nous volerons sur des coursiers! » — eh bien, ceux qui vous poursuivront seront plus rapides!
17 Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
Mille à la menace d’un seul, et à la menace de cinq, vous fuirez, jusqu’à ce que vous ne soyez plus qu’un reste, semblable à un mât sur le sommet de la montagne, à un signal sur la colline.
18 Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
C’est pourquoi Yahweh attend pour vous faire grâce, c’est pourquoi il se lèvera pour vous faire miséricorde; car Yahweh est un Dieu juste. Heureux tous ceux qui espèrent en lui!
19 Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
Car, ô peuple qui habite en Sion, à Jérusalem, tu ne pleureras désormais plus. A ton premier cri, il te fera grâce; dès qu’il t’aura entendu, il t’exaucera.
20 Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
Le Seigneur vous donnera le pain de l’angoisse et l’eau de la détresse; et ceux qui t’instruisent ne se cacheront plus et tes yeux verront ceux qui t’instruisent;
21 Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
et tes oreilles entendront derrière toi la voix qui dira: « Voici le chemin, suivez-le! » quand vous vous détournerez à droite ou à gauche.
22 Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
Vous traiterez comme impurs l’argent qui recouvre vos idoles, et l’or qui revêt vos statues; vous les rejetterez comme une chose souillée: « Hors d’ici! » leur direz-vous.
23 Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
Le Seigneur enverra ses ondées sur la semence que tu auras semée en terre, et le pain que donnera la terre sera délicieux et abondant; tes troupeaux en ce jour-là paîtront dans de vastes pâturages;
24 Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
et les bœufs et les ânes, qui travaillent la terre, mangeront un fourrage savoureux vanné avec la pelle et le van.
25 Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
Et sur toute haute montagne, et sur toute colline élevée, il y aura des ruisseaux, des courants d’eau, au jour du grand carnage quand les tours tomberont.
26 Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
La lumière de la lune sera comme la lumière du soleil, et la lumière du soleil sera sept fois plus grande, comme la lumière de sept jours, au jour où Yahweh bandera la blessure de son peuple, et guérira les plaies dont il l’avait frappé.
27 jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
Voici que le nom de Yahweh vient de loin, sa colère brûle, et l’ardeur en est accablante; ses lèvres respirent la fureur, et sa langue est comme un feu dévorant.
28 Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
Son souffle est comme un torrent débordé, qui monte jusqu’au cou, pour cribler les nations avec le crible de la destruction, et mettre un frein d’égarement aux mâchoires des peuples.
29 Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
Alors vous entonnerez des cantiques comme dans la nuit où l’on célèbre la fête, et vous aurez le cœur joyeux, comme celui qui monte au son de la flûte, pour aller à la montagne de Yahweh, vers le rocher d’Israël.
30 Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
Yahweh fera éclater la majesté de sa voix, et il fera voir son bras qui s’abaisse, dans l’ardeur de sa colère, et la flamme d’un feu dévorant, dans la tempête, l’averse et les pierres de grêle.
31 Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
Et Assur tremblera à la voix de Yahweh; il frappera de sa verge,
32 Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
et, à chaque fois que passera la verge fatale, que Yahweh abaissera sur lui, on fera retentir les tambourins et les harpes, et il combattra contre lui à coups redoublés.
33 Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.
Car Topheth est dès longtemps préparé; lui aussi est prêt pour le roi; le Seigneur l’a fait large et profond; il y a sur son bûcher du feu et du bois en abondance; le souffle de Yahweh, comme un torrent de soufre, l’embrase.