< Isaya 30 >

1 Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
“Woe to the rebellious children,” this is Yahweh's declaration. “They make plans, but not from me; they make alliances with other nations, but they were not directed by my Spirit, so they add sin to sin.
2 Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
They set out to go down into Egypt, but have not asked for my direction. They seek protection from Pharaoh and take refuge in the shadow of Egypt.
3 Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
Therefore Pharaoh's protection will be your shame, and the refuge in Egypt's shade, your humiliation,
4 japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
although their princes are at Zoan, and their messengers have come to Hanes.
5 Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
They will all be ashamed because of a people who cannot help them, who are neither help nor aid, but a shame, and even a disgrace.”
6 Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
A declaration about the beasts of the Negev: Through the land of trouble and danger, of the lioness and the lion, the viper and fiery flying serpent, they carry their riches on the backs of donkeys, and their treasures on the camels' humps, to a people who cannot help them.
7 Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
For Egypt's help is worthless; therefore I have called her Rahab, who sits still.
8 Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
Now go, write it in their presence on a tablet, and inscribe it on a scroll, that it may be preserved for the time to come as a testimony.
9 Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
For these are a rebellious people, lying children, children who will not hear the instruction of Yahweh.
10 Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
They say to the seers, “Do not see;” and to the prophets, “Do not prophesy the truth to us; speak flattering words to us, prophesy illusions.
11 ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
Turn aside from the way, stray off the path; cause the Holy One of Israel to cease speaking before our face.”
12 Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
Therefore the Holy One of Israel says, “Because you reject this word and trust in oppression and deceit and lean on it,
13 hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
so this sin will be to you like a broken part ready to fall, like a bulge in a high wall whose fall will happen suddenly, in an instant.”
14 Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
He will break it as a potter's vessel is broken; he will not spare it, so that there will not be found among its pieces a shard with which to scrape fire from the hearth, or to scoop up water out of the cistern.
15 Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
For this is what the Lord Yahweh, the Holy One of Israel says, “In returning and resting you will be saved; in quietness and in trust will be your strength. But you were not willing.
16 Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
You said, 'No, for we will flee on horses,' so you will flee; and, 'We will ride upon swift horses,' so those who pursue you will be swift.
17 Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
One thousand will flee at the threat of one; at the threat of five you will flee until your remnant will be like a flagstaff on the top of a mountain, or like a flag on a hill.”
18 Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
Yet Yahweh is waiting to be gracious to you, therefore he is ready to show you mercy. For Yahweh is a God of justice; blessed are all those who wait for him.
19 Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
For a people will live in Zion, in Jerusalem, and you will weep no more. He will surely be gracious to you at the sound of your cry. When he hears it, he will answer you.
20 Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
Though Yahweh gives you the bread of adversity and the water of affliction, even so, your teacher will not hide himself anymore, but you will see your teacher with your own eyes.
21 Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
Your ears will hear a word behind you saying, “This is the way, walk in it,” when you turn to the right or when you turn to the left.
22 Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
You will desecrate your carved figures overlaid with silver and your gold cast figures. You will throw them away like a menstrual rag. You will say to them, “Get out of here.”
23 Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
He will give the rain for your seed when you sow the ground, and bread with abundance from the ground, and the crops will be abundant. In that day your cattle will graze in broad pastures.
24 Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
The oxen and the donkeys, who plow the ground, will eat seasoned feed that has been winnowed with a shovel and a fork.
25 Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
On every high mountain and on every high hill, there will be flowing brooks and streams of waters, in the day of the great slaughter when the towers fall.
26 Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
The light of the moon will be like the light of the sun, and the light of the sun will be seven times brighter, like the sunlight of seven days. Yahweh will bind up the breaking of his people and heal the bruises of his wounding them.
27 jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
Look, the name of Yahweh comes from a distant place, burning with his anger and in dense smoke. His lips are full of fury, and his tongue is like a devouring fire.
28 Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
His breath is like an overflowing torrent that reaches up to the middle of the neck, to sift the nations with the sieve of destruction. His breath is a bridle in the jaws of the peoples to cause them to wander away.
29 Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
You will have a song as in the night when a holy feast is observed, and gladness of heart, as when one goes with a flute to the mountain of Yahweh, to the Rock of Israel.
30 Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
Yahweh will make the splendor of his voice heard and show the motion of his arm in storming anger and flames of fire, with windstorm, rainstorm, and hailstones.
31 Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
For at the voice of Yahweh, Assyria will be shattered; he will strike them with a staff.
32 Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
Every stroke of the appointed rod that Yahweh will lay on them will be accompanied with the music of tambourines and harps as he battles and fights with them.
33 Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.
For a place of burning was prepared long ago. Indeed, it is prepared for the king, and God has made it deep and wide. The pile is ready with a fire and much wood. The breath of Yahweh, like a stream of brimstone, will set it on fire.

< Isaya 30 >