< Isaya 30 >
1 Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
“Woe to the sons of apostasy!” says the Lord. For you would take advice, but not from me. And you would begin to weave, but not by my spirit. Thus do you add sin upon sin!
2 Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
You are walking so as to descend into Egypt, and you have not sought answers from my mouth, instead hoping for assistance from the strength of Pharaoh and placing trust in the shadow of Egypt.
3 Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
And so, the strength of Pharaoh will be your confusion, and trust in the shadow of Egypt will be your disgrace.
4 japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
For your leaders were at Tanis, and your messengers have traveled even as far as Hanes.
5 Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
They have all been confounded because of a people who were not able to offer profit to them, who were not of assistance, nor of other usefulness, except to offer confusion and reproach.
6 Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
The burden of the beasts in the south. In a land of tribulation and anguish, from which go forth the lioness and the lion, the viper and the flying king snake, they carry their riches upon the shoulders of beasts of burden, and their valuables upon the humps of camels, to a people who are not able to offer profit to them.
7 Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
For Egypt will offer assistance, but without purpose or success. Therefore, concerning this, I cried out: “It is only arrogance! Remain calm.”
8 Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
Now, therefore, enter and write for them upon a tablet, and note it diligently in a book, and this shall be a testimony in the last days, and even unto eternity.
9 Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
For they are a people who provoke to wrath, and they are lying sons, sons unwilling to listen to the law of God.
10 Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
They say to the seers, “Do not see,” and to those who behold: “Do not behold for us the things that are right. Speak to us of pleasing things. See errors for us.
11 ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
Take me from the way. Avert me from the path. Let the Holy One of Israel cease from before our face.”
12 Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
Because of this, thus says the Holy One of Israel: Since you have rejected this word, and you have hoped in calumny and rebellion, and since you have depended upon these things,
13 hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
for this reason, this iniquity will be to you like a breach that has fallen, and like a gap in a high wall. For its destruction will happen suddenly, when it is not expected.
14 Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
And it will be crushed, just as the earthen vessel of a potter is destroyed by a sharp blow. And not even a fragment of its earthenware will be found, which might carry a little fire from the hearth, or which might draw a little water from a hollow.
15 Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
For thus says the Lord God, the Holy One of Israel: If you return and are quiet, you shall be saved. Your strength will be found in silence and in hope. But you are not willing!
16 Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
And you have said: “Never! Instead, we will flee by horseback.” For this reason, you will be put to flight. And you have said, “We will climb upon swift ones.” For this reason, those who pursue you will be even swifter.
17 Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
A thousand men will flee in terror from the face of one, and you will flee in terror from the face of five, until you who have been left behind are like the mast of a ship at the top of a mountain, or like a sign on a hill.
18 Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
Therefore, the Lord waits, so that he may take pity on you. And therefore, he will be exalted for sparing you. For the Lord is the God of judgment. Blessed are all those who wait for him.
19 Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
For the people of Zion will live in Jerusalem. Bitterly, you will not weep. Mercifully, he will take pity on you. At the voice of your outcry, as soon as he hears, he will respond to you.
20 Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
And the Lord will give you thick bread and accessible water. And he will not cause your teacher to fly away from you anymore. And your eyes will behold your instructor.
21 Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
And your ears will listen to the word of one admonishing you behind your back: “This is the way! Walk in it! And do not turn aside, neither to the right, nor to the left.”
22 Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
And you will defile the plates of your silver graven images and the vestment of your gold molten idols. And you will throw these things away like the uncleanness of a menstruating woman. You will say to it, “Go away!”
23 Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
And wherever you sow seed upon the earth, rain will be given to the seed. And bread from the grain of the earth will be very plentiful and full. In that day, the lamb will pasture in the spacious land of your possession.
24 Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
And your bulls, and the colts of the donkeys that work the ground, will eat a mix of grains like that winnowed on the threshing floor.
25 Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
And there will be, on every lofty mountain, and on every elevated hill, rivers of running water, in the day of the slaughter of many, when the tower will fall.
26 Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
And the light of the moon will be like the light of the sun, and the light of the sun will be sevenfold, like the light of seven days, in the day when the Lord will bind the wound of his people, and when he will heal the stroke of their scourge.
27 jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
Behold, the name of the Lord arrives from far away. His fury is burning and heavy to bear. His lips have been filled with indignation, and his tongue is like a devouring fire.
28 Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
His Spirit is like a torrent, inundating, even as high as the middle of the neck, in order to reduce the nations to nothing, along with the bridle of error that was in the jaws of the people.
29 Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
There will be a song for you, as in the night of a sanctified solemnity, and a joy of heart, as when one travels with music to arrive at the mountain of the Lord, to the Strong One of Israel.
30 Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
And the Lord will cause the glory of his voice to be heard, and, with a threatening fury and a devouring flame of fire, he will reveal the terror of his arm. He will crush with the whirlwind and with hailstones.
31 Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
For at the voice of the Lord, Assur will dread being struck with the staff.
32 Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
And when the passage of the staff has been begun, the Lord will cause it to rest upon him, with timbrels and harps. And with special battles, he will fight against them.
33 Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.
For a burning place, deep and wide, has been prepared from yesterday, prepared by the King. Its nourishment is fire and much wood. The breath of the Lord, like a torrent of brimstone, kindles it.