< Isaya 3 >

1 Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
Voilà que le Dominateur, Dieu des armées, va enlever de la Judée et de Jérusalem le puissant et la puissante, la force du pain et la force de l'eau;
2 mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
Le grand, le fort et l'homme de guerre, le juge, le sage et l'ancien;
3 naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
Le chef de cinquante hommes et le conseiller vénérable, l'habile architecte et l'auditeur intelligent.
4 Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
Et je ferai des jeunes gens leurs princes, et des railleurs les gouverneront.
5 Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
Et le peuple en viendra aux mains, homme contre homme, ami contre ami; l'enfant frappera sur le vieillard, l'infâme sur l'honnête homme.
6 Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
L'homme prendra son frère ou son proche parent dans la famille de son père, et il lui dira: Tu as un manteau, sois notre prince, et que ma nourriture soit dans ta main.
7 'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
Et ce jour-là l'antre répondra: Je ne serai pas ton prince, car il n'y a en ma maison ni pain ni manteau; je ne serai pas le prince de ce peuple.
8 Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
Car Jérusalem est ruinée et Juda est tombé; et leurs langues sont avec l'iniquité, et ils n'obéissent point au Seigneur. C'est pourquoi leur gloire est maintenant abaissée,
9 Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
Et la confusion de leur visage porte témoignage contre eux; et, comme Sodome, ils ont montré et proclamé leur péché. Malheur à leurs âmes! car ils ont pris une funeste résolution contre eux-mêmes,
10 Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
Disant: Enchaînons le juste, parce qu'il nous est insupportable. Aussi goûteront-ils les fruits de leurs œuvres.
11 Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
Malheur à l'impie! il lui arrivera mal à cause des œuvres de ses mains.
12 Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
Mon peuple, tes exacteurs rapinent, et des usuriers te maîtrisent; mon peuple, ceux qui te déclarent heureux t'égarent, et ils bouleversent le sentier où tu marches.
13 Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
Mais maintenant le Seigneur va siéger pour juger, et il entrera en jugement avec son peuple.
14 Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
Le Seigneur en personne entrera en jugement avec les anciens et les princes du peuple. Ô vous donc, pourquoi avez-vous mis le feu à ma vigne? pourquoi la dépouille du pauvre est-elle en vos maisons?
15 Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
Pourquoi faites-vous tort à mon peuple? pourquoi couvrez-vous de confusion la face des pauvres?
16 Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
Or voici ce que dit le Seigneur: Parce que les filles de Sion sont altières, et qu'elles ont marché la tête haute, en faisant signe des yeux, et qu'elles ont traîné leurs tuniques du mouvement de leurs pieds, et qu'elles ont eu une démarche étudiée,
17 Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
Dieu humiliera dans Sion les filles du premier rang, et le Seigneur les dépouillera de leurs ornements.
18 Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
Et ce jour-là le Seigneur détruira la gloire de leur parure, leurs réseaux, leurs tresses et leurs épingles d'or,
19 bangili za miguu na taji zao;
Et leurs colliers et le fard de leur visage,
20 kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
Et l'ensemble de leurs joyaux de gloire, bracelets, anneaux, chaînettes, bagues et pendants d'oreilles,
21 Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
Et leurs franges de pourpre et leurs robes de pourpre,
22 sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
Et leurs habits de l'intérieur de la maison, et leurs habits transparents de Laconie,
23 vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
Et leurs robes de fin lin, d'hyacinthe et d'écarlate, et leurs tissus de fin lin, d'or et d'hyacinthe, et leurs longs voiles d'été.
24 Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
Et au lieu de suaves parfums tu te couvriras de cendre; et au lieu de tes rubans tu te ceindras d'une corde; et au lieu d'une tête ornée de bijoux d'or tu auras un crâne chauve, en punition de tes œuvres; et au lieu d'une tunique de pourpre tu te revêtiras d'un cilice.
25 na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
Et le fils si beau que tu chéris tombera sous le glaive, et tes forts périront par l'épée.
26 Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.
Et ils seront humiliés, et les trésors où tu gardais tes bijoux pleureront; et tu resteras seule, et tu seras brisée contre terre.

< Isaya 3 >