< Isaya 3 >

1 Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
For, behold, the Lord, the LORD of hosts, doth take away from Jerusalem and from Judah the rod and the staff, the whole support of bread, and the whole support of water,
2 mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
The mighty man, and the man of war, the judge, and the prophet, and the prudent, and the ancient,
3 naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
The captain of fifty, and the honourable man, and the counsellor, and the skilful craftsman, and the eloquent orator.
4 Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
And I will give children to be their princes, and babes shall rule over them.
5 Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
And the people shall be oppressed, every one by another, and every one by his neighbour: the child shall behave himself proudly against the elder, and the base against the honourable.
6 Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
When a man shall take hold of his brother of the house of his father, saying, Thou hast clothing, be thou our ruler, and let this ruin be under thy hand:
7 'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
In that day shall he swear, saying, I will not be an healer; for in my house is neither bread nor clothing: make me not a ruler of the people.
8 Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
For Jerusalem is ruined, and Judah is fallen: because their tongue and their doings are against the LORD, to provoke the eyes of his glory.
9 Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
The show of their countenance doth witness against them; and they declare their sin as Sodom, they hide it not. Woe to their soul! for they have rewarded evil to themselves.
10 Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
Say ye to the righteous, that it shall be well with him: for they shall eat the fruit of their doings.
11 Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
Woe to the wicked! it shall be ill with him: for the reward of his hands shall be given him.
12 Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
As for my people, children are their oppressors, and women rule over them. O my people, they who lead thee cause thee to err, and destroy the way of thy paths.
13 Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
The LORD standeth up to plead, and standeth to judge the people.
14 Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
The LORD will enter into judgment with the elders of his people, and with their princes: for ye have eaten up the vineyard; the spoil of the poor is in your houses.
15 Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
What mean ye that ye beat my people to pieces, and grind the faces of the poor? saith the Lord GOD of hosts.
16 Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
Moreover the LORD saith, Because the daughters of Zion are haughty, and walk with extended necks and wanton eyes, walking and mincing as they go, and making a tinkling with their feet:
17 Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
Therefore the Lord will smite with a scab the crown of the head of the daughters of Zion, and the LORD will uncover their secret parts.
18 Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
In that day the Lord will take away the show of their tinkling anklets, and their scarves, and their necklaces like the moon,
19 bangili za miguu na taji zao;
The pendant, and the bracelets, and the veils,
20 kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
The headdresses, and the leg ornaments, and the headbands, and the perfume bottles, and the charms,
21 Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
The rings, and nose jewels,
22 sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
The fine robes, and the mantles, and the outer garments, and the purses,
23 vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
The mirrors, and the fine linen, and the turbans, and the veils.
24 Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
And it shall come to pass, that instead of sweet smell there shall be a foul odour; and instead of a belt a rope; and instead of well set hair baldness; and instead of a rich robe a girding of sackcloth; and a brand instead of beauty.
25 na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
Thy men shall fall by the sword, and thy mighty in the war.
26 Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.
And her gates shall lament and mourn; and she being desolate shall sit upon the ground.

< Isaya 3 >