< Isaya 3 >

1 Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
For, behold, the Lord, the LORD of hosts, doth take away from Jerusalem and from Judah stay and staff, the whole stay of bread, and the whole stay of water;
2 mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
the mighty man, and the man of war; the judge, and the prophet, and the diviner, and the ancient;
3 naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
the captain of fifty, and the honourable man, and the counsellor, and the cunning artificer, and the skilful enchanter.
4 Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
And I will give children to be their princes, and babes shall rule over them.
5 Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
And the people shall be oppressed, every one by another, and every one by his neighbour: the child shall behave himself proudly against the ancient, and the base against the honourable.
6 Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
When a man shall take hold of his brother in the house of his father, [saying], Thou hast clothing, be thou our ruler, and let this ruin be under thy hand:
7 'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
in that day shall he lift up [his voice], saying, I will not be an healer; for in my house is neither bread nor clothing: ye shall not make me ruler of the people.
8 Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
For Jerusalem is ruined, and Judah is fallen: because their tongue and their doings are against the LORD, to provoke the eyes of his glory.
9 Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
The shew of their countenance doth witness against them; and they declare their sin as Sodom, they hide it not. Woe unto their soul! for they have rewarded evil unto themselves.
10 Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
Say ye of the righteous, that [it shall be] well [with him]: for they shall eat the fruit of their doings.
11 Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
Woe unto the wicked! [it shall be] ill [with him]: for the reward of his hands shall be given him.
12 Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
As for my people, children are their oppressors, and women rule over them. O my people, they which lead thee cause thee to err, and destroy the way of thy paths.
13 Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
The LORD standeth up to plead, and standeth to judge the peoples.
14 Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
The LORD will enter into judgment with the elders of his people, and the princes thereof: It is ye that have eaten up the vineyard; the spoil of the poor is in your houses:
15 Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
what mean ye that ye crush my people, and grind the face of the poor? saith the Lord, the LORD of hosts.
16 Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
Moreover the LORD said, Because the daughters of Zion are haughty, and walk with stretched forth necks and wanton eyes, walking and mincing as they go, and making a tinkling with their feet:
17 Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
therefore the Lord will smite with a scab the crown of the head of the daughters of Zion, and the LORD will lay bare their secret parts.
18 Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
In that day the Lord will take away the bravery of their anklets, and the cauls, and the crescents;
19 bangili za miguu na taji zao;
the pendants, and the bracelets, and the mufflers;
20 kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
the headtires, and the ankle chains, and the sashes, and the perfume boxes, and the amulets;
21 Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
the rings, and the nose jewels;
22 sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
the festival robes, and the mantles, and the shawls, and the satchels;
23 vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
the hand mirrors, and the fine linen, and the turbans, and the veils.
24 Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
And it shall come to pass, that instead of sweet spices there shall be rottenness; and instead of a girdle a rope; and instead of well set hair baldness; and instead of a stomacher a girding of sackcloth: branding instead of beauty.
25 na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
Thy men shall fall by the sword, and thy mighty in the war.
26 Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.
And her gates shall lament and mourn; and she shall be desolate and sit upon the ground.

< Isaya 3 >