< Isaya 29 >
1 Ole kwa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi ameweka kambi! mwaka hadi mwaka unaongezeka; basi tamasha linakaribia kuja.
Горе граду Ариилу, наньже Давид воева. Соберите жита от года до года, снесте бо вкупе с Моавом:
2 Lakini nitauzingira Arieli, na watalia na kuomboleza; na watakuwa kwangu kama Arieli.
озлоблю бо Ариила, и будет крепость его и богатство Мне:
3 Nitaweka kambi dhidi yako katika mzunguko, nitakuzingira kwa kuweka uzio dhidi yako.
и обсяду тя аки Давид, и поставлю окрест тебе острог, и согражду столпы.
4 Utaletwa chini na utazungumza kutoka chini kwenye aridhi; maongezi yako yatashushwa kutoka mavumbini. Sauti yako itakuwa kama ya pepo kwenye ardhi, na maneno yako yatakuwa dhaifu kutoka mavumbini.
И смирятся словеса твоя до земли, и в землю внидут словеса твоя: и будет глас твой аки гласящих от земли, и ко земли изнеможет глас твой.
5 Jeshi la maadui wako watakuwa kama vumbi dogo, na wingi wa wasiotisha utakuwa kama makapi yanayopita. Itatokea mara moja, papo hapo.
И будет яко персть от колесе богатство нечестивых, и аки прах летяй множество утесняющих тя, и будет аки черта внезапу от Господа Саваофа.
6 Yahwe wa majeshi atakuja kwenu kwa radi, tetemeko la aridhi, sauti kubwa, na upepo mkali na dhoruba kali, na mwali wa moto uteketezao.
Присещение бо будет со громом и с трусом и гласом великим, буря несома и пламень огненный поядаяй.
7 Itakuwa kama ndoto, maono ya usiku: Jeshi la mataifa yote yatapigana dhidi ya Arieli na ngome zake. Watawavamia yeye na ngome zinazowanyanyasa wao.
И будет аки соние видяй во сне нощию, богатство всех языков, елицы воеваша на Ариила, и вси, иже воеваша на Иерусалима, и вси собраннии нань и озлобляющии его.
8 Itakuwa kama mtu mwenye njaa anayeota anakula, lakini pindi anapoamka tumbo halina kitu. Itakuwa kama mtu mwenye kiu anayeota anakunywa maji, lakini anapoamka, anazirai, kwa sababu ya kiu na sio kuizima. Ndio, itakavyokuwa idadi kubwa ya wapiganaji dhidi ya Mlima Sayuni.
И будут аки во сне ядущии и пиющии, и воставшым, тощь их сон: и якоже во сне жаждай аки пияй, воспрянув же еще жаждет, душа же его вотще надеяся: тако будет богатство всех языков, елицы воеваша на гору Сионю.
9 Shangaeni wenyewe na mjishangae; jifanye kipofu na uwe kipofu! uwe mlevi lakini sio wa mvinyo; yumbayumba lakini sio kwa bia.
Разслабейте и ужаснитеся, и упийтеся не сикером, ни вином,
10 Maana Yahwe ameachila roho wake katika usingizi wa kina, Ameyafunga macho yako, manabii, na amefunika kichwa chako, waonaji.
яко напои вас Господь духом умиления, и смежит очи их и пророков их и князей их, видящих сокровенная.
11 Ufunuo wote umekuja kwako kama maneno ya kitabu kilichotiwa muhuri, ambacho watu wanaweza kumpa mtu anayejifunza, na kusema hivi, ''Soma hiki.'' na atasema, ''Siwezi maana imetiwa muhuri.''
И будут вам вся сия словеса, аки словеса книги запечатленныя сея, юже аще дадут человеку ведущему писания, глаголюще: прочти сие. И речет: не могу прочести, запечатленна бо.
12 Kama kitabu kitapewa kwa mtu asiyeweza kusoma, na kumwambia, '''Soma hiki,'' na anasema, ''Siwezi kusoma.''
И дастся книга сия в руце человеку не ведущему писания, и речется ему: прочти сие. И речет: не вем писания.
13 Bwana asema, ''Watu hawa wananikaribia mimi na kunishimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbalii na mimi. Heshima yao kwangu ni kwa sababu tu ya amri waliofundishwa.
И рече Господь: приближаются Мне людие сии усты своими и устнами своими почитают Мя, сердце же их далече отстоит от Мене: всуе же почитают Мя, учаще заповедем человеческим и учением.
14 Hivyo basi, tazama, Nitaendelea kufanya mambo ya ajabu mwiongoni mwa watu hawa, maajabu baada ya maajabu. Hekima ya wenye busara itatoweka, na uelewa wa watu wenye busara utatokomea.''
Сего ради се, Аз приложу, еже преселити люди сия, и преставлю я, и погублю премудрость премудрых и разум разумных сокрыю.
15 Ole wao wale wanaoficha mipango yao kwa Yahwe, na wale ambao matendo yao ni ya giza. Wanasema, ''Nani anayetuona sisi, na ni nani anayetutambua sisi?
Горе творящым глубоко совет, а не Господем: горе в тайне совет творящым, и будут во тме дела их, и рекут: кто ны виде, и кто ны уразумеет, яже мы творим?
16 Nyie mnaebadilisha vitu juu chini! Je mfinyanzi anaweza kufikiriwa kama udongo, hivyo basi vitu vinavyotengeneza vitasema kuhusu aliyevitengeneza, ''Hajanitengeneza mimi, ''au vitu vinavyotngenezwa viseme kuhusu aliyevitengeneza, Hajaelewa''?
Не якоже ли брение скудельника вменитеся? Еда речет здание создавшему е: не ты мя создал еси? Или творение сотворшему: не разумно мя сотворил еси?
17 Katika mda mdogo uliobakia, Lebanoni itajeuzwa kuwa shamba, na shamba litakuwa msitu.
Не еще ли мало, и приложится Ливан, аки гора Хермель, и Хермель в дубраву вменится?
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kitabu, na macho ya vipofu yataona katika giza nene.
И услышат в день оный глусии словеса книги (сея), и иже во тме и иже во мгле очи слепых узрят.
19 Waliodhulumiwa watafuurahia pamoja na Yahwe, na masikini miongoni mwa watu watafurahia kwa Mtakatifu wa Israeli.
И возрадуются нищии ради Господа в веселии, и отчаявшиися человецы исполнятся веселия.
20 Maana watu wasio katili watakwisha, na wenye dharau watatoweka. Wale wote wanopendakuteda maovu wataondolewa,
Изчезе беззаконник, и погибе гордый, и потребишася вси беззаконнующии во злобе
21 nani na kwa neno linamfanya mtu kuwa mkosaji. Watamuekea mtego kwa yeye anayeitafuta haki katika geti na kuweka haki chini kwa uongo usio na kitu.
и творящии согрешати человеки во слове: всем же обличающым во вратех претыкание положат, понеже совратиша в неправдах праведнаго.
22 Hivyo basi Yahwe asema hivi kuhusu nyumba ya Yakobo- Yahwe aliyemkomboa Ibrahimu, ''Yakobo hataaibika tena, wala uso wake hautabadilika rangi yake.
Сего ради тако глаголет Господь на дом Иаковль, егоже определи от Авраама: не ныне постыдится Иаков, ниже ныне лице свое изменит Израиль:
23 Lakini anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, watalitakasa jina langu, Watalitakasa jina langu Mtakatifu wa Yakobo, na wtasimama katika hofu ya Mungu wa Israeli.
но егда увидят чада их дела Моя, Мене ради освятят имя Мое и освятят Святаго Иаковля, и Бога Израилева убоятся.
24 Wale watakaopotea kiroho watapata uelewa na walalamikaji watajifunza maarifa.''
И уразумеют заблуждающии духом смысл, и ропщущии научатся послушати, и языцы немотствующии научатся глаголати мир.