< Isaya 29 >

1 Ole kwa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi ameweka kambi! mwaka hadi mwaka unaongezeka; basi tamasha linakaribia kuja.
وای بر اریئیل! وای بر اریئیل! شهری که داود در آن خیمه زد. سال بر سال مزید کنید و عیدها دور زنند.۱
2 Lakini nitauzingira Arieli, na watalia na kuomboleza; na watakuwa kwangu kama Arieli.
و من اریئیل را به تنگی خواهم‌انداخت و ماتم و نوحه گری خواهد بود و آن برای من مثل اریئیل خواهد بود.۲
3 Nitaweka kambi dhidi yako katika mzunguko, nitakuzingira kwa kuweka uzio dhidi yako.
و بر توبه هر طرف اردو زده، تو را به باره‌ها محاصره خواهم نمود و منجنیقها بر تو خواهم افراشت.۳
4 Utaletwa chini na utazungumza kutoka chini kwenye aridhi; maongezi yako yatashushwa kutoka mavumbini. Sauti yako itakuwa kama ya pepo kwenye ardhi, na maneno yako yatakuwa dhaifu kutoka mavumbini.
و به زیر افکنده شده، از زمین تکلم خواهی نمودو کلام تو از میان غبار پست خواهد گردید و آوازتو از زمین مثل آواز جن خواهد بود و زبان تو ازمیان غبار زمزم خواهد کرد.۴
5 Jeshi la maadui wako watakuwa kama vumbi dogo, na wingi wa wasiotisha utakuwa kama makapi yanayopita. Itatokea mara moja, papo hapo.
اما گروه دشمنانت مثل گرد نرم خواهند شد و گروه ستم کیشان مانندکاه که می‌گذرد و این بغته در لحظه‌ای واقع خواهد شد.۵
6 Yahwe wa majeshi atakuja kwenu kwa radi, tetemeko la aridhi, sauti kubwa, na upepo mkali na dhoruba kali, na mwali wa moto uteketezao.
و از جانب یهوه صبایوت با رعد وزلزله و صوت عظیم و گردباد و طوفان و شعله آتش سوزنده از تو پرسش خواهد شد.۶
7 Itakuwa kama ndoto, maono ya usiku: Jeshi la mataifa yote yatapigana dhidi ya Arieli na ngome zake. Watawavamia yeye na ngome zinazowanyanyasa wao.
وجمعیت تمام امت هایی که با اریئیل جنگ می‌کنند یعنی تمامی آنانی که بر او و بر قلعه وی مقاتله می‌نمایند و او را بتنگ می‌آورند مثل خواب و رویای شب خواهند شد.۷
8 Itakuwa kama mtu mwenye njaa anayeota anakula, lakini pindi anapoamka tumbo halina kitu. Itakuwa kama mtu mwenye kiu anayeota anakunywa maji, lakini anapoamka, anazirai, kwa sababu ya kiu na sio kuizima. Ndio, itakavyokuwa idadi kubwa ya wapiganaji dhidi ya Mlima Sayuni.
و مثل شخص گرسنه که خواب می‌بیند که می‌خورد وچون بیدار شود شکم او تهی است. یا شخص تشنه که خواب می‌بیند که آب می‌نوشد و چون بیدار شود اینک ضعف دارد و جانش مشتهی می‌باشد. همچنین تمامی جماعت امت هایی که باکوه صهیون جنگ می‌کنند خواهند شد.۸
9 Shangaeni wenyewe na mjishangae; jifanye kipofu na uwe kipofu! uwe mlevi lakini sio wa mvinyo; yumbayumba lakini sio kwa bia.
درنگ کنید و متحیر باشید و تمتع برید وکور باشید. ایشان مست می‌شوند لیکن نه ازشراب و نوان می‌گردند اما نه از مسکرات.۹
10 Maana Yahwe ameachila roho wake katika usingizi wa kina, Ameyafunga macho yako, manabii, na amefunika kichwa chako, waonaji.
زیراخداوند بر شما روح خواب سنگین را عارض گردانیده، چشمان شما را بسته است. و انبیا وروسای شما یعنی رائیان را محجوب کرده است.۱۰
11 Ufunuo wote umekuja kwako kama maneno ya kitabu kilichotiwa muhuri, ambacho watu wanaweza kumpa mtu anayejifunza, na kusema hivi, ''Soma hiki.'' na atasema, ''Siwezi maana imetiwa muhuri.''
و تمامی رویا برای شما مثل کلام تومارمختوم گردیده است که آن را به کسی‌که خواندن می داند داده، می‌گویند: این را بخوان و اومی گوید: نمی توانم چونکه مختوم است.۱۱
12 Kama kitabu kitapewa kwa mtu asiyeweza kusoma, na kumwambia, '''Soma hiki,'' na anasema, ''Siwezi kusoma.''
و آن طومار را به کسی‌که خواندن نداند داده، می‌گوینداین را بخوان و او می‌گوید خواندن نمی دانم.۱۲
13 Bwana asema, ''Watu hawa wananikaribia mimi na kunishimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbalii na mimi. Heshima yao kwangu ni kwa sababu tu ya amri waliofundishwa.
و خداوند می‌گوید: «چونکه این قوم ازدهان خود به من تقرب می‌جویند و به لبهای خویش مرا تمجید می‌نمایند اما دل خود را از من دور کرده‌اند و ترس ایشان از من وصیتی است که از انسان آموخته‌اند،۱۳
14 Hivyo basi, tazama, Nitaendelea kufanya mambo ya ajabu mwiongoni mwa watu hawa, maajabu baada ya maajabu. Hekima ya wenye busara itatoweka, na uelewa wa watu wenye busara utatokomea.''
بنابراین اینک من بار دیگربا این قوم عمل عجیب و غریب بجا خواهم آوردو حکمت حکیمان ایشان باطل و فهم فهیمان ایشان مستور خواهد شد.»۱۴
15 Ole wao wale wanaoficha mipango yao kwa Yahwe, na wale ambao matendo yao ni ya giza. Wanasema, ''Nani anayetuona sisi, na ni nani anayetutambua sisi?
وای بر آنانی که مشورت خود را از خداوندبسیار عمیق پنهان می‌کنند و اعمال ایشان درتاریکی می‌باشد و می‌گویند: «کیست که مارا ببیندو کیست که ما را بشناسد؟»۱۵
16 Nyie mnaebadilisha vitu juu chini! Je mfinyanzi anaweza kufikiriwa kama udongo, hivyo basi vitu vinavyotengeneza vitasema kuhusu aliyevitengeneza, ''Hajanitengeneza mimi, ''au vitu vinavyotngenezwa viseme kuhusu aliyevitengeneza, Hajaelewa''?
‌ای زیر و زبرکنندگان هرچیز! آیا کوزه‌گر مثل گل محسوب شود یا مصنوع درباره صانع خود گوید مرانساخته است و یا تصویر درباره مصورش گویدکه فهم ندارد؟۱۶
17 Katika mda mdogo uliobakia, Lebanoni itajeuzwa kuwa shamba, na shamba litakuwa msitu.
آیا در اندک زمانی واقع نخواهدشد که لبنان به بوستان مبدل گردد و بوستان به جنگل محسوب شود؟۱۷
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kitabu, na macho ya vipofu yataona katika giza nene.
و در آن روز کران کلام کتاب را خواهند شنید و چشمان کوران از میان ظلمت و تاریکی خواهد دید.۱۸
19 Waliodhulumiwa watafuurahia pamoja na Yahwe, na masikini miongoni mwa watu watafurahia kwa Mtakatifu wa Israeli.
و حلیمان شادمانی خود را در خداوند مزید خواهند کرد ومسکینان مردمان در قدوس اسرائیل وجدخواهند نمود.۱۹
20 Maana watu wasio katili watakwisha, na wenye dharau watatoweka. Wale wote wanopendakuteda maovu wataondolewa,
زیرا که ستمگران نابود واستهزاکنندگان معدوم خواهند شد و پیروان شرارت منقطع خواهند گردید.۲۰
21 nani na kwa neno linamfanya mtu kuwa mkosaji. Watamuekea mtego kwa yeye anayeitafuta haki katika geti na kuweka haki chini kwa uongo usio na kitu.
که انسان را به سخنی مجرم می‌سازند و برای کسی‌که در محکمه حکم می‌کند دام می‌گسترانند و عادل رابه بطالت منحرف می‌سازند.۲۱
22 Hivyo basi Yahwe asema hivi kuhusu nyumba ya Yakobo- Yahwe aliyemkomboa Ibrahimu, ''Yakobo hataaibika tena, wala uso wake hautabadilika rangi yake.
بنابراین خداوندکه ابراهیم را فدیه داده است درباره خاندان یعقوب چنین می‌گوید که از این به بعد یعقوب خجل نخواهد شد و رنگ چهره‌اش دیگرنخواهد پرید.۲۲
23 Lakini anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, watalitakasa jina langu, Watalitakasa jina langu Mtakatifu wa Yakobo, na wtasimama katika hofu ya Mungu wa Israeli.
بلکه چون فرزندان خود را که عمل دست من می‌باشند در میان خویش بیندآنگاه ایشان اسم مرا تقدیس خواهند نمود وقدوس یعقوب را تقدیس خواهند کرد و ازخدای اسرائیل خواهند ترسید.۲۳
24 Wale watakaopotea kiroho watapata uelewa na walalamikaji watajifunza maarifa.''
و آنانی که روح گمراهی دارند فهیم خواهند شد و متمردان تعلیم را خواهند آموخت.۲۴

< Isaya 29 >