< Isaya 29 >

1 Ole kwa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi ameweka kambi! mwaka hadi mwaka unaongezeka; basi tamasha linakaribia kuja.
Malheur à Ariel, Ariel, cité qu’a prise d’assaut David; une année s’est jointe à une année; des solennités se sont écoulées.
2 Lakini nitauzingira Arieli, na watalia na kuomboleza; na watakuwa kwangu kama Arieli.
Et j’environnerai Ariel de tranchées; et elle sera triste, affligée, et elle sera pour moi comme Ariel.
3 Nitaweka kambi dhidi yako katika mzunguko, nitakuzingira kwa kuweka uzio dhidi yako.
Et je ferai comme un cercle tout autour de toi, et je poserai un rempart contre toi; et je placerai des fortifications pour ton siège.
4 Utaletwa chini na utazungumza kutoka chini kwenye aridhi; maongezi yako yatashushwa kutoka mavumbini. Sauti yako itakuwa kama ya pepo kwenye ardhi, na maneno yako yatakuwa dhaifu kutoka mavumbini.
Tu seras humiliée, c’est du sein de la terre que tu parleras, et de la poussière que sera entendue ta parole; et sortant de la terre, ta voix sera comme celle d’un python, et de la poussière ta parole ne rendra qu’un faible son.
5 Jeshi la maadui wako watakuwa kama vumbi dogo, na wingi wa wasiotisha utakuwa kama makapi yanayopita. Itatokea mara moja, papo hapo.
Et sera comme la poudre menue la multitude de ceux qui t’ont agitée, et comme la cendre brûlante qui se dissipe, la multitude de ceux qui contre toi ont prévalu;
6 Yahwe wa majeshi atakuja kwenu kwa radi, tetemeko la aridhi, sauti kubwa, na upepo mkali na dhoruba kali, na mwali wa moto uteketezao.
Et ce sera soudain, sur-le-champ. Et par le Seigneur des armées elle sera visitée au milieu d’un tonnerre, et d’un tremblement de terre, et de la grande voix d’un tourbillon, et d’une tempête, et de la flamme d’un feu dévorant.
7 Itakuwa kama ndoto, maono ya usiku: Jeshi la mataifa yote yatapigana dhidi ya Arieli na ngome zake. Watawavamia yeye na ngome zinazowanyanyasa wao.
Et sera comme le songe d’une vision nocturne la multitude de toutes les nations qui ont combattu contre Ariel, et il en sera ainsi de tous ceux qui lui ont fait la guerre, et l’ont assiégée, et ont prévalu contre elle.
8 Itakuwa kama mtu mwenye njaa anayeota anakula, lakini pindi anapoamka tumbo halina kitu. Itakuwa kama mtu mwenye kiu anayeota anakunywa maji, lakini anapoamka, anazirai, kwa sababu ya kiu na sio kuizima. Ndio, itakavyokuwa idadi kubwa ya wapiganaji dhidi ya Mlima Sayuni.
Et comme celui qui a faim songe qu’il mange, mais lorsqu’il est réveillé, son âme se trouve vide; et comme celui qui a soif songe qu’il boit, mais après qu’il est réveillé, il est las et a encore soif, et son âme est vide; ainsi sera la multitude de toutes ces nations qui ont combattu contre la montagne de Sion.
9 Shangaeni wenyewe na mjishangae; jifanye kipofu na uwe kipofu! uwe mlevi lakini sio wa mvinyo; yumbayumba lakini sio kwa bia.
Soyez frappés de stupeur et admirez, soyez flottants et vacillants; enivrez-vous, mais non de vin; chancelez, mais non par l’ivresse.
10 Maana Yahwe ameachila roho wake katika usingizi wa kina, Ameyafunga macho yako, manabii, na amefunika kichwa chako, waonaji.
Parce que le Seigneur a répandu sur vous un esprit d’assoupissement, il fermera vos yeux; vos prophètes et vos princes qui voient des visions, il mettra sur eux un voile.
11 Ufunuo wote umekuja kwako kama maneno ya kitabu kilichotiwa muhuri, ambacho watu wanaweza kumpa mtu anayejifunza, na kusema hivi, ''Soma hiki.'' na atasema, ''Siwezi maana imetiwa muhuri.''
Et la vision d’eux tous sera pour vous comme le livre scellé; lorsqu’on le donnera à un homme qui sait lire, on dit: Lis ce livre; et il répondra: Je ne puis, car il est scellé.
12 Kama kitabu kitapewa kwa mtu asiyeweza kusoma, na kumwambia, '''Soma hiki,'' na anasema, ''Siwezi kusoma.''
Et on donnera le livre à un homme qui ne sait pas lire, et on lui dira: Lis; et il répondra: Je ne sais pas lire.
13 Bwana asema, ''Watu hawa wananikaribia mimi na kunishimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbalii na mimi. Heshima yao kwangu ni kwa sababu tu ya amri waliofundishwa.
Et a dit le Seigneur: Parce que ce peuple s’approche de moi par sa bouche, et me glorifie par ses lèvres, mais que son cœur est loin de moi, et qu’ils m’ont craint par le commandement et les enseignements des hommes:
14 Hivyo basi, tazama, Nitaendelea kufanya mambo ya ajabu mwiongoni mwa watu hawa, maajabu baada ya maajabu. Hekima ya wenye busara itatoweka, na uelewa wa watu wenye busara utatokomea.''
C’est pour cela, voici que moi j’exciterai encore l’admiration de ce peuple par un miracle grand et étonnant; car la sagesse périra du milieu des sages, et l’intelligence des prudents sera obscurcie.
15 Ole wao wale wanaoficha mipango yao kwa Yahwe, na wale ambao matendo yao ni ya giza. Wanasema, ''Nani anayetuona sisi, na ni nani anayetutambua sisi?
Malheur à vous qui êtes impénétrables de cœur, afin que vous cachiez au Seigneur un dessein; leurs œuvres sont dans les ténèbres, et ils disent: Qui nous voit, et qui nous connaît?
16 Nyie mnaebadilisha vitu juu chini! Je mfinyanzi anaweza kufikiriwa kama udongo, hivyo basi vitu vinavyotengeneza vitasema kuhusu aliyevitengeneza, ''Hajanitengeneza mimi, ''au vitu vinavyotngenezwa viseme kuhusu aliyevitengeneza, Hajaelewa''?
Elle est perverse, cette pensée que vous avez; comme si l’argile se révoltait contre le potier, et lui disait: Tu ne m’as pas fait; et comme si l’œuvre disait à celui qui l’ a façonnée: Tu ne comprends pas.
17 Katika mda mdogo uliobakia, Lebanoni itajeuzwa kuwa shamba, na shamba litakuwa msitu.
Encore un peu de temps, et le Liban ne sera-t-il pas bientôt converti en Carmel, et le Carmel ne sera-t-il pas réputé pour la forêt?
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kitabu, na macho ya vipofu yataona katika giza nene.
Et en ce jour-là, les sourds entendront les paroles d’un livre, et, affranchis des ténèbres et de l’obscurité, les yeux des aveugles verront.
19 Waliodhulumiwa watafuurahia pamoja na Yahwe, na masikini miongoni mwa watu watafurahia kwa Mtakatifu wa Israeli.
Et les hommes doux ajouteront à leur joie dans le Seigneur, les hommes pauvres exulteront dans le saint d’Israël;
20 Maana watu wasio katili watakwisha, na wenye dharau watatoweka. Wale wote wanopendakuteda maovu wataondolewa,
Parce qu’il a disparu, celui qui prévalait, et qu’il a été détruit le railleur, et qu’ils ont été retranchés, ceux qui veillaient pour l’iniquité;
21 nani na kwa neno linamfanya mtu kuwa mkosaji. Watamuekea mtego kwa yeye anayeitafuta haki katika geti na kuweka haki chini kwa uongo usio na kitu.
Qui faisaient pécher les hommes par leur parole, qui à la porte tendaient des pièges à celui qui les réfutait, et sans motif s’éloignaient du juste.
22 Hivyo basi Yahwe asema hivi kuhusu nyumba ya Yakobo- Yahwe aliyemkomboa Ibrahimu, ''Yakobo hataaibika tena, wala uso wake hautabadilika rangi yake.
À cause de cela, voici ce que dit, à la maison de Jacob, le Seigneur, qui a racheté Abraham: Jacob ne sera plus confondu, et son visage ne rougira plus;
23 Lakini anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, watalitakasa jina langu, Watalitakasa jina langu Mtakatifu wa Yakobo, na wtasimama katika hofu ya Mungu wa Israeli.
Mais lorsqu’il verra ses fils, ouvrages de mes mains, sanctifiant au milieu de lui mon nom, ils sanctifieront ensemble le saint de Jacob, et annonceront le Dieu d’Israël,
24 Wale watakaopotea kiroho watapata uelewa na walalamikaji watajifunza maarifa.''
Et ceux qui étaient égarés d’esprit recevront l’intelligence, et les murmurateurs apprendront la loi.

< Isaya 29 >