< Isaya 29 >
1 Ole kwa Arieli, Arieli, mji ambao Daudi ameweka kambi! mwaka hadi mwaka unaongezeka; basi tamasha linakaribia kuja.
Malheur à Ariel! Ariel, la ville où David a campé! Ajoutez une année à l'autre, laissez les fêtes se succéder;
2 Lakini nitauzingira Arieli, na watalia na kuomboleza; na watakuwa kwangu kama Arieli.
Alors j'affligerai Ariel, et il y aura du deuil et des lamentations. Elle sera pour moi comme un foyer d'autel.
3 Nitaweka kambi dhidi yako katika mzunguko, nitakuzingira kwa kuweka uzio dhidi yako.
Je camperai contre toi tout autour de toi, et je t'assiégerai avec des troupes postées. J'élèverai contre toi des ouvrages de siège.
4 Utaletwa chini na utazungumza kutoka chini kwenye aridhi; maongezi yako yatashushwa kutoka mavumbini. Sauti yako itakuwa kama ya pepo kwenye ardhi, na maneno yako yatakuwa dhaifu kutoka mavumbini.
Tu seras abattu, et tu parleras du sol. Ta parole sortira de la poussière en marmonnant. Ta voix sera comme celle d'un esprit familier, sortant de la terre, et ton discours murmurera dans la poussière.
5 Jeshi la maadui wako watakuwa kama vumbi dogo, na wingi wa wasiotisha utakuwa kama makapi yanayopita. Itatokea mara moja, papo hapo.
Mais la multitude de tes ennemis sera comme une fine poussière, et la multitude des impitoyables comme de la paille qui s'envole. Oui, ce sera en un instant, soudainement.
6 Yahwe wa majeshi atakuja kwenu kwa radi, tetemeko la aridhi, sauti kubwa, na upepo mkali na dhoruba kali, na mwali wa moto uteketezao.
Elle sera visitée par l'Éternel des armées avec des tonnerres, des tremblements de terre, un grand bruit, des tourbillons et des tempêtes, et avec la flamme d'un feu dévorant.
7 Itakuwa kama ndoto, maono ya usiku: Jeshi la mataifa yote yatapigana dhidi ya Arieli na ngome zake. Watawavamia yeye na ngome zinazowanyanyasa wao.
La multitude de toutes les nations qui combattent Ariel, tous ceux qui s'attaquent à elle et à sa forteresse, et qui l'affligent, seront comme un songe, une vision de la nuit.
8 Itakuwa kama mtu mwenye njaa anayeota anakula, lakini pindi anapoamka tumbo halina kitu. Itakuwa kama mtu mwenye kiu anayeota anakunywa maji, lakini anapoamka, anazirai, kwa sababu ya kiu na sio kuizima. Ndio, itakavyokuwa idadi kubwa ya wapiganaji dhidi ya Mlima Sayuni.
Ce sera comme quand un homme affamé rêve, et voici qu'il mange; mais il se réveille, et sa faim n'est pas satisfaite; ou comme quand un homme assoiffé rêve, et voici qu'il boit; mais il se réveille, et voici qu'il est faible, et il a encore soif. La multitude de toutes les nations qui combattent contre la montagne de Sion sera comme cela.
9 Shangaeni wenyewe na mjishangae; jifanye kipofu na uwe kipofu! uwe mlevi lakini sio wa mvinyo; yumbayumba lakini sio kwa bia.
Pause et émerveillement! Aveuglez-vous et soyez aveugle! Ils sont ivres, mais non de vin; ils chancellent, mais non de boisson forte.
10 Maana Yahwe ameachila roho wake katika usingizi wa kina, Ameyafunga macho yako, manabii, na amefunika kichwa chako, waonaji.
Car l'Éternel a répandu sur vous un esprit de profond sommeil; il a fermé vos yeux, prophètes, et il a couvert vos têtes, voyants.
11 Ufunuo wote umekuja kwako kama maneno ya kitabu kilichotiwa muhuri, ambacho watu wanaweza kumpa mtu anayejifunza, na kusema hivi, ''Soma hiki.'' na atasema, ''Siwezi maana imetiwa muhuri.''
Toute vision est devenue pour vous comme les mots d'un livre scellé, que l'on remet à un homme instruit en disant: « Lis ceci, je te prie », et qui répond: « Je ne peux pas, car c'est scellé »;
12 Kama kitabu kitapewa kwa mtu asiyeweza kusoma, na kumwambia, '''Soma hiki,'' na anasema, ''Siwezi kusoma.''
et l'on remet le livre à un homme sans instruction en disant: « Lis ceci, je te prie », et qui répond: « Je ne peux pas lire ».
13 Bwana asema, ''Watu hawa wananikaribia mimi na kunishimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbalii na mimi. Heshima yao kwangu ni kwa sababu tu ya amri waliofundishwa.
L'Éternel dit: « Parce que ce peuple s'approche de sa bouche et m'honore de ses lèvres, mais qu'il a éloigné de moi son cœur, et que sa crainte de moi est un commandement d'hommes qui a été enseigné;
14 Hivyo basi, tazama, Nitaendelea kufanya mambo ya ajabu mwiongoni mwa watu hawa, maajabu baada ya maajabu. Hekima ya wenye busara itatoweka, na uelewa wa watu wenye busara utatokomea.''
c'est pourquoi voici que je vais accomplir une œuvre merveilleuse au milieu de ce peuple, une œuvre merveilleuse et un prodige; et la sagesse de ses sages périra, et l'intelligence de ses hommes prudents sera cachée. »
15 Ole wao wale wanaoficha mipango yao kwa Yahwe, na wale ambao matendo yao ni ya giza. Wanasema, ''Nani anayetuona sisi, na ni nani anayetutambua sisi?
Malheur à ceux qui cachent profondément leurs conseils à Yahvé, et dont les actes sont dans l'obscurité, et qui disent: « Qui nous voit? » et « Qui nous connaît? ».
16 Nyie mnaebadilisha vitu juu chini! Je mfinyanzi anaweza kufikiriwa kama udongo, hivyo basi vitu vinavyotengeneza vitasema kuhusu aliyevitengeneza, ''Hajanitengeneza mimi, ''au vitu vinavyotngenezwa viseme kuhusu aliyevitengeneza, Hajaelewa''?
Vous mettez tout sens dessus dessous! Faut-il penser que le potier est semblable à l'argile, que la chose faite dise de celui qui l'a faite: « Il ne m'a pas fait », ou que la chose formée dise de celui qui l'a formée: « Il n'a pas d'intelligence? ».
17 Katika mda mdogo uliobakia, Lebanoni itajeuzwa kuwa shamba, na shamba litakuwa msitu.
N'est-ce pas encore un tout petit moment, et le Liban sera changé en un champ fertile, et le champ fertile sera considéré comme une forêt?
18 Siku hiyo viziwi watasikia maneno ya kitabu, na macho ya vipofu yataona katika giza nene.
En ce jour-là, les sourds entendront les paroles du livre, et les yeux des aveugles verront de l'obscurité et des ténèbres.
19 Waliodhulumiwa watafuurahia pamoja na Yahwe, na masikini miongoni mwa watu watafurahia kwa Mtakatifu wa Israeli.
Les humbles aussi accroîtront leur joie en Yahvé, et les pauvres parmi les hommes se réjouiront du Saint d'Israël.
20 Maana watu wasio katili watakwisha, na wenye dharau watatoweka. Wale wote wanopendakuteda maovu wataondolewa,
Car l'impitoyable est réduit à néant, le moqueur cesse d'exister, et tous ceux qui sont attentifs à faire le mal sont retranchés
21 nani na kwa neno linamfanya mtu kuwa mkosaji. Watamuekea mtego kwa yeye anayeitafuta haki katika geti na kuweka haki chini kwa uongo usio na kitu.
qui font accuser quelqu'un par une parole, qui tendent un piège à celui qui réprimande à la porte, et qui privent l'innocent de justice par un faux témoignage.
22 Hivyo basi Yahwe asema hivi kuhusu nyumba ya Yakobo- Yahwe aliyemkomboa Ibrahimu, ''Yakobo hataaibika tena, wala uso wake hautabadilika rangi yake.
C'est pourquoi Yahvé, qui a racheté Abraham, dit à propos de la maison de Jacob: « Jacob ne sera plus confus, et son visage ne pâlira plus.
23 Lakini anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, watalitakasa jina langu, Watalitakasa jina langu Mtakatifu wa Yakobo, na wtasimama katika hofu ya Mungu wa Israeli.
Mais quand il verra au milieu de lui ses enfants, l'œuvre de mes mains, ils sanctifieront mon nom. Oui, ils sanctifieront le Saint de Jacob, et ils craindront le Dieu d'Israël.
24 Wale watakaopotea kiroho watapata uelewa na walalamikaji watajifunza maarifa.''
Ceuxqui ont l'esprit égaré parviendront à l'intelligence, et ceux qui se plaignent recevront une instruction. »