< Isaya 28 >

1 Ole kwa taji la kiburi ambalo huvaliwa na kila mlevi wa Efraimu, na ua linalofifia la utukufu wa uzuri wake, ua lililowekwa kichwani mwa bonde linalostawi na hao wanoshindwa na nvinyo!
Gorje kroni ponosa, efrájimskim pijancem, katerih veličastna lepota je odcvetena roža, ki je na čelu obilnih dolin tistih, ki so premagani z vinom.
2 Tazama Bwana anamtuma aliye hodari na nguvu; kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo mkali unaoharibu, na atatupa kila taji la ua chini kwenye aridhi.
Glej, Gospod ima mogočnega in močnega, ki bo kakor neurje s točo in uničujoč vihar, kakor poplava mogočnih vodá, ki preplavljajo, z roko vrgel dol k zemlji.
3 Taji ya kiburi ya walevi wa Efraimu lililoko chini ya paa.
Krona ponosa, efrájimski pijanci, bodo pomendrani pod stopali.
4 Ua lililofifia la utukufu wa uzuri wake, juu ya kichwa cha bonde la utajiri, itakuwa kama tunda lililoiva mtini kabla ya maji yake, kwamba, wakati mtu anapoliona tunda, wakati likiwa bado mikononi mwake, analigugumia chini.
Veličastna lepota, ki je na čelu obilne doline, bo veneča roža in kakor zgodnji sad pred poletjem; ko ga tisti, ki pogleda nanj, vidi, ga pojé, medtem ko je še v njegovi roki.
5 Katika siku hiyo Yahwe wa majeshi atakuwa taji nzuri na taji ya uzuri kwa watu wake waliobakia,
Na tisti dan bo Gospod nad bojevniki za krono slave in za diadem lepote preostanku svojega ljudstva
6 roho ya haki kwa yeye aliyekaa katika hukumu, nguvu kwa wale waliobadilisha adui zao katika malango yao.
in za duha sodbe tistemu, ki sedi na sodbi in za moč tistim, ki bitko odvračajo k velikim vratom.
7 Lakini wale wanaoyumbayumba kwa ajili ya mvinyo, na wanojikongoja kwa ajili ya pombe kali. Kuhani na nabii watayumbayuma kwa ajili ya pombe kali, na watamezwa na mvinjo. Watajikongoja kwa ajili ya pombe kali, Kujikongoja katika maono na kuyumbayuma katika maamuzi.
Vendar so tudi oni zašli zaradi vina in zaradi močne pijače so omahnili iz poti; duhovnik in prerok sta zašla zaradi močne pijače, pogoltnjena sta od vina, zaradi močne pijače sta omahnila iz poti; motita se v videnju, spotikata se v sodbi.
8 Hakika, meza zote zimejaa matapishi. Hivyo basi hakuna sehemu iliyosafi.
Kajti vse mize so polne izbljuvkov in umazanosti, tako da tam ni čistega prostora.
9 Ni nani atakaye tufundisha maarifa, na nani atayetuelezea ujumbe? Kwa walioachishwa maziwa au kwa wanonyonya?
Koga bo učil spoznanja? In koga bo pripravil, da razume nauk? Tiste, ki so odstavljeni od mleka in odtegnjeni od prsi.
10 Maana ni amri juu ya amri, utawala juu ya utawala; na hapa kidogo na pale kidogo.
Kajti predpis mora biti na predpis, predpis na predpis; ukaz na ukaz, ukaz na ukaz; malo tukaj in malo tam,
11 Kweli, kwa mdomo wa dharau na lugha za kigeni atazungumza na watu wake.
kajti z jecljajočimi ustnicami in drugim jezikom bo govoril temu ljudstvu.
12 Wakati uliopita aliwambia, '''Hawa ni wengine, wape punziko walio choka; maana huku ni kujifurahisha,'' lakini hawakusikiliza.
Katerim je rekel: »To je počitek, s katerim lahko izmučenemu storite, da počiva in to je osvežitev.« Vendar niso hoteli poslušati.
13 Hivyo basi neno la Yahwe litakuwa kwao amri juu ya amri, amri juu ya amri, utawala juu ya utawala; na kidogo hapa na kidogo pale, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, kutegwa, na kukamatwa.
Toda Gospodova beseda jim je bila predpis na predpis, predpis na predpis; ukaz na ukaz, ukaz na ukaz; malo tukaj in malo tam; da lahko gredo, padejo vznak, se zlomijo, se ulovijo in ujamejo.
14 Hivyo basi sikiliza neno la Yahwe, yeyote afaanyae maskhara, wewe unaowaongoza watu hawa ambao wako Yerusalemu.
Zato poslušajte Gospodovo besedo, vi posmehljivci, ki vladate temu ljudstvu, ki je v Jeruzalemu.
15 Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol h7585)
Ker ste rekli: »Sklenili smo zavezo s smrtjo in s peklom smo v dogovoru. Ko bo šel skozi poplavljajoč bič, ta ne bo prišel k nam, kajti laži smo naredili za svoje zatočišče in pod neresnico smo se skrili.« (Sheol h7585)
16 Hivyo basi Bwana Yahwe asema hivi, ''Ona: Nitaiwekea Sayuni msingi wa mawe, jiwe la kujaribu, jiwe la pembeni lenye samani, msingi wa uhakika. Na yeyote atayeuamini ataaibika kamwe.
Zato tako govori Gospod Bog: »Glej, na Sionu polagam za temelj kamen, preizkušen kamen, dragocen vogalni kamen, postavljen temelj. Kdor veruje, ne bo vznemirjeno hitel.
17 Nitafanya haki kuwa fimbo ya usawa, na kuwa haki pima maji. Atasafishia mbali kimbilio la waongo, na mafuriko yatajaa balaa katika mahali pa siri.
Tudi sodbo bom položil k merilu in pravičnost h grezilu in toča bo pomedla zatočišče laži in vode bodo preplavile skrivališče.
18 Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol h7585)
Vaša zaveza s smrtjo bo razveljavljena in vaš dogovor s peklom ne bo obstal; ko bo skozi šel preplavljajoč bič, potem boste z njim pomendrani. (Sheol h7585)
19 Maana pindi yatakopita, yatawazomba nyie yatapita asubuhi na asubuhi, na yatapita tena mchana na usiku utafika. Pale ujumbe utakapofika utasababisha hofu.
Od časa, ko gre ta naprej, vas bo zgrabil, kajti jutro za jutrom bo ta prehajal, podnevi in ponoči. To bo samo draženje, da razume poročilo.
20 Maana kitanda ni kifupi kwa mtu kunyoosha mkono wake nje, na blangeti ni jembamba kwa yeye kujizungushia ndani''
Kajti postelja je krajša, kakor se človek lahko iztegne na njej in pokrivalo ožje, kakor se lahko zavije vanj.
21 Yahwe atanyanyuka kama mlima Perazimu; Atawahimiza yeye mwenye kufanya kazi yake katika bonde la Gibeoni, kazi ya ajabu, na kufanya matendo ya ajabu.
Kajti Gospod se bo dvignil kakor na gori Peracím, ogorčen bo kakor v dolini Gibeón, da lahko opravi svoje delo, svoje čudno delo in privede, da se njegovo dejanje zgodi, njegovo čudno dejanje.
22 Hivyo sasa msifanye maskhara, dhamana yako itakazwa, Nimesikia kutoka kwa Bwana, Yahwe wa majeshi, amri ya kuiharibu nchi.
Zdaj torej ne bodite zasmehovalci, da ne bi vaše vezi postale močne, kajti od Gospoda Boga nad bojevniki sem slišal uničenje, celo določeno nad celotno zemljo.
23 Kuwa tayari na sikiliza saut yangu; kuwa makini na sikiliza maneno yangu.
Pazljivo prisluhnite in poslušajte moj glas, prisluhnite in poslušajte moj govor.
24 Je mkulima anayelima siku zote kwa ajili ya kupanda, analima tu kwenye aridhi? Je anaendelea kulima shamba lake pasipo kupanda?
Mar orač orje ves dan, da bi sejal? Ali odpira in brana svojo zemljo?
25 Pindi anapolindaa shamba lake, Je hatawanji jira ya mbegu, anapanda jira, anaweka ngano katika mstari, shairi katika mahali pake, na yameandikw sehemu mbili?
Ko je njeno površino izravnal, mar ne meče naokoli pire, raztrosi kumino in meče noter glavno pšenico in določen ječmen in piriko na njihov prostor?
26 Mungu wake amemuelekeza; anamfuundisha yeye kwa busara.
Kajti njegov Bog ga navaja k preudarnosti in ga uči.
27 Zaidi ya hayo, jira zile hazipuruliwi kwa chombo kikali; wala gurudumu la kukatia linalozunguka juu ya jira; lakini jira linapigwa kwa fimbo, na jira kwa fimbo.
Kajti pira ni mlatena z mlatilno pripravo niti kolo voza obračano nad kumino, temveč je pira otepana s palico in kumina s šibo.
28 Nafaka ni mwanzo mkate lakini ni laini sana, japo gurudumu la gari lake na farasi wamezitawanya, na farasi wake hawajaiponda ponda.
Krušno žito je zmleto, ker ga nikoli ne bo mlatil niti lomil s kolesom svojega voza niti ga poškodoval s konjeniki.
29 Haya yanatoka kwa Yahwe wa majeshi, yeye aliye mshauri wa ajabu na na mwenye ubara wa hekima.
Tudi to prihaja od Gospoda nad bojevniki, ki je čudovit v nasvetu in odličen v delu.

< Isaya 28 >