< Isaya 27 >

1 Katika siku hiyo Yahwe kwa upanga wake ulio mgumu, mkubwa na mkali, atamadhibu Leviathani na nyoka yule anayetambaa kwa kupenya, na atamuua mnyama anayeishi baharini.
Pada waktu itu TUHAN akan memakai pedang-Nya yang kuat dan tajam untuk menghukum Lewiatan, ular yang meliuk-liuk dan melingkar-lingkar itu, dan untuk membunuh naga laut.
2 Siku hiyo: Shamba la zabibu, litawaimbia.
Pada waktu itu TUHAN akan berkata, "Bernyanyilah tentang kebun anggur-Ku yang indah.
3 ''Mimi Yahwe ni mlinzi wake; Ninalimwagia maji kila wakati; hivyo hakuna anayelimiza, Ninalilinda usiku na mchana.
Aku, TUHAN, penjaganya; setiap saat Aku menyiraminya, siang malam Aku menjaganya, agar jangan ada yang mengganggunya.
4 Sina hasira, Oh, kama mbigiri na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao; Nitawachoma wote kwa pamoja;
Aku tidak merasa marah lagi. Sekiranya ada rumput atau semak berduri, Aku akan membasminya, dan membakar habis semuanya.
5 labda wafahamu ulinzi wangu na wafanye amani na mimi, waache wafanye amani na mimi.
Tetapi jika musuh-musuh umat-Ku mencari perlindungan pada-Ku, biarlah mereka berdamai dengan Aku, ya, berdamai dengan Aku."
6 Kwa siku inayokuja, Yakobo atachukua mzizi; Israeli itatoa maua na kuchipua; na itaijaza aridhi yote kwa matunda.''
Di masa yang akan datang, bangsa Israel akan seperti pohon yang berakar dan berkembang, serta memenuhi muka bumi dengan buah-buahnya.
7 Je Yahwe alimshambulia Yakobo na Israeli na hayo mataifa yaliyomshambulia? Je Yakobo na Israeli waliuliwa na wao kama mliowachinja katika mataifa mliowauwa wao?
TUHAN menghukum umat-Nya tidak seberat Ia menghukum bangsa-bangsa yang memusuhi mereka. Ia tidak membunuh umat-Nya seperti Ia membunuh musuh-Nya.
8 Kitika kipimo halisi cha kuridhisha, watume Yakobo na Israeli mbali; aliwaondosha mbali kwa upepo mkali, katika siku ya upepo wa mashariki.
TUHAN menghukum umat-Nya dengan membuang mereka ke negeri asing. Ia mengusir mereka dengan angin jahat dari timur.
9 Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuomdolewa dhambi zake: pale atakapofanya mathebau ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhebau itakayoachwa imesimama.
Tetapi dosa-dosa Israel hanya dapat diampuni kalau mezbah dewa-dewa digiling halus seperti kapur. Semua pedupaan dan lambang Dewi Asyera harus dihancurkan juga.
10 Maana mji imara umeharibiwa, makao yake na faragha yake yameachwa kama jangwa. Kuna ndama wanachungwa, na huko ndiko atakapo lala na kuyala matawi yake.
Kota berkubu itu sudah menjadi sepi dan ditinggalkan seperti padang belantara yang kosong. Kawanan ternak merumput dan beristirahat di situ sambil menghabiskan daun-daun dari dahan-dahan pohon.
11 Matawi yake yatakaponyauka yatanguka. Wanawake watakuja na kuyatumia kutengeneza moto, maana hawa sio watu waelewa. Hivyo basi Muumba wao hatakuwa na huruma juu yao, na yeye aliyewaumba atakuwa na huruma juu yao.
Apabila ranting-rantingnya sudah kering dan patah, wanita-wanita datang dan menjadikannya kayu api. Bangsa itu tidak mengerti apa-apa, maka Allah Penciptanya tidak akan menyayangi atau mengasihi mereka.
12 Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
Pada waktu itu TUHAN akan mengumpulkan bangsa-Nya satu demi satu dari Sungai Efrat sampai ke perbatasan Mesir. Ia akan memisahkan mereka seperti orang memisahkan butir gandum dari sekamnya.
13 Siku hiyo tarumbeta kubwa litapulizwa; na watu waliopotea katika nchi ya Asiria watakuja, na waliotupwa katika nchi ya Misri, watamuabudu Yahwe katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.
Pada waktu itu akan dibunyikan trompet besar untuk memanggil kembali semua orang Israel yang dibuang di Asyur dan di Mesir. Mereka akan datang ke Yerusalem untuk menyembah TUHAN di bukit-Nya yang suci.

< Isaya 27 >