< Isaya 27 >

1 Katika siku hiyo Yahwe kwa upanga wake ulio mgumu, mkubwa na mkali, atamadhibu Leviathani na nyoka yule anayetambaa kwa kupenya, na atamuua mnyama anayeishi baharini.
En ce jour-là Dieu visitera avec son glaive dur et grand et fort, Léviathan, serpent levier, Léviathan, serpent tortueux, et il tuera le grand poisson qui est dans la mer.
2 Siku hiyo: Shamba la zabibu, litawaimbia.
En ce jour-là la vigne du vin pur le chantera.
3 ''Mimi Yahwe ni mlinzi wake; Ninalimwagia maji kila wakati; hivyo hakuna anayelimiza, Ninalilinda usiku na mchana.
Moi, le Seigneur qui la garde, je l’arroserai soudain; de peur qu’elle ne soit endommagée, nuit et jour je la garde.
4 Sina hasira, Oh, kama mbigiri na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao; Nitawachoma wote kwa pamoja;
Je n’ai pas d’indignation; qui me donnera une épine ou une ronce dans le combat? je marcherai dessus, et j’y mettrai aussi le feu?
5 labda wafahamu ulinzi wangu na wafanye amani na mimi, waache wafanye amani na mimi.
Ou plutôt retiendra-t-il ma puissance, fera-t-il la paix avec moi, fera-t-il la paix avec moi?
6 Kwa siku inayokuja, Yakobo atachukua mzizi; Israeli itatoa maua na kuchipua; na itaijaza aridhi yote kwa matunda.''
Ceux qui entrent impétueusement dans Jacob, Israël fleurira et germera pour eux, et ils rempliront la face du globe de semence.
7 Je Yahwe alimshambulia Yakobo na Israeli na hayo mataifa yaliyomshambulia? Je Yakobo na Israeli waliuliwa na wao kama mliowachinja katika mataifa mliowauwa wao?
Est-ce que le Seigneur a frappé Israël d’une plaie semblable à celle dont l’a frappé l’ennemi? ou Israël a-t-il été tué, comme le Seigneur a tué ceux qu’il a tués à l’ennemi?
8 Kitika kipimo halisi cha kuridhisha, watume Yakobo na Israeli mbali; aliwaondosha mbali kwa upepo mkali, katika siku ya upepo wa mashariki.
C’est avec mesure contre mesure que lorsqu’elle sera rejetée, vous la jugerez; le Seigneur a médité en son esprit sévère pour le jour d’une chaleur extrême.
9 Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuomdolewa dhambi zake: pale atakapofanya mathebau ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhebau itakayoachwa imesimama.
C’est pourquoi de cette manière sera remise son iniquité à la maison de Jacob; et tout le fruit de ce châtiment, c’est que son péché soit expié, lorsqu’Israël aura brisé toutes les pierres de l’autel comme des pierres de chaux, et que ne seront plus debout les bois sacrés et les temples.
10 Maana mji imara umeharibiwa, makao yake na faragha yake yameachwa kama jangwa. Kuna ndama wanachungwa, na huko ndiko atakapo lala na kuyala matawi yake.
Car la cité fortifiée sera désolée, la belle ville sera délaissée et abandonnée comme un désert; là paîtra le veau, et là il se reposera, et mangera les sommités de ses rameaux.
11 Matawi yake yatakaponyauka yatanguka. Wanawake watakuja na kuyatumia kutengeneza moto, maana hawa sio watu waelewa. Hivyo basi Muumba wao hatakuwa na huruma juu yao, na yeye aliyewaumba atakuwa na huruma juu yao.
Ses moissons, desséchées, seront broyées; des femmes viendront et l’instruiront; car ce n’est pas un peuple sage; à cause de cela, il n’aura pas pitié de lui, celui qui l’a fait; et celui qui l’a formé ne l’épargnera pas.
12 Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
Et il arrivera en ce jour-là que le Seigneur frappera depuis le lit du fleuve jusqu’au torrent de l’Egypte; et vous, vous serez rassemblés un à un, fils d’Israël.
13 Siku hiyo tarumbeta kubwa litapulizwa; na watu waliopotea katika nchi ya Asiria watakuja, na waliotupwa katika nchi ya Misri, watamuabudu Yahwe katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.
Et il arrivera en ce jour-là qu’on sonnera d’une grande trompette, et ils viendront de la terre des Assyriens, ceux qui y étaient perdus, et ceux qui avaient été jetés sur la terre d’Egypte, et ils adoreront le Seigneur sur la montagne sainte, à Jérusalem.

< Isaya 27 >