< Isaya 27 >

1 Katika siku hiyo Yahwe kwa upanga wake ulio mgumu, mkubwa na mkali, atamadhibu Leviathani na nyoka yule anayetambaa kwa kupenya, na atamuua mnyama anayeishi baharini.
到那一天,上主要用他那厲害、巨大、猛烈的劍,來懲罰「里外雅堂」飛龍,和「里外雅堂」蜿蛇;並要擊殺海中的蛟龍。
2 Siku hiyo: Shamba la zabibu, litawaimbia.
到那一天,你們要唱「那可愛的葡萄園」歌:「
3 ''Mimi Yahwe ni mlinzi wake; Ninalimwagia maji kila wakati; hivyo hakuna anayelimiza, Ninalilinda usiku na mchana.
我,上主,親自作它的護守者,時加灌溉;我要日夜護守,免得受人侵害。
4 Sina hasira, Oh, kama mbigiri na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao; Nitawachoma wote kwa pamoja;
我再沒有怒氣;萬一有了荊棘和蒺藜,我必前去攻擊,將它完全焚毀;
5 labda wafahamu ulinzi wangu na wafanye amani na mimi, waache wafanye amani na mimi.
除非不求我保護,不與我講和,不與我和好...」
6 Kwa siku inayokuja, Yakobo atachukua mzizi; Israeli itatoa maua na kuchipua; na itaijaza aridhi yote kwa matunda.''
來自雅各伯將生根,以色列要發芽開花,她的果實要佈滿地面。
7 Je Yahwe alimshambulia Yakobo na Israeli na hayo mataifa yaliyomshambulia? Je Yakobo na Israeli waliuliwa na wao kama mliowachinja katika mataifa mliowauwa wao?
上主打擊以色列,那裏像他打擊那些打擊以色列的人呢﹖上主擊殺以色列,那裏像他擊殺那些擊殺以色列的人呢﹖
8 Kitika kipimo halisi cha kuridhisha, watume Yakobo na Israeli mbali; aliwaondosha mbali kwa upepo mkali, katika siku ya upepo wa mashariki.
上主以離棄,以驅逐,懲罰了她;在吹東風的日子,藉巨風將她捲去。
9 Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuomdolewa dhambi zake: pale atakapofanya mathebau ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhebau itakayoachwa imesimama.
惟其如此,雅各伯的罪過方得消除;她的罪孽得以赦免的代價,即在於她將祭壇所有的石塊,打得粉碎有如石灰,不在樹立「阿舍辣」和太陽柱。
10 Maana mji imara umeharibiwa, makao yake na faragha yake yameachwa kama jangwa. Kuna ndama wanachungwa, na huko ndiko atakapo lala na kuyala matawi yake.
的確,設防的城市已荒涼,成了被撇下和放棄的住宅,有如荒野。牛犢在那裏牧放,在那裏偃臥,吃盡了那裏的枝葉。
11 Matawi yake yatakaponyauka yatanguka. Wanawake watakuja na kuyatumia kutengeneza moto, maana hawa sio watu waelewa. Hivyo basi Muumba wao hatakuwa na huruma juu yao, na yeye aliyewaumba atakuwa na huruma juu yao.
幾時樹枝枯萎,就自會斷落,婦女便來拿去燒火;她既不是個聰敏的民族,因此那創造她的,對她沒有憐憫;那形成她的,對她也不表恩情。
12 Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
到那一天,上主要從大河流域到埃及河畔收割果實,以色列子民啊!你們都要一個一個地被聚集起來。
13 Siku hiyo tarumbeta kubwa litapulizwa; na watu waliopotea katika nchi ya Asiria watakuja, na waliotupwa katika nchi ya Misri, watamuabudu Yahwe katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.
到那一天,要吹起大號筒,凡是在亞述失迷的,在埃及地分散的,都要前來,在耶路撒冷聖山,朝拜上主。

< Isaya 27 >