< Isaya 26 >
1 Siku hiyo wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda: Tuna mji imara; Mungu amefanya wokovu katika kuta na ngome zake.
En ce jour-là sera chanté ce cantique dans la terre de Juda: Notre ville forte est Sion; le sauveur sera mis comme mur et avant-mur.
2 Fungua lango, ili mataifa yenye haki yaweze na yenye kutunza imani yaweze kuingia ndani.
Ouvrez les portes, et qu’il y entre une nation juste et observant la vérité.
3 Akili mlionayo, mtamuhifadhi yeye katika amani kamili, maana anawamini ninyi.
L’ancienne erreur a disparu; vous nous conserverez la paix, la paix, parce que nous avons espéré en vous.
4 Mwamini Yahwe daima; maana Yaha, Yahwe, ni mwamba wa milele.
Vous avez espéré dans le Seigneur durant les siècles éternels, dans le Seigneur Dieu puissant à jamais.
5 Maana atawashusha wale wote wenye kiburi; mji ulio juu atushusha chini, ataushusha chini kwenye aridhi; na ataulinganisha na mavumbi.
Parce qu’il abaissera ceux qui habitent dans les hauteurs, il humiliera la cité élevée. Il l’humiliera jusqu’à terre et il la renversera jusque dans la poussière.
6 Utakanyagwakanyagwa chini na miguu ya walio masikini na wahitaji.
Le pied la foulera, les pieds du pauvre, le pas de l’indigent.
7 Mapito ya mwenye haki yamenyooka, Wenye haki; mapito ya wenye haki umeyanyoosha.
Le sentier du juste est droit, droit est le chemin où le juste doit marcher.
8 Ndio, kaika mapito ya hukumu yako, Yahwe, tunakusubiri wewe; jina lako na sifa zako ni matamanio yetu.
Et dans le sentier de vos jugements. Seigneur, nous vous avons attendu patiemment; votre nom et votre souvenir sont dans le désir de l’âme.
9 Nimekutamani wewe wakati wa usiku; ndio, roho iliyo ndani yangu ina kutafuta kwa bidii. Pindi hukumu yako itakapokuja duniani, wenyeji wa duniani watajua kuhusu haki.
Mon âme vous a désiré pendant la nuit; mais et par mon esprit et dans mon cœur, dès le matin je veillerai pour vous. Lorsque vous aurez exercé vos jugements sur la terre, les habitants du globe apprendront la justice.
10 Na tuonyeshe upendeleo kwa waovu, lakini hawatajifunza haki. katika nchi ya wanyofu anatenda maovu na haoni ukuu wa Yahwe.
Ayons pitié de l’impie, et il n’apprendra pas la justice; dans la terre des saints il a fait des choses iniques, et il ne verra pas la gloire du Seigneur.
11 Yahwe, mkono wako umenyanyuliwa juu, lakini hawapati hizo taarifa. Lakini wataona bidii kwa watu na wataona aibu, kwa sababu idadi ya maadui watawatafuna.
Seigneur, que votre main s’élève, et qu’ils ne voient pas; qu’ils voient et qu’ils soient confondus, ceux qui sont jaloux de votre peuple et qu’un feu dévore vos ennemis.
12 Yahwe, utaleta amani kwetu, maana kweli, umekamilisha kazi zetu zote.
Seigneur, vous nous donnerez la paix; car vous avez opéré toutes nos œuvres pour nous.
13 Yahwe Mungu wetu, viongozi wengine badala yako wametutawala sisi; Lakini tunalitukuza jina lako.
Seigneur notre Dieu, des maîtres étrangers nous ont possédés sans vous, que seulement par vous nous nous souvenions de votre nom.
14 Wamekufa, hawataishi tena; ni maremu hao, hawatafufuka tena. Kweli, umekuja kuwahukumu na kuwaharibu wao, na umefanya kila kumbukumbu kutoweka.
Que les morts ne revivent point, que les géants ne ressuscitent point; à cause de cela vous les avez visités et brisés, et vous avez anéanti toute leur mémoire.
15 Umeliongeza taifa, Yahwe, umeliongeza taifa; umeheshimiwa; umeinuliwa katika mipaka yote ya nchi.
Vous avez été indulgent envers cette nation, Seigneur, vous avez été indulgent envers cette nation; est-ce que vous n’avez pas été glorifié? Vous avez reculé les frontières de sa terre.
16 Yahwe, katika mateso yao walikuangalia wewe; walipatwa na wasiwasi katika maombi yao maana adhabu yako ilikuwa juu yao.
Seigneur, dans l’angoisse ils vous ont recherché, dans la tribulation du murmure votre enseignement était avec eux.
17 Kama mwanamke mjamzito anayekaribia kujifungua, hupatwa na uchungu na hulia kwa uchungu, hivyo ndivyo tulivyokuwa kabla, Bwana.
Comme celle qui a conçu, lorsqu’elle approche de l’enfantement, souffre et crie dans ses douleurs; ainsi nous sommes devenus à votre face, Seigneur.
18 Tulikuwa wajawazito, tumekuwa katika mateso, lakini ni kama tumeshajifungua katika akili zetu. Hatujauleta wokovu duniani, na wakazi wa duniani hawakuanguka.
Nous avons conçu, nous avons été comme en travail, nous avons enfanté du vent; nous n’avons pas fait des œuvres de salut sur la terre; c’est pour cela que ne sont pas tombés les habitants de la terre.
19 Wafu wenu wataishi; watu wenu walio kufa watafufuka. Amka na uimbe kwa furaha, njie muishio mavumbini; maana umande wenu ni umande wa mwanga, na dunia itawaleta mbele wafu wake.
Ils vivront, vos morts; ceux qui m’ont été tués ressusciteront; réveillez-vous, et chantez des louanges, vous qui habitez dans la poussière; parce que votre rosée, Seigneur, est une rosée de lumière, et que vous réduirez la terre des géants en ruine.
20 Enendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu na mfunge mlango nyuma yenu; jificheni kwa mda mfupi, mpaka hasira itakapopita.
Va, mon peuple, entre dans tes chambres; ferme les portes sur toi; cache-toi un peu pour un moment jusqu’à ce que soit passée l’indignation.
21 Maana, angalia, Yahwe anakaribia kutoka katika eneo lake kuwahadhibu watu waishio duniani kwa ajili ya makosa yao; dunia itaachia umwagaji wa damu, na hawatawaficha tena waliokufa.
Car voici que le Seigneur sortira de son lieu, afin de visiter l’iniquité de l’habitant de la terre; et la terre révélera le sang qu’elle a reçu, et elle ne couvrira plus ceux qui avaient été tués sur elle.