< Isaya 26 >
1 Siku hiyo wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda: Tuna mji imara; Mungu amefanya wokovu katika kuta na ngome zake.
Hiche nikho teng leh Judah gamsung cheng mijousen hiche la hi asah diu ahi: Ka khopiu hi dettah ahi! Pathen mi huhhingna banghon eium kim velun ahi.
2 Fungua lango, ili mataifa yenye haki yaweze na yenye kutunza imani yaweze kuingia ndani.
Michonpha hodin kotpi hon peh un; tahsan umtah ho chu lut sah un.
3 Akili mlionayo, mtamuhifadhi yeye katika amani kamili, maana anawamini ninyi.
Nangma tahsan ho jouse, lungmong sel'a nakoiding ahin, alunggel jouse nachunga koidet ho chu.
4 Mwamini Yahwe daima; maana Yaha, Yahwe, ni mwamba wa milele.
Pakai chu tahsan jing jengun, ajehchu Pakai Pathen chu tonsot songpi ahi.
5 Maana atawashusha wale wote wenye kiburi; mji ulio juu atushusha chini, ataushusha chini kwenye aridhi; na ataulinganisha na mavumbi.
Mi kiletsah ho chu asunem jin, khopi kiletsah chu asu lhujin, leivui asojin ahi.
6 Utakanyagwakanyagwa chini na miguu ya walio masikini na wahitaji.
Mivaicha leh suh genthei a umhon akengtou vin achot phaovin, genthei vaichaho achunga avah leu vin ahi.
7 Mapito ya mwenye haki yamenyooka, Wenye haki; mapito ya wenye haki umeyanyoosha.
Ahin, michonpha hodin lampi chu aken pon, ajot hahpoije. Thildih jengbol Pathen chu nahin, amalam u lampi nam pet in nalhai.
8 Ndio, kaika mapito ya hukumu yako, Yahwe, tunakusubiri wewe; jina lako na sifa zako ni matamanio yetu.
Pakai, na danthu ho kanit uhin katahsan nao aphongdoh in, namin loupi ding hi kalung ngaichat pennu ahi.
9 Nimekutamani wewe wakati wa usiku; ndio, roho iliyo ndani yangu ina kutafuta kwa bidii. Pindi hukumu yako itakapokuja duniani, wenyeji wa duniani watajua kuhusu haki.
Jan khovah in nangma kaholjin; jingkah teng gunchu tah in Pathen kahol ji. Ajehchu leiset thutanna nahung teng lebou, miten adih chu ahet diu ahi.
10 Na tuonyeshe upendeleo kwa waovu, lakini hawatajifunza haki. katika nchi ya wanyofu anatenda maovu na haoni ukuu wa Yahwe.
Migiloute nangai lut nan thilpha aboldoh deh pouve. Midangin thilpha abol vang'in, migilouten thildih lou abol jingu vin, Pakai loupina chu hetphah in aneipouve.
11 Yahwe, mkono wako umenyanyuliwa juu, lakini hawapati hizo taarifa. Lakini wataona bidii kwa watu na wataona aibu, kwa sababu idadi ya maadui watawatafuna.
Aw Pakai na khuttum dopsang eman agel pou ve. Na mite na huhdoh nomdan chu musah in, chuteng amaho chu jachatna dimdiu ahitai. Na meikong chun nagalmi ho sumang jeng hen
12 Yahwe, utaleta amani kwetu, maana kweli, umekamilisha kazi zetu zote.
Pakai chamna neipeh diu ahi; kabol ka suh bulhit jouseu hi nang jal'a bou ahi.
13 Yahwe Mungu wetu, viongozi wengine badala yako wametutawala sisi; Lakini tunalitukuza jina lako.
Aw Pakai ka Pathen u, midang hon kachung uva vai ahin hom uve, ahin nangma bou nahi keima hon ka hou uchu.
14 Wamekufa, hawataishi tena; ni maremu hao, hawatafufuka tena. Kweli, umekuja kuwahukumu na kuwaharibu wao, na umefanya kila kumbukumbu kutoweka.
Kana jen leuho chu athiuvin, aum gam tapouve. A lhagao dalhah hou hung kile talou hel ding ahi! Nangman nasat nin, na sumang gamtai. Amaho chu sottahpi gelphah louvin aumtauve.
15 Umeliongeza taifa, Yahwe, umeliongeza taifa; umeheshimiwa; umeinuliwa katika mipaka yote ya nchi.
Aw Pakai, kanam u nei semlet peh taove; lentah nei so tao vin ahi. Ka gamgi hou jong nei kehlet peh un, loupina nangma kahin peuvin ahi!
16 Yahwe, katika mateso yao walikuangalia wewe; walipatwa na wasiwasi katika maombi yao maana adhabu yako ilikuwa juu yao.
Pakai, lung genthei in nangma kana hol ui. Na thunun pohgihna nanoija kahungtao uve.
17 Kama mwanamke mjamzito anayekaribia kujifungua, hupatwa na uchungu na hulia kwa uchungu, hivyo ndivyo tulivyokuwa kabla, Bwana.
Numei naovop in nao anei na'a na asah a, apenchoi choi banga, Pakai, na umna'a kaum tenguleh kachuti jiu ve.
18 Tulikuwa wajawazito, tumekuwa katika mateso, lakini ni kama tumeshajifungua katika akili zetu. Hatujauleta wokovu duniani, na wakazi wa duniani hawakuanguka.
Keiho jong lungna in kijel chot chot in ka umun, ahin kagenthei thoh ujong mohseh ahi. Leiset adin huhhingna kape thei pouve, hinna jong vannoi a kapolut thei pouvin ahi.
19 Wafu wenu wataishi; watu wenu walio kufa watafufuka. Amka na uimbe kwa furaha, njie muishio mavumbini; maana umande wenu ni umande wa mwanga, na dunia itawaleta mbele wafu wake.
Ahin Pakai a thiho chu hung hing diu, atahsau hung thoudoh kit ding ahi! Leiset a imu hochu hungthoudoh diu chuleh kipa jal'a la asah diu ahi. Ajeh chu na hinna-vah kipa chu jingkah daitwi alhah banga namite thi umna munna hunglha ding ahi.
20 Enendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu na mfunge mlango nyuma yenu; jificheni kwa mda mfupi, mpaka hasira itakapopita.
In na cheuvin, kamite, na kot hou kam tup un! Chomkhat adin kisel mangun, Pakai lunghanna akichai masang sen.
21 Maana, angalia, Yahwe anakaribia kutoka katika eneo lake kuwahadhibu watu waishio duniani kwa ajili ya makosa yao; dunia itaachia umwagaji wa damu, na hawatawaficha tena waliokufa.
Ven! Leiset mite a chonset jeh un, gotna pedin Pakai chu van'a konin ahungin ahi. Leiset in akithat ho asel jou tah lou ding, mijouse mudinga hung kipuidoh diu ahi.