< Isaya 25 >
1 Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
Yahweh, vous êtes mon Dieu, je vous exalterai; je louerai votre nom, car vous avez fait des choses merveilleuses; vos desseins formés de loin sont fidèles et fermes.
2 Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
Car vous avez fait de la ville un monceau de pierres, et de la cité fortifiée une ruine; la citadelle des barbares n’est plus une ville, elle ne sera jamais rebâtie.
3 Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
C’est pourquoi un peuple puissant vous glorifiera; la cité des nations terribles vous révèrera.
4 Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
Vous avez été une forteresse pour le faible, une forteresse pour le pauvre dans sa détresse, un abri contre l’orage, un ombrage contre l’ardeur du soleil. Car le souffle des tyrans est comme l’ouragan qui bat une muraille.
5 na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
Comme l’ardeur du soleil sur une terre aride, vous abattez l’insolence des barbares; comme l’ardeur du soleil par l’ombrage d’un nuage, le chant de triomphe des oppresseurs est étouffé.
6 Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
Et Yahweh des armées préparera, pour tous les peuples sur cette montagne, un festin de viandes grasses, un festin de vins pris sur la lie, de viandes grasses et pleines de mœlle, de vins pris sur la lie et clarifiés.
7 Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
Et il déchirera sur cette montagne le voile qui voilait tous les peuples, et la couverture qui couvrait toutes les nations,
8 Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
Il détruira la mort pour toujours. Le Seigneur Yahweh essuiera les larmes sur tous les visages, il ôtera l’opprobre de son peuple de dessus toute la terre; car Yahweh a parlé.
9 Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
On dira en ce jour-là: « Voici notre Dieu; en qui nous espérions pour être sauvés; c’est Yahweh, en qui nous avons espéré; livrons-nous à l’allégresse et réjouissons-nous en son salut.
10 Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
Car la main de Yahweh reposera sur cette montagne; mais Moab sera foulé sur place, comme est foulée la paille dans la mare à fumier.
11 Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
Dans cette fange, il étendra ses mains, comme le nageur les étend pour nager; mais Yahweh rabaissera son orgueil, malgré tout l’effort de ses mains;
12 Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.
Le rempart élevé de tes murs, il l’abattra, il le renversera, il le jettera à terre, dans la poussière. »