< Isaya 25 >
1 Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
LORD God my you(m. s.) to exalt you to give thanks name your for to make: do wonder counsel from distant faithfulness faithfulness
2 Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
for to set: make from city to/for heap town to gather/restrain/fortify to/for ruin citadel: fortress be a stranger from city to/for forever: enduring not to build
3 Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
upon so to honor: honour you people strong town nation ruthless to fear you
4 Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
for to be security to/for poor security to/for needy in/on/with distress to/for him refuge from storm shadow from drought for spirit: breath ruthless like/as storm wall
5 na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
like/as drought in/on/with dryness roar be a stranger be humble drought in/on/with shadow cloud song ruthless to afflict
6 Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
and to make LORD Hosts to/for all [the] people in/on/with mountain: mount [the] this feast oil feast dreg oil be marrow dreg to refine
7 Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
and to swallow up in/on/with mountain: mount [the] this face: surface [the] covering [the] to wrap upon all [the] people and [the] veil [the] to weave upon all [the] nation
8 Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
to swallow up [the] death to/for perpetuity and to wipe Lord YHWH/God tears from upon all face and reproach people his to turn aside: remove from upon all [the] land: country/planet for LORD to speak: speak
9 Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
and to say in/on/with day [the] he/she/it behold God our this to await to/for him and to save us this LORD to await to/for him to rejoice and to rejoice in/on/with salvation his
10 Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
for to rest hand: power LORD in/on/with mountain: mount [the] this and to tread Moab underneath: stand him like/as to tread straw (in/at/by *Q(K)*) dunghill
11 Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
and to spread hand his in/on/with entrails: among his like/as as which to spread [the] to swim to/for to swim and to abase pride his with skill hand his
12 Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.
and fortification high refuge wall your to bow to abase to touch to/for land: soil till dust