< Isaya 25 >
1 Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
Lord, you are my God. I will honor you and praise who you are, because you have done wonderful things that you planned long ago. You are faithful and trustworthy!
2 Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
You have turned the city into a pile of rubble; the fortified town is now a ruin; the foreigner palace is gone. It is no longer a city and it will never be rebuilt.
3 Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
Because of this powerful nations will honor you; cities of brutal nations will be in awe of you.
4 Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
But you have protected the poor and needy when they were in trouble, you shielded them from storms and shaded them from the heat. For the actions of brutal people are like rain beating against a wall,
5 na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
like heat in a desert. You end the noisy uprising of foreigners. In the same way that a cloud's shadow cools down the heat of the day, so the song sung by brutal people is silenced.
6 Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
On this mountain the Lord Almighty will prepare a feast for all nations, a lavish feast of aged wines, rich food, and the best meat.
7 Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
On this mountain he will destroy the veil that covers all the nations, the sheet that is over everyone.
8 Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
He will destroy death forever. The Lord God will wipe away all tears, and everywhere he will take away the humiliation suffered by his people. The Lord has spoken.
9 Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
At that time his people will say, “Look! This is our God; we have trusted in him and he has saved us! This is the Lord we have been looking for. Now we can be happy and celebrate the salvation he brings!”
10 Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
The Lord's hand of protection will be on this mountain. But the Moabites will be trampled underfoot like straw into the water of a manure pit.
11 Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
They will reach out their hands to try and save themselves, like swimmers using their hands to swim, but their pride will be humbled however much they thrash about.
12 Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.
Moab, he will demolish your fortress with the high walls, bringing it down to the ground, into the dust.