< Isaya 23 >
1 Tamko kuhusu Tiro, Ombolezeni, enyi kondoo wa Tarishishi;
oracle Tyre to wail fleet Tarshish for to ruin from house: home from to come (in): towards from land: country/planet Cyprus to reveal: reveal to/for them
2 maana hakuna nyumba wala bandari; kutoka katika nchi ya Kyprusi wamefunuliwa hilo.
to wail to dwell coastland to trade Sidon to pass sea to fill you
3 Na juu ya maji mengi ni nafaka za shiho, mazao ya Nile, na uzalishaji wao; mlikuwa wafanya biashara wa kimataifa.
and in/on/with water many seed Shihor harvest Nile produce her and to be profit nation
4 Kuwa na aibu, Sidoni; maana bahari imenena, mkuu wa bahari. Amesema, ''Sijafanya kazi wala kuzaa wala kukuza vijana wadogo wala kuwalea mabinti.
be ashamed Sidon for to say sea security [the] sea to/for to say not to twist: writh in pain and not to beget and not to magnify youth to exalt virgin
5 ''Pale taarifa ilipofika Misri, watauzunika kuhusu Tire.
like/as as which report to/for Egypt to twist: writh in pain like/as report Tyre
6 Katiza juu ya Tarshishi; Ole wenu, enyi wakazi wa pwani.
to pass Tarshish [to] to wail to dwell coastland
7 Je hili limeshawahi kuwatokea, mji wenye furaha, ambao kwa asili yake umetoka katika kipindi cha kale. Ambapo miguu yake imempeleka mbali kuishi kwenye maeneo ya ugenini?
this to/for you jubilant from day front: old former her to conduct her foot her from distant to/for to sojourn
8 Ni nani aliyepanga haya dhidi ya Tire, mtoa mataji, ambao wafanyabiashara wake ni wakuu, ambao wafanyabiashara ni watu wa kuheshimika duniani?
who? to advise this upon Tyre [the] to crown which to trade her ruler merchant her to honor: honour land: country/planet
9 Yahwe wa majeshi amepanga kuharibu kiburi chake na utukufu wake, na kuwahaibisha waheshimiwa wote wa dunia.
LORD Hosts to advise her to/for to profane/begin: profane pride all beauty to/for to lighten all to honor: honour land: country/planet
10 Lima katika shamba lako, kama mtu alimavyo Nile, ewe binti Tarishishi. Maana hakuna tena eneo la soko huko Tite.
to pass land: country/planet your like/as Nile daughter Tarshish nothing belt still
11 Yahwe amenyoosha mkono wake juu ya bahari, na ametingisha falme; na amepewa amri juu ya Fonensia, kuziharibu ngome.
hand his to stretch upon [the] sea to tremble kingdom LORD to command to(wards) Canaan to/for to destroy security her
12 Amesema, ''Hamtofurahia tena, binti bikira wa Sidoni uliyenyanyasika; nyanyuka, pitia Kyprusi; lakini wala hapatakuwa na punziko.''
and to say not to add: again still to/for to exult [the] to oppress virgin daughter Sidon (Cyprus *Q(k)*) to arise: rise to pass also there not to rest to/for you
13 Tazama nchi ya Wakaldayo. Hawa watu wamesitisha kuishi pale; Waasiria wamelifanya jangwa la wanyama pori. Wameizingira minara; wameliharibu eneo lao; wamelifanya kuwa chungu cha uharibifu.
look! land: country/planet Chaldea this [the] people not to be Assyria to found her to/for wild beast to arise: raise (tower his *Q(k)*) to strip citadel: palace her to set: make her to/for ruin
14 Omboleza ewe kondoo wa Tarishishi; maana kimbilio lako limeharibiwa.
to wail fleet Tarshish for to ruin security your
15 Katika siku hiyo, Tire itasaulika kwa miaka sabini, kama siku za mfalme. Baada ya miaka sabini kuisha huko Tire kutatokea kitu kama wimbo wa malaya.
and to be in/on/with day [the] he/she/it and to forget Tyre seventy year like/as day king one from end seventy year to be to/for Tyre like/as song [the] to fornicate
16 Chukua kinubi, nenda zunguka mji, mmewasahau malaya; cheza kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi, ili uweze kukumbuka.
to take: take lyre to turn: turn city to fornicate to forget be good to play to multiply song because to remember
17 Itatokea baada ya miaka sabini, Yahwe ataisaidia Tire, na wataanza kututafuta pesa tena kwa kufanya kazi ya umalaya, na atafanya utumishi wake katika falme za dunia.
and to be from end seventy year to reckon: visit LORD [obj] Tyre and to return: return to/for wages her and to fornicate with all kingdom [the] land: country/planet upon face: surface [the] land: planet
18 Faida yake na mapato yake yatatengwa kwa ajili ya Yahwe. Hayatahifadhiwa wala hayatakuwa na hazina, maana faida yao watapewa wale wanoishi mdhebauni mwa Yahwe na yatatumika kuwasambazia chakula cha kutosha na kupata mavazi yenye viwango bora.
and to be profit her and wages her holiness to/for LORD not to store and not to hoard for to/for to dwell to/for face: before LORD to be profit her to/for to eat to/for satiety and to/for covering surpassing