< Isaya 23 >

1 Tamko kuhusu Tiro, Ombolezeni, enyi kondoo wa Tarishishi;
The prophecy concerning Tyre. Howl, ye ships of Tarshish! For it is laid waste; No house, no entrance is left! From the land of the Chittaeans were the tidings brought to them.
2 maana hakuna nyumba wala bandari; kutoka katika nchi ya Kyprusi wamefunuliwa hilo.
Be amazed, ye inhabitants of the sea-coast, Which the merchants of Sidon, that pass over the sea, did crowd!
3 Na juu ya maji mengi ni nafaka za shiho, mazao ya Nile, na uzalishaji wao; mlikuwa wafanya biashara wa kimataifa.
Upon the wide waters, the corn of the Nile, The harvest of the river, was her revenue; She was the mart of the nations.
4 Kuwa na aibu, Sidoni; maana bahari imenena, mkuu wa bahari. Amesema, ''Sijafanya kazi wala kuzaa wala kukuza vijana wadogo wala kuwalea mabinti.
Be thou ashamed, O Sidon, for the sea hath spoken, The fortress of the sea hath spoken thus: “I have not travailed, nor brought forth children; I have not nourished youths, nor brought up virgins.”
5 ''Pale taarifa ilipofika Misri, watauzunika kuhusu Tire.
When the tidings shall reach Egypt, They shall be filled with anguish at the tidings concerning Tyre.
6 Katiza juu ya Tarshishi; Ole wenu, enyi wakazi wa pwani.
Pass ye over to Tarshish; Howl, ye inhabitants of the sea-coast!
7 Je hili limeshawahi kuwatokea, mji wenye furaha, ambao kwa asili yake umetoka katika kipindi cha kale. Ambapo miguu yake imempeleka mbali kuishi kwenye maeneo ya ugenini?
Is this your joyous city, Whose antiquity is of ancient days? Now her own feet bear her To sojourn far away.
8 Ni nani aliyepanga haya dhidi ya Tire, mtoa mataji, ambao wafanyabiashara wake ni wakuu, ambao wafanyabiashara ni watu wa kuheshimika duniani?
Who hath purposed this against Tyre, The dispenser of crowns, Whose merchants are princes, Whose traders the nobles of the earth?
9 Yahwe wa majeshi amepanga kuharibu kiburi chake na utukufu wake, na kuwahaibisha waheshimiwa wote wa dunia.
Jehovah of hosts hath purposed it, To bring down the pride of all glory, To humble the nobles of the earth.
10 Lima katika shamba lako, kama mtu alimavyo Nile, ewe binti Tarishishi. Maana hakuna tena eneo la soko huko Tite.
Go over thy land like the Nile, O daughter of Tarshish! Now thy bonds are broken.
11 Yahwe amenyoosha mkono wake juu ya bahari, na ametingisha falme; na amepewa amri juu ya Fonensia, kuziharibu ngome.
He hath stretched out his hand over the sea, He hath made the kingdoms tremble; Jehovah hath given commandment concerning Canaan To destroy her strong holds.
12 Amesema, ''Hamtofurahia tena, binti bikira wa Sidoni uliyenyanyasika; nyanyuka, pitia Kyprusi; lakini wala hapatakuwa na punziko.''
He hath said, Thou shalt no more rejoice, Thou ravished virgin, daughter of Sidon! Arise, pass over to the Chittaeans; Yet even there shalt thou have no rest.
13 Tazama nchi ya Wakaldayo. Hawa watu wamesitisha kuishi pale; Waasiria wamelifanya jangwa la wanyama pori. Wameizingira minara; wameliharibu eneo lao; wamelifanya kuwa chungu cha uharibifu.
Behold the land of the Chaldaeans, Who, not long ago, were not a people, —The Assyrian assigned it to the inhabitants of the wilderness, —They raise their watch-towers; They destroy her palaces; They make her a heap of ruins.
14 Omboleza ewe kondoo wa Tarishishi; maana kimbilio lako limeharibiwa.
Howl, ye ships of Tarshish! For your stronghold is destroyed.
15 Katika siku hiyo, Tire itasaulika kwa miaka sabini, kama siku za mfalme. Baada ya miaka sabini kuisha huko Tire kutatokea kitu kama wimbo wa malaya.
And it shall come to pass in that day, That Tyre shall be forgotten seventy years, According to the days of one king; But at the end of seventy years It shall be with Tyre as in the song of the harlot:
16 Chukua kinubi, nenda zunguka mji, mmewasahau malaya; cheza kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi, ili uweze kukumbuka.
“Take thy lyre, go about the city, O harlot, long forgotten; Make sweet melody; sing many songs, That thou mayst again be remembered!”
17 Itatokea baada ya miaka sabini, Yahwe ataisaidia Tire, na wataanza kututafuta pesa tena kwa kufanya kazi ya umalaya, na atafanya utumishi wake katika falme za dunia.
At the end of seventy years shall Jehovah show regard to Tyre, And she shall return to her hire, And play the harlot with all the kingdoms of the world, That are upon the face of the earth.
18 Faida yake na mapato yake yatatengwa kwa ajili ya Yahwe. Hayatahifadhiwa wala hayatakuwa na hazina, maana faida yao watapewa wale wanoishi mdhebauni mwa Yahwe na yatatumika kuwasambazia chakula cha kutosha na kupata mavazi yenye viwango bora.
But her gain and her hire shall be holy to Jehovah; It shall not be treasured, nor laid up in store; But it shall be for them that dwell before Jehovah, For abundant food, and for splendid clothing.

< Isaya 23 >