< Isaya 22 >
1 Tamko kuhusu bonde la maono:
Breme doline videnj. Kaj te sedaj pesti, da si v celoti odšel gor k hišnim streham?
2 Mji wenye kelele, mji umejaa maovu; wafu hawajauwawa kwa upanga, na hawakuuwawa kwenye vita.
Ti, ki si poln razgrajanja, hrupno mesto, radostno mesto. Tvoji umorjeni možje niso umorjeni z mečem niti niso umrli v bitki.
3 Viongozi wenu wamekimbia pamoja, lakini wamekamatwa pasipo na upinde, wote kwa pamoja wamekamatwa na wamekamatwa pamoja; walikimbia kutoka mbali.
Vsi tvoji vladarji so skupaj pobegnili. Zvezani so z lokostrelci. Vsi, ki so najdeni v tebi, so zvezani skupaj, ki so pobegnili od daleč.
4 Hivyo basi, Msiniangalie mimi, nitalia kwa uchungu; msijaribu kunifariji kuhusiana na kuharibika kwa binti ya watu wangu.
Zatorej sem rekel: »Poglejte proč od mene, grenko bom jokal, ne trudite se, da bi me potolažili zaradi plenjenja hčere mojega ljudstva.
5 Maana kuna siku za ghasia, akanyagaye chini, na fujo za Bwana, Yahwe wa majeshi, katika bonge la maono, kuanguka chini kwa ukuta, na watu wanalia juu ya milima.
Kajti to je dan stiske, mendranja in zmedenosti od Gospoda Boga nad bojevniki v dolini videnja, podiranja zidov in vpitja h goram.
6 Elamu chukua podo juu, na gari la watu na farasi, na kirghizameweka ngao wazi.
Elám je nosil tul z bojnimi vozovi mož in konjeniki in Kir je odkril ščit.
7 Siku hiyo ambapo mabonde ulioyachagua yatajaa magari, na farasi watachukua nafasi zao katika lango.
In zgodilo se bo, da bodo tvoje izbrane doline polne vozov in konjeniki se bodo postrojili pri velikih vratih.
8 Atauodoa mbali ulinzi wa Yuda; na utaona siku hiyo utaona silaha katika jumba la msitu.
Odkril je Judovo pokrivalo in na tisti dan si pogledal k bojni opremi gozdne hiše.
9 Umeona matawi ya mji wa Daudi, jinsi mlivyowengi, na kukusanya maji katika birika la chini.
Videli ste tudi vrzeli Davidovega mesta, da jih je mnogo in zbrali ste skupaj vode spodnjega ribnika.
10 Umehesabu nyumba za Yerusalemu, na umerarua nyumba chini kuuimarish ukuta.
Prešteli ste jeruzalemske hiše in porušili hiše, da utrdite obzidje.
11 Na umefanya hifadhi katika ya kuta mbili maana maji ya birika la zamani. Maana haukuwahusisha walioujenga mji, walioupanga mji kutoka zamani.
Naredili ste tudi jarek med dvema zidovoma za vodo iz starega ribnika, toda niste pogledali k njegovemu izdelovalcu niti niste imeli spoštovanja do tistega, ki ga je dolgo nazaj oblikoval.
12 Bwana, Yahwe wa majeshi amewaita siku hiyo watu waje kuomboleza na kulia, wanyoe vichwa vyao na kuvaa nguo za magunia.
Na tisti dan je Gospod Bog nad bojevniki klical k jokanju, žalovanju, k plešavosti in k opasovanju z vrečevino
13 Lakini angalia, badala yake sherehe na furaha, kuuwa ng'ombe na kuchinga kondoo, njooni tule na kunjwa mvinjo maana kesho tutakufa.
in glej, radost in veselje, klanje volov in ubijanje ovc, žrtje mesa in pitja vina. Jejmo in pijmo, kajti jutri bomo umrli.
14 Hili limebanika kwenye masikio yangu na Yahwe wa majeshi: Hakika maovu haya hayatasamehewa, hata utakapokufa, ''Amesema Bwana wa majeshi.
To je bilo razodeto v moja ušesa po Gospodu nad bojevniki: »Zagotovo ta krivičnost ne bo očiščena od vas, dokler ne umrete, « govori Gospod Bog nad bojevniki.
15 Bwana, Yahwe wa majeshi, asema hivi, ''Nenda kwa huyu kiongozi, kwa Shebana, aliye juu ya nyumba, na umwambie,
Tako govori Gospod Bog nad bojevniki: »Pojdi, stopi k temu zakladniku, celó k Šebnáju, ki je nad hišo in reci:
16 Ni nina aliyekuruhusu kuchimba kaburi lako mwenyewe, kukata juu ya kaburi na juu ya urefu katika mahali pa kupunzikia ndani mwamba?''
›Kaj imaš tukaj? In koga imaš tukaj, da si si tukaj izklesal mavzolej kakor kdor si kleše mavzolej na višavi in ki zase vrezuje prebivališče v skali?
17 Yahwe anakaribia kukutupa chini; mtu mwenye nguvu, anakaribia kukutupa chini; atakuzongazonga.
Glej, Gospod te bo odvedel proč z mogočnim ujetništvom in zagotovo te bo pokril.
18 Atahakikisha anatuzungusha zungusha, na kutupa msukosuko kama mpira kwenye nchi kubwa. Pale utakapokufa, na pale gari lako tukufu litakapo kuwa; utakuwa aibu ya nyumba ya bwana wako!
Zagotovo se bo nasilno obrnil in te zalučal kakor žogo v veliko deželo. Tam boš umrl in tam bodo vozovi tvoje slave sramota hiši tvojega gospoda.
19 ''Nami nitakuondoa katika ofisi yako na katika kituo chako. Na utavutwa chini.
»Odgnal te bom iz tvojega položaja in iz tvojega mesta te bo zvrnil.
20 Na itakuwa hivi kuhusu siku hiyo nitamchukua Eliakimu mtoto wa Hilkia mtumishi wangu.
Na tisti dan se bo zgodilo, da bom poklical svojega služabnika Eljakíma, Hilkijájevega sina.
21 Nitamvisha yeye kwa kanzu yenu na kumvika mkanda wenu, na nitahamisha mamlaka yenu kwenye mikono yake. Atakuwa baba wa wenyeji wa Yerusalemu na katika nyumba ya Yuda.
Oblekel ga bom s tvojim svečanim oblačilom, ga ojačal s tvojim pasom in tvojo vlado bom izročil v njegovo roko in on bo oče jeruzalemskim prebivalcem in Judovi hiši.
22 Nitaziweka funguo za nyumba ya Daudi kwenye mabega yake; Atafungua, na hakuna atakayefunga; na atafunga na hakuna atakayefungua.
Ključ Davidove hiše bom položil na njegovo ramo; tako bo odprl in nihče ne bo zaprl; in zaprl bo in nihče ne bo odprl.
23 Nami nitamuimarisha yeye, kigingi katika mahali salama, na atakuwa kiti cha utukufu katika nyumba ya baba yake.
Pritrdil ga bom kakor žebelj na zanesljivo mesto in on bo za veličasten prestol hiši svojega očeta.
24 Nao wataangukia juu yake utukufu wote wa baba nyumba ya baba yake, watoto wake na uzao wake na kila chombo kidogo kutoka vikombe mpaka majagi yote.
Nanj bodo obesili vso slavo hiše njegovega očeta, potomstvo in pregnance, vse posode majhne količine, od čašastih posod, celo do vseh posod iz usnja.
25 Siku hiyo- hili ndilo tamko la Yahwe wa majeshi- kigingi kilichowekwa katika mazingira imara kitatoa njia, utavunjika, na kuanguka, na uzito ulionao utaondoleawa- maana Yahwe amesema.
Na ta dan, « govori Gospod nad bojevniki, »bo žebelj, ki je bil pritrjen na zanesljivem kraju, odstranjen, posekan in pade; in breme, ki je bilo na njem, bo odsekano, « kajti Gospod je to govoril.