< Isaya 22 >
1 Tamko kuhusu bonde la maono:
The burden of the valley of vision. What aileth thee now, that thou art wholly gone up to the housetops?
2 Mji wenye kelele, mji umejaa maovu; wafu hawajauwawa kwa upanga, na hawakuuwawa kwenye vita.
O thou that art full of shoutings, a tumultuous city, a joyous town; thy slain are not slain with the sword, neither are they dead in battle.
3 Viongozi wenu wamekimbia pamoja, lakini wamekamatwa pasipo na upinde, wote kwa pamoja wamekamatwa na wamekamatwa pamoja; walikimbia kutoka mbali.
All thy rulers fled away together, they were bound by the archers: all that were found of thee were bound together, they fled afar off.
4 Hivyo basi, Msiniangalie mimi, nitalia kwa uchungu; msijaribu kunifariji kuhusiana na kuharibika kwa binti ya watu wangu.
Therefore said I, Look away from me, I will weep bitterly; labour not to comfort me, for the spoiling of the daughter of my people.
5 Maana kuna siku za ghasia, akanyagaye chini, na fujo za Bwana, Yahwe wa majeshi, katika bonge la maono, kuanguka chini kwa ukuta, na watu wanalia juu ya milima.
For it is a day of discomfiture, and of treading down, and of perplexity, from the Lord, the LORD of hosts, in the valley of vision; a breaking down of the walls, and a crying to the mountains.
6 Elamu chukua podo juu, na gari la watu na farasi, na kirghizameweka ngao wazi.
And Elam bare the quiver, with chariots of men [and] horsemen; and Kir uncovered the shield.
7 Siku hiyo ambapo mabonde ulioyachagua yatajaa magari, na farasi watachukua nafasi zao katika lango.
And it came to pass, that thy choicest valleys were full of chariots, and the horsemen set themselves in array at the gate.
8 Atauodoa mbali ulinzi wa Yuda; na utaona siku hiyo utaona silaha katika jumba la msitu.
And he took away the covering of Judah; and thou didst look in that day to the armour in the house of the forest.
9 Umeona matawi ya mji wa Daudi, jinsi mlivyowengi, na kukusanya maji katika birika la chini.
And ye saw the breaches of the city of David, that they were many: and ye gathered together the waters of the lower pool.
10 Umehesabu nyumba za Yerusalemu, na umerarua nyumba chini kuuimarish ukuta.
and ye numbered the houses of Jerusalem, and ye brake down the houses to fortify the wall.
11 Na umefanya hifadhi katika ya kuta mbili maana maji ya birika la zamani. Maana haukuwahusisha walioujenga mji, walioupanga mji kutoka zamani.
ye made also a reservoir between the two walls for the water of the old pool: but ye looked not unto him that had done this, neither had ye respect unto him that fashioned it long ago.
12 Bwana, Yahwe wa majeshi amewaita siku hiyo watu waje kuomboleza na kulia, wanyoe vichwa vyao na kuvaa nguo za magunia.
And in that day did the Lord, the LORD of hosts, call to weeping, and to mourning, and to baldness, and to girding with sackcloth:
13 Lakini angalia, badala yake sherehe na furaha, kuuwa ng'ombe na kuchinga kondoo, njooni tule na kunjwa mvinjo maana kesho tutakufa.
and behold, joy and gladness, slaying oxen and killing sheep, eating flesh and drinking wine: let us eat and drink, for tomorrow we shall die.
14 Hili limebanika kwenye masikio yangu na Yahwe wa majeshi: Hakika maovu haya hayatasamehewa, hata utakapokufa, ''Amesema Bwana wa majeshi.
And the LORD of hosts revealed himself in mine ears, Surely this iniquity shall not be purged from you till ye die, saith the Lord, the LORD of hosts.
15 Bwana, Yahwe wa majeshi, asema hivi, ''Nenda kwa huyu kiongozi, kwa Shebana, aliye juu ya nyumba, na umwambie,
Thus saith the Lord, the LORD of hosts, Go, get thee unto this treasurer, even unto Shebna, which is over the house, [and say],
16 Ni nina aliyekuruhusu kuchimba kaburi lako mwenyewe, kukata juu ya kaburi na juu ya urefu katika mahali pa kupunzikia ndani mwamba?''
What doest thou here? and whom hast thou here, that thou hast hewed thee out here a sepulchre? hewing him out a sepulchre on high, graving an habitation for himself in the rock!
17 Yahwe anakaribia kukutupa chini; mtu mwenye nguvu, anakaribia kukutupa chini; atakuzongazonga.
Behold, the LORD will hurl thee away violently as a [strong] man; yea, he will wrap thee up closely.
18 Atahakikisha anatuzungusha zungusha, na kutupa msukosuko kama mpira kwenye nchi kubwa. Pale utakapokufa, na pale gari lako tukufu litakapo kuwa; utakuwa aibu ya nyumba ya bwana wako!
He will surely turn and toss thee like a ball into a large country; there shalt thou die, and there shall be the chariots of thy glory, thou shame of thy lord’s house.
19 ''Nami nitakuondoa katika ofisi yako na katika kituo chako. Na utavutwa chini.
And I will thrust thee from thine office, and from thy station shall he pull thee down.
20 Na itakuwa hivi kuhusu siku hiyo nitamchukua Eliakimu mtoto wa Hilkia mtumishi wangu.
And it shall come to pass in that day, that I will call my servant Eliakim the son of Hilkiah:
21 Nitamvisha yeye kwa kanzu yenu na kumvika mkanda wenu, na nitahamisha mamlaka yenu kwenye mikono yake. Atakuwa baba wa wenyeji wa Yerusalemu na katika nyumba ya Yuda.
and I will clothe him with thy robe, and strengthen him with thy girdle, and I will commit thy government into his hand: and he shall be a father to the inhabitants of Jerusalem, and to the house of Judah.
22 Nitaziweka funguo za nyumba ya Daudi kwenye mabega yake; Atafungua, na hakuna atakayefunga; na atafunga na hakuna atakayefungua.
And the key of the house of David will I lay upon his shoulder; and he shall open, and none shall shut; and he shall shut, and none shall open.
23 Nami nitamuimarisha yeye, kigingi katika mahali salama, na atakuwa kiti cha utukufu katika nyumba ya baba yake.
And I will fasten him as a nail in a sure place; and he shall be for a throne of glory to his father’s house.
24 Nao wataangukia juu yake utukufu wote wa baba nyumba ya baba yake, watoto wake na uzao wake na kila chombo kidogo kutoka vikombe mpaka majagi yote.
And they shall hang upon him all the glory of his father’s house, the offspring and the issue, every small vessel, from the vessels of cups even to all the vessels of flagons.
25 Siku hiyo- hili ndilo tamko la Yahwe wa majeshi- kigingi kilichowekwa katika mazingira imara kitatoa njia, utavunjika, na kuanguka, na uzito ulionao utaondoleawa- maana Yahwe amesema.
In that day, saith the LORD of hosts, shall the nail that was fastened in a sure place give way; and it shall be hewn down, and fall, and the burden that was upon it shall be cut off; for the LORD hath spoken it.