< Isaya 21 >

1 Tamko kuhusu jangwa pembezoni mwa bahari. Kama dhuruba yenye upepo inayotokea kupita Negevi kuelekea jangwani, kutoka kwenye aridhi ya kutisha.
[the] oracle of [the] wilderness of [the] sea Like storm-winds in the south to sweep on from [the] wilderness [someone is] coming from a land to be feared.
2 Nimepewa maono ya kusikitisha: Wasaliti wamepanga hila, na waharibifu kuharibu. Nenda juu na uvamie, Elamu; zingira Media; Mimi nitasimamisha maumivu yao yote.
A vision severe it has been told to me the traitor - [is] acting treacherously and the destroyer - [is] destroying go up O Elam lay siege O Media all groaning its I will cause to cease.
3 Hivyo basi simba wangu wamejawa na maumivu; ni kama mwanamke anayejifungua kwa uchungu yamenipata mimi; Nimeina chini kwa kile nilichokisikia; nimesumbuliwa kwa kile nilichokiona.
There-fore they are full loins my anguish pangs they have seized me like [the] pangs of [a woman who] gives birth I am bent over from hearing I am terrified from seeing.
4 Moyo wangu unajinga, nimetitishika kwa hofu. Mapema jioni, mda wangu mzuri kwa siku, imeniletea hofu.
It has wandered heart my shuddering it has overwhelmed me [the] twilight of desire my it has made for me trembling.
5 Wameandaa meza, wametawanya vitambaa, na wanakula na kunjwa; tokea, mkuu, pakeni ngao yenu kwa mafuta.
They are arranging the table they are spreading out the rug eating drinking arise O officials smear a shield.
6 Hiili ndilo Bwana aliloniambia, ''Nenda, baada ya mlinzi; lazima atoe taarifa kwa kile atakacho kiona.
For thus he has said to me [the] Lord go station the watchman [that] which he will see let him tell.
7 Kama ataona gari, jozi ya farasi, farasi juu ya punda na farasi juu ya ngamia, hivyo basi anatakiwa kuwa makini na kuwa macho.''
And he will see a rider a pair of horses a rider of a donkey a rider of a camel and he will pay attention attentiveness greatness of attentiveness.
8 Mlinzi analia nje, ''Bwana, ninasimama juu ya mnara siku zote, kila siku, na kwa nguzo yangu nitasimama usiku wote.''
And he called out a lion on a watchtower - O Lord I [am] standing continually by day and at post my I [am] stationed all the nights.
9 Tazama gari linakuja na wakiwa wawili wawili. anaita, ''Babeli umeanguka, umeanguka, na sanamu za kuchonga za miungu yao zimevunjika chini.''
And there! this [is] coming a rider a man a pair of horses and he answered and he said it has fallen it has fallen Babylon and all [the] images of gods its someone has broken to the ground.
10 Watu wangu niliwapururu na kuwapepeta, watoto niliyewatoa kwenye sakafu yangu mwenyeweNilichokisikia kutoka kwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, Nimekutangazia wewe.
O threshed one my and [the] son of threshing floor my [that] which I have heard from with Yahweh of hosts [the] God of Israel I have told to you.
11 Tamko kuhusu Duma. Mtu mmoja amenita mimi kutoka Seiri, ''Mlinzi, ni kitu gani kilichobakizwa usiku?
[the] oracle of Dumah to me [someone is] calling from Seir O watchman what? [is] from [the] night O watchman what? [is] from [the] night.
12 Mlinzi akasema, ''Asubuhi itafika na vilevile usiku. Ikiwa unataka kuuliza basi uliza; na urudi tena.''
He says [the] watchman it will come morning and also night if you will enquire! enquire return come.
13 Tamko kuhusu Arabia. Katika jangwa la Arabia mmeutumia usiku, enyi misafara ya Dedanite.
[the] oracle On Arabia in the thicket[s] in Arabia you will lodge O caravans of Dedanites.
14 Leteni maji kwa wenye kiu; wenyeji wa nchi ya Tema, waoneni watuhumiwa kwa mikate.
To meet [the] thirsty bring water O inhabitants of [the] land of Tema with bread his they met fugitive[s].
15 Maana wameukimbia upanga, kutoka upanga unaotolewa, kutoka kwenye upinde ulopinda, na kutokana na uzito wa vita.
For from before swords they have fled from before - a sword drawn and from before a bow bent and from before [the] weight of battle.
16 Maana hili ndilo Bwana alichosema na mimi, ''Ndani ya mwaka mmoja, kama mtu aliyeajiriwa kwa mwaka ataona, utukufu wa Kedari utakwisha.
For thus he has said [the] Lord to me in yet a year like [the] years of a hired laborer and it will be finished all [the] splendor of Kedar.
17 Ni baadhi ya ya wavuta upinde, mashujaa wa Kader watabakia,'' maana Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.
And [the] remnant of a number of bowmen [the] warriors of [the] people of Kedar they will be few for Yahweh [the] God of Israel he has spoken.

< Isaya 21 >