< Isaya 20 >
1 Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
L'année où Tartan vint à Asdod, après que Sargon, roi d'Assyrie, l'eut envoyé, il combattit Asdod et la prit.
2 Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
En ce temps-là, Yahvé parla par Ésaïe, fils d'Amoz, et dit: « Va, détache le sac de ta taille et ôte tes sandales de tes pieds. » Il fit ainsi, marchant nu et pieds nus.
3 Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
Yahvé dit: « De même que mon serviteur Ésaïe a marché nu et pieds nus pendant trois ans, comme un signe et un prodige pour l'Égypte et pour l'Éthiopie,
4 katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
de même le roi d'Assyrie emmènera les captifs d'Égypte et les exilés d'Éthiopie, jeunes et vieux, nus et pieds nus, les fesses découvertes, à la honte de l'Égypte.
5 Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
Ils seront consternés et confus, à cause de l'Éthiopie, leur espoir, et de l'Égypte, leur gloire.
6 Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''
En ce jour-là, les habitants de ce pays de la côte diront: « Voici ce que nous attendions, et c'est là que nous avons fui pour être délivrés du roi d'Assyrie. Et nous, comment échapperons-nous? »