< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
in/on/with year to come (in): come Tartan Ashdod [to] in/on/with to send: depart [obj] him Sargon king Assyria and to fight in/on/with Ashdod and to capture her
2 Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
in/on/with time [the] he/she/it to speak: speak LORD in/on/with hand: by Isaiah son: child Amoz to/for to say to go: went and to open [the] sackcloth from upon loin your and sandal your to rescue from upon foot your and to make: do so to go: walk naked and barefoot
3 Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
and to say LORD like/as as which to go: walk servant/slave my Isaiah naked and barefoot three year sign: indicator and wonder upon Egypt and upon Cush
4 katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
so to lead king Assyria [obj] captivity Egypt and [obj] captivity Cush youth and old naked and barefoot and to strip buttock nakedness Egypt
5 Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
and to to be dismayed and be ashamed from Cush expectation their and from Egypt beauty their
6 Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''
and to say to dwell [the] coastland [the] this in/on/with day [the] he/she/it behold thus expectation our which to flee there to/for help to/for to rescue from face: before king Assyria and how? to escape we

< Isaya 20 >