< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
In [the] year came [the] supreme commander Ashdod towards when sent him Sargon [the] king of Assyria and he fought against Ashdod and he captured it.
2 Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
At the time that he spoke Yahweh by [the] hand of Isaiah [the] son of Amoz saying go and you will loosen the sackcloth from on hips your and sandal[s] your you will take off from on feet your and he did thus he went naked and barefoot.
3 Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
And he said Yahweh just as he has gone servant my Isaiah naked and barefoot three years a sign and a portent on Egypt and on Cush.
4 katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
So he will lead away [the] king of Assyria [the] captive[s] of Egypt and [the] exile[s] of Cush young men and old [men] naked and barefoot and [ones] uncovered of buttock [the] nakedness of Egypt.
5 Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
And they will be dismayed and they will be ashamed from Cush hope their and from Egypt boasting their.
6 Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''
And he will say [one who] dwells the coast this in the day that there! [is] thus hope our where we fled there for help to be delivered from before [the] king of Assyria and how? will we escape we.

< Isaya 20 >