< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
Assyria lengpa Sargon in, a sepai jalam kaipa henga Philistine khopi Ashdod lo dinga thu apeh khum chun,
2 Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
Pakai in Amoz chapa Isaiah henga aseijin, “Na von chu sutlhan lang na kengchot teni jongchu koidoh in.” Isaiah in akisei bang chun abolin, sagoh keoleh kengkeo in avahlen ahi.
3 Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
Hichun Pakai in ahin seijin, “Ka sohpa Isaiah hi kumthum ahitai sagoh keo leh kengkeo va avalena hi. Hiche hi melchihna ahi-Egypt leh Ethiopia chunga hahsatna lentah kalhun sah ding vetsahna lim ahi.
4 katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
Ajeh chu Assyria lengpan Egypt teleh Ethiopia te songkul tang dinga apui mang ding ahi. Sagoh keo leh kengchot beija avaleh sah ding, Egypt mite jumna dinga aneo alen atokeu uva alhat lesah ding ahi.
5 Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
Chuteng Philistine te lung linglao a umdiu ahi. Ajehchu amahon Ethiopia thanei akisonpiu va, chuleh akisamkai piu Egypt a kiletsah piu ahi.
6 Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''
Hitia hi asei diu ahi, 'Hitobang hi Egypt te chunga ahunglhun theileh, eihon ipi agom kom phat inei diu ham? Assyria lengpa akona eihuhdoh dinguva Egypt te ina kisonpiu ahi.”

< Isaya 20 >