< Isaya 2 >
1 Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
Słowo, które widział Izajasz, syn Amosa, dotyczące Judy i Jerozolimy.
2 Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
Stanie się w dniach ostatecznych, że góra domu PANA będzie utwierdzona na szczycie gór i wywyższona ponad pagórki; i wszystkie narody popłyną do niej.
3 Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
I pójdzie wiele ludów, i powie: Chodźcie, wstąpmy na górę PANA, do domu Boga Jakuba; on będzie nas uczył swoich dróg, a my będziemy kroczyli jego ścieżkami. Z Syjonu bowiem wyjdzie prawo, a słowo PANA z Jerozolimy.
4 Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
On będzie sądził wśród narodów i karcił wielu ludzi. I przekują swe miecze na lemiesze, a swoje włócznie na sierpy. Naród przeciw narodowi nie podniesie już miecza i nie będą się już ćwiczyć do wojny.
5 Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
Domu Jakuba, chodźcie, postępujmy w światłości PANA.
6 Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
Ale ty opuściłeś swój lud, dom Jakuba, gdyż pełen jest [obrzydliwości] wschodu i [są oni] wróżbitami jak Filistyni, a kochają się w cudzych synach.
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
Ich ziemia jest pełna srebra i złota i nie ma końca ich skarbom. Ich ziemia jest pełna koni i nie ma końca ich rydwanom.
8 Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
Ich ziemia jest pełna bożków, [oni] oddają pokłon dziełom własnych rąk, które wykonały ich palce.
9 Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
Kłania się [przed nimi] prosty człowiek, poniża się też wielki; nie przebaczaj im.
10 Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
Wejdź w skałę i ukryj się w prochu ze strachu przed PANEM i przed chwałą jego majestatu.
11 Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
Wyniosłe oczy człowieka ukorzą się, ludzka pycha będzie poniżona, a sam tylko PAN zostanie wywyższony w tym dniu.
12 Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
[Przyjdzie] bowiem dzień PANA zastępów przeciwko każdemu pysznemu i wyniosłemu, i przeciwko każdemu wywyższonemu, a [każdy] zostanie poniżony;
13 na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
Przeciwko wszystkim cedrom Libanu, które są wysokie a wyniosłe, i przeciwko wszystkim dębom Baszanu;
14 Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
Przeciwko wszystkim wysokim górom i przeciwko wszystkim wyniosłym pagórkom;
15 na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
Przeciwko każdej wysokiej wieży i przeciwko każdemu murowi obronnemu;
16 na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
Przeciwko wszystkim okrętom Tarszisz i przeciwko wszelkiemu pięknemu malarstwu.
17 Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
I wyniosłość człowieka będzie ugięta i pycha ludzka będzie poniżona, a sam tylko PAN zostanie wywyższony w tym dniu.
18 Sanamu zote zitaondolewa.
A bożki zniszczy doszczętnie.
19 Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
Wtedy wejdą do jaskiń skalnych i do jam podziemnych ze strachu przed PANEM i przed chwałą jego majestatu, gdy powstanie, by przerazić ziemię.
20 Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
W tym dniu człowiek wrzuci kretom i nietoperzom swoje bożki srebrne i złote, które uczynił, aby oddawać im pokłon;
21 Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
I wejdzie w szczeliny skalne i na szczyty opok ze strachu przed PANEM i przed chwałą jego majestatu, gdy powstanie, aby przerazić ziemię.
22 usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?
Przestańcie [polegać] na człowieku, którego tchnienie [jest] w jego nozdrzach. Za co bowiem ma być uznany?