< Isaya 2 >

1 Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
پیغام دیگری دربارهٔ سرزمین یهودا و شهر اورشلیم از جانب خداوند به اشعیا پسر آموص رسید:
2 Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
در روزهای آخر، کوهی که خانهٔ خداوند بر آن قرار دارد، بلندترین قلهٔ دنیا محسوب خواهد شد و مردم از سرزمینهای مختلف به آنجا روانه خواهند گردید.
3 Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
آنان خواهند گفت: «بیایید به کوه خداوند که خانهٔ خدای یعقوب بر آن قرار دارد برویم تا او قوانین خود را به ما یاد دهد و ما آنها را اطاعت کنیم.» زیرا خداوند احکام خود را از صهیون و کلامش را از اورشلیم صادر می‌کند.
4 Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
خداوند در میان قومها داوری خواهد کرد و به منازعات بین قومها خاتمه خواهد داد. ایشان شمشیرهای خود را برای ساختن گاوآهن در هم خواهند شکست، و نیزه‌های خویش را برای تهیۀ اره. قومها دیگر به جان هم نخواهند افتاد و خود را برای جنگ آماده نخواهند کرد.
5 Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
ای نسل یعقوب بیایید در نور خداوند راه برویم!
6 Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
تو، ای خداوند، قوم خود خاندان یعقوب را ترک کرده‌ای زیرا سرزمین ایشان از جادوگری شرقی‌ها و فلسطینی‌ها پر شده و مردم رسوم بیگانگان را به‌جا می‌آورند.
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
سرزمین آنها مملو از طلا و نقره گشته و گنجهایشان بی انتهاست، زمینشان از اسبها پر شده و ارابه‌هایشان بی پایان است.
8 Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
سرزمین آنها آکنده از بتهاست و ساخته‌های دست خویش را پرستش می‌کنند، یعنی آنچه را که با انگشتان خود ساخته‌اند.
9 Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
مردم جلوی آنها خم می‌شوند و خود را پست می‌سازند، پس تو آنها را نخواهی بخشید.
10 Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
مردم از ترس خداوند و هیبت حضور او به درون غارها و شکاف صخره‌ها خواهند خزید و خود را در خاک پنهان خواهند کرد.
11 Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
در آن روز، بلندپروازی و تکبر انسانها نابود خواهد شد و فقط خداوند متعال خواهد بود.
12 Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
روزی خواهد رسید که خداوند لشکرهای آسمان بر ضد اشخاص مغرور و متکبر و بر هر آنچه برافراشته شده باشد، برخواهد خاست و آنها را پست خواهد کرد.
13 na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
همهٔ سروهای بلند لبنان و بلوطهای ستبر باشان خم خواهند گردید.
14 Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
تمام کوهها و تپه‌های بلند،
15 na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
و همهٔ برجها و حصارهای مرتفع با خاک یکسان خواهند شد.
16 na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
تمام کشتی‌های بزرگ و باشکوه، در برابر خداوند متلاشی خواهند گردید.
17 Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
تمام شکوه و عظمت انسان از بین خواهد رفت و غرور آدمیان به خاک نشانده خواهد شد. بتها به کلی نابود خواهند گردید و در آن روز فقط خداوند متعال خواهد بود.
18 Sanamu zote zitaondolewa.
19 Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
هنگامی که خداوند برخیزد تا زمین را بلرزاند، تمام دشمنانش از ترس و از هیبت جلال او به درون غارها و شکاف صخره‌ها خواهند خزید.
20 Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
آنگاه مردم بتهای طلا و نقرهٔ خود را که برای پرستش ساخته بودند، برای موشهای کور و خفاشها خواهند گذاشت.
21 Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
ایشان به درون غارها خواهند خزید تا از هیبت جلال خداوند که برخاسته است تا زمین را به لرزه درآورد، خود را در میان شکافهای صخره‌ها پنهان سازند.
22 usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?
انسان چقدر ضعیف است! او مثل نفسی که می‌کشد ناپایدار است! هرگز به انسان توکل نکنید.

< Isaya 2 >