< Isaya 19 >

1 Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
La charge de l'Egypte. Voici, l'Eternel s'en va monter sur une nuée légère, et il entrera dans l'Egypte; et les idoles d'Egypte s'enfuiront de toutes parts de devant sa face, et le cœur de l'Egypte se fondra au milieu d'elle.
2 Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
Et je ferai venir pêle-mêle l'Egyptien contre l'Egyptien, et chacun fera la guerre contre son frère, et chacun contre son ami, ville contre ville, Royaume contre Royaume.
3 Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
L'esprit de l'Egypte s'évanouira au milieu d'elle, et je dissiperai son conseil, et ils interrogeront les idoles, et les enchanteurs, et les esprits de Python, et les diseurs de bonne aventure.
4 Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
Et je livrerai l'Egypte en la main d'un Seigneur sévère, et un Roi cruel dominera sur eux, dit le Seigneur, l'Eternel des armées.
5 Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
Et les eaux de la mer défaudront, et le fleuve séchera, et tarira.
6 Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
Et on fera détourner les fleuves; les ruisseaux des digues s'abaisseront et sécheront; les roseaux et les joncs seront coupés.
7 Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
Les prairies qui sont près des ruisseaux, et sur l'embouchure du fleuve, et tout ce qui aura été semé le long des ruisseaux, séchera, sera jeté loin, et ne sera plus.
8 Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
Et les pêcheurs gémiront, et tous ceux qui jettent l'hameçon au fleuve, mèneront deuil, et ceux qui étendent les rets sur les eaux, languiront.
9 Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
Ceux qui travaillent en lin et en fin crêpe, et ceux qui tissent les filets, seront honteux.
10 Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
Et ses chaussées seront rompues; et tous ceux qui font des écluses de viviers seront contristés de cœur.
11 Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
Certes les principaux de Tsohan sont fous, les sages d'entre les conseillers de Pharaon sont un conseil abruti; comment dites-vous à Pharaon; je suis fils des sages, le fils des Rois anciens?
12 ''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
Où sont-ils maintenant? où sont, [dis-je], tes sages? qu'ils t'annoncent, je te prie, s'ils le savent, ce que l'Eternel des armées a décrété contre l'Egypte.
13 Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
Les principaux de Tsohan sont devenus insensés; les principaux de Noph se sont trompés; les Cantons des Tribus d'Egypte l'ont fait égarer.
14 Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
L'Eternel a versé au milieu d'elle un esprit de renversement, et on a fait errer l'Egypte dans toutes ses œuvres, comme un homme ivre se vautre dans son vomissement.
15 Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
Et il n'y aura aucun ouvrage qui serve à l'Egypte, [rien de ce] que fera la tête ou la queue, le rameau ou le jonc.
16 Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
En ce jour-là l'Egypte sera comme des femmes, et elle sera étonnée et épouvantée à cause de la main élevée de l'Eternel des armées, laquelle il s'en va élever contr'elle.
17 Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
Et la terre de Juda sera en effroi à l'Egypte; quiconque fera mention d'elle, en sera épouvanté en soi-même, à cause du conseil de l'Eternel des armées, lequel il s'en va décréter contr'elle.
18 Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
En ce jour-là il y aura cinq villes au pays d'Egypte qui parleront le langage de Chanaan, et qui jureront à l'Eternel des armées; et l'une sera appelée Ville de destruction.
19 Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
En ce jour-là il y aura un autel à l'Eternel au milieu du pays d'Egypte, et une enseigne dressée à l'Eternel sur sa frontière.
20 Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
Et [cela] sera pour signe et pour témoignage à l'Eternel des armées dans le pays d'Egypte; car ils crieront à l'Eternel à cause des oppresseurs, et il leur enverra un libérateur, et un grand personnage qui les délivrera.
21 Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
Et l'Eternel se fera connaître à l'Egypte; et en ce jour-là l'Egypte connaîtra l'Eternel, et le servira, offrant des sacrifices et des gâteaux, et elle vouera des vœux à l'Eternel, et les accomplira.
22 Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
L'Eternel donc frappera les Egyptiens, les frappant et les guérissant, et ils retourneront jusques à l'Eternel, qui sera fléchi par leurs prières, et les guérira.
23 Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
En ce jour-là il y aura un chemin battu de l'Egypte en Assyrie; et l'Assyrie viendra en Egypte, et l'Egypte en Assyrie, et l'Egypte servira avec l'Assyrie.
24 Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
En ce jour-là Israël sera [joint] pour [la] troisième [partie] à l'Egypte et à l'Assyrie, et la bénédiction sera au milieu de la terre.
25 Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.
Ce que l'Eternel des armées bénira, en disant: Bénie soit l'Egypte mon peuple; et [bénie soit] l'Assyrie l'ouvrage de mes mains; et Israël mon héritage.

< Isaya 19 >