< Isaya 19 >
1 Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
Le fardeau de l'Égypte. « Voici que Yahvé monte sur une nuée rapide, et il vient en Égypte. Les idoles de l'Égypte trembleront en sa présence, et le cœur de l'Égypte se fondra en lui.
2 Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
J'exciterai les Égyptiens contre les Égyptiens, et ils se battront chacun contre son frère, chacun contre son voisin, ville contre ville, et royaume contre royaume.
3 Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
L'esprit des Égyptiens s'affaiblira au dedans d'eux. Je détruirai leur conseil. Ils chercheront les idoles, les enchanteurs, ceux qui ont des esprits familiers, et les magiciens.
4 Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
Je livrerai les Égyptiens entre les mains d'un seigneur cruel. Un roi féroce dominera sur eux, dit le Seigneur, Yahvé des Armées.
5 Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
Les eaux de la mer disparaîtront, et le fleuve sera épuisé et desséché.
6 Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
Les fleuves deviendront infects. Les ruisseaux d'Égypte diminueront et se dessécheront. Les roseaux et les drapeaux se dessécheront.
7 Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
Les prairies sur le Nil, sur le bord du Nil, et tous les champs ensemencés sur le Nil, se dessèchent, sont chassés, et ne sont plus.
8 Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
Les pêcheurs se lamenteront, et tous ceux qui pêchent dans le Nil se lamenteront, et ceux qui étendent les filets sur les eaux se languiront.
9 Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
Et ceux qui travaillent le lin peigné, et ceux qui tissent des étoffes blanches, seront confus.
10 Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
Les piliers seront brisés en morceaux. Tous ceux qui travaillent à gages auront l'âme affligée.
11 Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
Les princes de Tsoan sont complètement stupides. Le conseil des plus sages conseillers de Pharaon est devenu stupide. Comment peux-tu dire à Pharaon: « Je suis le fils des sages, le fils des anciens rois »?
12 ''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
Où sont donc tes sages? Qu'ils te le disent maintenant, et qu'ils sachent ce que l'Éternel des armées a décidé pour l'Égypte.
13 Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
Les princes de Tsoan sont devenus des insensés. Les princes de Memphis ont été trompés. Ils ont égaré l'Égypte, eux qui sont la pierre angulaire de ses tribus.
14 Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
L'Éternel a mêlé au milieu d'elle un esprit de perversité; ils ont égaré l'Égypte dans toutes ses œuvres, comme un homme ivre titube dans son vomissement.
15 Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
Il n'y aura plus pour l'Égypte d'ouvrage que tête ou queue, branche de palmier ou jonc, puisse faire.
16 Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
En ce jour-là, les Égyptiens seront comme des femmes. Ils trembleront et auront peur à cause de l'agitation de la main de l'Éternel des armées, qu'il secoue sur eux.
17 Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
Le pays de Juda deviendra une terreur pour l'Égypte. Tous ceux à qui on en parlera seront effrayés, à cause des projets de l'Éternel des armées, qu'il forme contre lui.
18 Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
En ce jour-là, il y aura au pays d'Égypte cinq villes qui parleront la langue de Canaan et qui jureront devant l'Éternel des armées. L'une d'elles sera appelée « la ville de la destruction ».
19 Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
En ce jour-là, il y aura un autel à Yahvé au milieu du pays d'Égypte, et une colonne à Yahvé à sa frontière.
20 Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
Ce sera un signe et un témoignage pour l'Éternel des armées dans le pays d'Égypte; car ils crieront à l'Éternel à cause des oppresseurs, et il leur enverra un sauveur et un défenseur, et il les délivrera.
21 Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
Yahvé sera connu de l'Égypte, et les Égyptiens connaîtront Yahvé en ce jour-là. Oui, ils se prosterneront avec des sacrifices et des offrandes, ils feront un vœu à Yahvé et l'accompliront.
22 Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
Yahvé frappera l'Égypte, il la frappera et la guérira. Ils reviendront à Yahvé, qui sera imploré par eux et les guérira.
23 Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
En ce jour-là, il y aura une route de l'Égypte vers l'Assyrie; l'Assyrien entrera en Égypte, et l'Égyptien en Assyrie; et les Égyptiens se prosterneront avec les Assyriens.
24 Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
En ce jour-là, Israël sera le troisième avec l'Égypte et avec l'Assyrie, une bénédiction sur la terre;
25 Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.
car l'Éternel des armées les a bénis, en disant: « Bénis soient l'Égypte, mon peuple, l'Assyrie, l'ouvrage de mes mains, et Israël, mon héritage. »