< Isaya 19 >

1 Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
[I received] this message [from Yahweh] about Egypt: “Listen to this! I, Yahweh, am coming to Egypt, riding on a fast-moving cloud. The idols in Egypt will tremble when [I appear], and the people of Egypt will be extremely afraid [IDM].
2 Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
I will cause the people of Egypt to fight against each other: men will fight against their brothers, neighbors will fight against each other, people of one city will fight against the people of another city, people of one province will fight against the people of another province.
3 Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
The people of Egypt will become very discouraged, and I will cause their plans not to be successful. They will plead with idols and sorcerers and those who talk with spirits of dead people to tell them what they should do.
4 Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
Then I will enable someone who will treat them very cruelly to become their king [DOU].” That is what I, the Commander of the armies of angels, say.
5 Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
[Some day] the water in the [Nile] River will dry up, and the riverbed will become very dry [DOU].
6 Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
The branches of the river will all dry up [DOU] The canals along the river will stink because of the rotting reeds and (bulrushes/tall grass).
7 Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
All the plants along the river and all the crops will dry up; then they will blow away and disappear.
8 Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
The fishermen will throw into the river lines with hooks on them and nets, and then they will groan and be very discouraged; they will be sad [because there will be no fish in the river].
9 Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
Those who weave cloth from flax will not know what to do, because there will be no thread for them to weave.
10 Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
They will all despair and be very discouraged.
11 Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
The officials in Zoan [city in northern Egypt] are foolish. The advice that they gave to the king was worthless. Why do they continue to tell the king that they are wise, that they are descendants of wise kings who lived long ago [RHQ]?
12 ''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
King, (where are your wise counselors now?/You have no wise counselors now!) [RHQ] If you had any wise counselors, they could tell you what the Commander of the armies of angels has planned to do to Egypt [SAR]!
13 Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
[Yes], the officials of Zoan have become foolish, and the leaders in Memphis [city in northern Egypt] have deceived themselves. [All] leaders of the people have (caused their people to do wrong things/led their people astray).
14 Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
Yahweh has caused them to be very foolish, with the result that in everything that they do, [it is as though the people of] Egypt stagger like [SIM] a drunken person staggers [and slips] in his own vomit.
15 Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
There is no one in Egypt, rich or poor, important or unimportant, [who will be able to help them].
16 Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
At that time, the people of Egypt will be [as helpless] as [SIM] women. They will tremble, being terrified [because they know that] the Commander of the armies of angels has raised his fist, [ready to strike/punish them].
17 Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
The people of Egypt will be afraid of the people of Judah, and anyone who mentions Judah to them will cause them to be terrified, because [that will remind them] of what Yahweh, the Commander of the armies of angels, is planning to do to them.
18 Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
At that time, [people in] five cities in Egypt will solemnly declare that they will serve Yahweh. They will [learn to] speak the Hebrew language. One of those cities will be called ‘City of the Sun’.
19 Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
At that time, there will be an altar for worshiping Yahweh in the center of Egypt, and there will be a (pillar/large rock) to honor Yahweh at the border [between Egypt and Israel].
20 Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
That will be a sign to indicate that the Commander of the armies of angels is worshiped in the land of Egypt. And when the people cry out to Yahweh to help them because others are (oppressing them/causing them to suffer), he will send to them someone who will defend and rescue them.
21 Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
Yahweh will enable the people of Egypt to know who he is, and at that time they will have a close relationship with Yahweh and worship him and bring to him offerings of grain and other sacrifices. They will solemnly promise to do things for Yahweh, and they will do what they promise.
22 Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
After Yahweh has punished Egypt, he will cause their troubles to end. The people of Egypt will turn to Yahweh, and he will listen when they plead to him [for help], and he will cause their troubles to cease.
23 Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
At that time, there will be a highway between Egypt and Assyria. [As a result], the people of Egypt will [be able to] travel [easily] to Assyria, and the people of Assyria [will be able to travel easily] to Egypt. And the people of both countries will worship [Yahweh].
24 Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
And Israel will be their ally. All three nations will be [friendly to] each other, and the people of Israel will be a blessing to the people of the entire world.
25 Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.
The Commander of the armies of angels will bless them, saying, “[You people of] Egypt are now my people. You people of Assyria, I have established your country. You people of Israel are the people whom I have chosen to belong to me.”

< Isaya 19 >