< Isaya 19 >

1 Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
oracle Egypt behold LORD to ride upon cloud swift and to come (in): come Egypt and to shake idol Egypt from face his and heart Egypt to melt in/on/with entrails: among his
2 Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
and to cover Egypt in/on/with Egypt and to fight man: anyone in/on/with brother: compatriot his and man: anyone in/on/with neighbor his city in/on/with city kingdom in/on/with kingdom
3 Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
and to empty spirit Egypt in/on/with entrails: among his and counsel his to swallow up and to seek to(wards) [the] idol and to(wards) [the] mutterer and to(wards) [the] medium and to(wards) [the] spiritist
4 Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
and to stop [obj] Egypt in/on/with hand lord severe and king strong to rule in/on/with them utterance [the] lord LORD Hosts
5 Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
and be dry water from [the] sea and river to dry and to wither
6 Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
and to stink river to languish and to dry Nile Egypt branch: stem and reed to decay
7 Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
bulrush upon Nile upon lip: edge Nile and all sowing Nile to wither to drive and nothing he
8 Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
and to lament [the] fisher and to mourn all to throw in/on/with Nile hook and to spread net upon face: surface water to weaken
9 Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
and be ashamed to serve: labour flax combed and to weave white cloth
10 Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
and to be foundation her to crush all to make: do hire grieved soul
11 Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
surely fool(ish) ruler Zoan wise counsel Pharaoh counsel be brutish how? to say to(wards) Pharaoh son: child wise I son: child king front: old
12 ''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
where? they then wise your and to tell please to/for you and to know what? to advise LORD Hosts upon Egypt
13 Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
be foolish ruler Zoan to deceive ruler Memphis to go astray [obj] Egypt corner tribe her
14 Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
LORD to mix in/on/with entrails: among her spirit distortion and to go astray [obj] Egypt in/on/with all deed his like/as to go astray drunken in/on/with vomit his
15 Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
and not to be to/for Egypt deed which to make: do head and tail branch and bulrush
16 Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
in/on/with day [the] he/she/it to be Egypt like/as woman and to tremble and to dread from face of wave offering hand LORD Hosts which he/she/it to wave upon him
17 Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
and to be land: soil Judah to/for Egypt to/for terror all which to remember [obj] her to(wards) him to dread from face: because counsel LORD Hosts which he/she/it to advise upon him
18 Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
in/on/with day [the] he/she/it to be five city in/on/with land: country/planet Egypt to speak: speak lip: language Canaan and to swear to/for LORD Hosts City (of On) [the] (City of) Destruction to say to/for one
19 Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
in/on/with day [the] he/she/it to be altar to/for LORD in/on/with midst land: country/planet Egypt and pillar beside border: boundary her to/for LORD
20 Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
and to be to/for sign: miraculous and to/for witness to/for LORD Hosts in/on/with land: country/planet Egypt for to cry to(wards) LORD from face: because to oppress and to send: depart to/for them to save and to contend and to rescue them
21 Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
and to know LORD to/for Egypt and to know Egypt [obj] LORD in/on/with day [the] he/she/it and to serve: minister sacrifice and offering and to vow vow to/for LORD and to complete
22 Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
and to strike LORD [obj] Egypt to strike and to heal and to return: repent till LORD and to pray to/for them and to heal them
23 Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
in/on/with day [the] he/she/it to be highway from Egypt Assyria [to] and to come (in): come Assyria in/on/with Egypt and Egypt in/on/with Assyria and to serve: minister Egypt [obj] Assyria
24 Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
in/on/with day [the] he/she/it to be Israel third to/for Egypt and to/for Assyria blessing in/on/with entrails: among [the] land: country/planet
25 Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.
which to bless him LORD Hosts to/for to say to bless people my Egypt and deed: work hand my Assyria and inheritance my Israel

< Isaya 19 >