< Isaya 19 >
1 Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
The oracle on Egypt: Lo! Yahweh, riding upon a swift cloud, and he will enter Egypt, And the idols of Egypt shall shake at his presence, And, the heart of Egypt, shall melt within him;
2 Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
And I will stir up Egyptians against Egyptians, And they shall fight—Every one against his brother and Every one against his neighbour, —City against city, and Kingdom against kingdom.
3 Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
And the spirit of Egypt, shall vanish, within them, Yea the sagacity thereof, will I swallow up, —And they will seek Unto the idols and Unto them that mutter, and Unto them that have familiar spirits, and Unto the wizards;
4 Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
And I will deliver the Egyptians into the hand of a cruel lord, —And a fierce king shall rule over them, Declareth the Lord, Yahweh of hosts.
5 Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
And the waters shall be dried up from the great stream, —And the River, shall waste and be dry;
6 Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
And rivers, shall stink, The canals of Egypt be shallow and waste, Reed and rush, be withered;
7 Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
The meadows by the Nile, by the mouth of the Nile. And all that is sown in the Nile, Shall be dry, driven away, and not be!
8 Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
Then shall the fishers, lament, And all shall mourn who cast in the Nile a hook, —And they who spread nets on the face of the waters shall languish;
9 Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
Then shall turn pale The workers in combed flax, —and The weavers of white linen;
10 Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
Then shall her pillars be crushed, —All who make wages, be bowed down in soul.
11 Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
Surely, foolish, are the princes of Zoan, the wisest counsellors of Pharaoh, in counsel are brutish, —How can ye say unto Pharaoh, Son of the wise, am I Son of the kings of olden time?
12 ''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
Where then are thy wise men? Pray let them tell thee! And let them know what Yahweh of hosts hath purposed on Egypt!
13 Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
Doting are the princes of Zoan, Deceived are the princes of Noph: They who are the corner-stone of her tribes, have led Egypt astray.
14 Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
Yahweh, hath infused in her midst, a spirit of perverseness, —And they have led Egypt astray into all his own doings, As a drunken man staggereth into his own vomit;
15 Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
And Egypt shall have nothing which can be done, Which head or tail, palm-top or rush, can do!
16 Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
In that day, shall Egypt be like unto women, —And shall start and tremble because of the brandishing of the hand of Yahweh of hosts, which he is about to brandish over it.
17 Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
Then shall the soil of Judah become, to Egypt, a terror; Every one to whom it is mentioned, will tremble, —Because of the purpose of Yahweh of hosts, which he is purposing against it.
18 Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
In that day, shall there be five cities in the land of Egypt Speaking the language of Canaan, And swearing unto Yahweh of hosts, —The city of destruction, shall be the name of one!
19 Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
In that day, shall there be An altar unto Yahweh, in the midst of the land of Egypt, —And a pillar near the boundary thereof unto Yahweh;
20 Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
And it shall become a sign and a witness unto Yahweh of hosts in the land of Egypt, —For they will make outcry unto Yahweh, because of oppressors, That he would send them a saviour—and a great one Then will he deliver them.
21 Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
Then will, Yahweh, make himself known, to the Egyptians, So shall the Egyptians know, Yahweh, in that day, —And they will offer a sacrifice and a present And will vow a vow unto Yahweh and will perform.
22 Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
And Yahweh, will plague Egypt, plague and heal, —And they will turn unto Yahweh And he will be entreated of them and will heal them.
23 Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
In that day, shall there be a highway. from Egypt to Assyria, And, the Assyrians, shall come into Egypt, And, the Egyptians, into Assyria; And, the Egyptians shall serve, with the Assyrians.
24 Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
In that day, shall, Israel, be, a third, with Egypt and with Assyria, —A blessing in the midst of the earth:
25 Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.
Whom Yahweh of hosts hath blessed saying, —Blessed, be My people—the Egyptians, And the work of my hands—the Assyrians, And mine own inheritance—Israel.