< Isaya 19 >
1 Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
The burden of Egypt. Behold, Jehovah rides upon a swift cloud, and comes to Egypt. And the idols of Egypt shall tremble at his presence, and the heart of Egypt shall melt in the midst of it.
2 Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
And I will stir up the Egyptians against the Egyptians, and they shall fight each one against his brother, and each one against his neighbor, city against city, kingdom against kingdom.
3 Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
And the spirit of Egypt shall fail in the midst of it, and I will destroy the counsel of it. And they shall seek for the idols, and for the charmers, and for those who have familiar spirits, and for the wizards.
4 Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
And I will give over the Egyptians into the hand of a cruel lord. And a fierce king shall rule over them, says the Lord, Jehovah of hosts.
5 Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
And the waters shall fail from the sea, and the river shall be wasted and become dry.
6 Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
And the rivers shall become foul. The streams of Egypt shall be diminished and dried up. The reeds and flags shall wither away.
7 Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
The meadows by the Nile, by the brink of the Nile, and all the sown fields of the Nile, shall become dry, be driven away, and be no more.
8 Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
And the fishermen shall lament, and all those who cast a hook into the Nile shall mourn, and those who spread nets upon the waters shall languish.
9 Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
Moreover those who work in combed flax, and those who weave white cloth, shall be confounded.
10 Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
And the pillars of Egypt shall be broken in pieces. All those who work for hire shall be grieved in soul.
11 Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
The rulers of Zoan are utterly foolish. The counsel of the wisest counselors of Pharaoh has become brutish. How will ye say to Pharaoh, I am the son of wise men, the son of ancient kings?
12 ''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
Where then are thy wise men? And let them tell thee now, and let them know what Jehovah of hosts has purposed concerning Egypt.
13 Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
The rulers of Zoan have become fools. The rulers of Memphis are deceived. They have caused Egypt to go astray, the chief of her tribes.
14 Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
Jehovah has mingled a spirit of perverseness in the midst of her, and they have caused Egypt to go astray in every work of it, as a drunken man staggers in his vomit.
15 Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
Neither shall there be for Egypt any work, which head or tail, palm-branch or rush, may do.
16 Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
In that day the Egyptians shall be like women, and they shall tremble and fear because of the shaking of the hand of Jehovah of hosts, which he shakes over them.
17 Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
And the land of Judah shall become a terror to Egypt. Everyone to whom mention is made of it shall be afraid because of the purpose of Jehovah of hosts, which he purposes against it.
18 Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
In that day there shall be five cities in the land of Egypt that speak the language of Canaan, and swear to Jehovah of hosts. One shall be called The city of destruction.
19 Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
In that day shall there be an altar to Jehovah in the midst of the land of Egypt, and a pillar to Jehovah at the border of it.
20 Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
And it shall be for a sign and for a witness to Jehovah of hosts in the land of Egypt. For they shall cry to Jehovah because of oppressors, and he will send them a savior, and a defender, and he will deliver them.
21 Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
And Jehovah shall be known to Egypt, and the Egyptians shall know Jehovah in that day. Yea, they shall worship with sacrifice and oblation, and shall vow a vow to Jehovah, and shall perform it.
22 Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
And Jehovah will smite Egypt, smiting and healing, and they shall return to Jehovah. And he will be entreated by them, and will heal them.
23 Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
In that day there shall be a highway out of Egypt to Assyria. And the Assyrian shall come into Egypt, and the Egyptian into Assyria, and the Egyptians shall worship with the Assyrians.
24 Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
In that day Israel shall be the third with Egypt and with Assyria, a blessing in the midst of the earth,
25 Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.
in that Jehovah of hosts has blessed them, saying, Blessed be Egypt my people, and Assyria the work of my hands, and Israel my inheritance.