< Isaya 18 >

1 Ole kwa nchi ya wezi wa mabawa, iliyoko mbali kupitia mito ya Ethiopia;
وای بر زمینی که در آن آواز بالها است که به آن طرف نهرهای کوش می‌باشد.۱
2 wanowatuma mabalozi wao kwa kupitia bahari, na vyombo vya majani juu ya maji. Nendeni enyi wajumbe wepesi, kwa watu warefu na laini waishio kwenye nchi, kwa watu wanogopa mbali na karibu, taifa lenye nguvu, wakanyagao watu, ambao mito imegawanya nchi yao.
و ایلچیان به دریا و در کشتیهای بردی بر روی آبها می‌فرستد و می‌گوید: ای رسولان تیزروبروید نزد امت بلند قد و براق، نزد قومی که ازابتدایش تا کنون مهیب بوده‌اند یعنی امت زورآورو پایمال کننده که نهرها زمین ایشان را تقسیم می‌کند.۲
3 Watu wote wakaao duniani nao wakaao katika nchi, pale ishara itakaponyanyuliwa juu ya milima, angalia; na sikilizeni mbiu itakapopulizwa.
‌ای تمامی ساکنان ربع مسکون و سکنه جهان، چون علمی بر کوهها بلند گردد بنگرید وچون کرنا نواخته شود بشنوید.۳
4 Yahwe asema hivi, ''nitachunguza kimyakimya kutoka nyumbani kwangu, kama kupika joto kwenye jua, na kama ukungu kwenye joto la mavuno.
زیرا خداوند به من چنین گفته است که من خواهم آرامید و ازمکان خود نظر خواهم نمود. مثل گرمای صاف برنباتات و مثل ابر شبنم دار در حرارت حصاد.۴
5 Kabla ya mavuno, pale kipindi cha maua kinapoisha, na maua yako tayari kuwa zabibu. Atakata matawi kwa kupogoa ndoano, na atakatiwa chini na kuchukua matawi yaliyotawanyika.
زیرا قبل از حصاد وقتی که شکوفه تمام شود وگل به انگور رسیده، مبدل گردد او شاخه‌ها را بااره‌ها خواهد برید و نهالها را بریده دور خواهدافکند.۵
6 Wataachwa kwa pamoja maana ndege wa milimani na wanyama wa duniani. Ndege watatua kwao majira ya joto, na wanyama wote watakuwa kwao kipindi cha baridi.''
و همه برای مرغان شکاری کوهها ووحوش زمین واگذاشته خواهد شد. و مرغان شکاری تابستان را بر آنها بسر خواهند برد وجمیع وحوش زمین زمستان را بر آنها خواهندگذرانید.۶
7 Kwa mda huo kodi italetwa kwa Yahwe wa majeshi kwa watu warefu na laini, kwa watu wanohofia umbali na ukaribu, taifa imara na kukanyagwa chini, ambayo nchi yao imegawanjwa na mito, Kwa sehemu ya jina la Yahwe wa majeshi, mpaka mlima Sayuni.
و در آن زمان هدیه‌ای برای یهوه صبایوت از قوم بلند قد و براق و از قومی که ازابتدایش تا کنون مهیب است و از امتی زورآور وپایمال کننده که نهرها زمین ایشان را تقسیم می‌کند به مکان اسم یهوه صبایوت یعنی به کوه صهیون آورده خواهد شد.۷

< Isaya 18 >