< Isaya 18 >

1 Ole kwa nchi ya wezi wa mabawa, iliyoko mbali kupitia mito ya Ethiopia;
Ak vai, zeme, kur spārni žvingst, viņpus Kūsa upēm;
2 wanowatuma mabalozi wao kwa kupitia bahari, na vyombo vya majani juu ya maji. Nendeni enyi wajumbe wepesi, kwa watu warefu na laini waishio kwenye nchi, kwa watu wanogopa mbali na karibu, taifa lenye nguvu, wakanyagao watu, ambao mito imegawanya nchi yao.
Tā sūta vēstnešus pār jūru un niedru laivās pār ūdeņiem. Ejat, jūs čaklie vēstneši, pie tautas, kas bijājama tālu tālu, pie tautas, kas pavēlētāja un saminēja, kam upes zemi dala.
3 Watu wote wakaao duniani nao wakaao katika nchi, pale ishara itakaponyanyuliwa juu ya milima, angalia; na sikilizeni mbiu itakapopulizwa.
Visi jūs pasaules iedzīvotāji un jūs ļaudis virs zemes, kad karogs taps izcelts kalnos, tad redziet, un kad trumete skanēs, tad dzirdiet!
4 Yahwe asema hivi, ''nitachunguza kimyakimya kutoka nyumbani kwangu, kama kupika joto kwenye jua, na kama ukungu kwenye joto la mavuno.
Jo tā Tas Kungs uz mani sacījis: “Es turēšos klusu un skatīšos no Sava mājokļa, kā karstums spiež saulei spīdot un padebesis raso pļaujama laika karstumā.”
5 Kabla ya mavuno, pale kipindi cha maua kinapoisha, na maua yako tayari kuwa zabibu. Atakata matawi kwa kupogoa ndoano, na atakatiwa chini na kuchukua matawi yaliyotawanyika.
Jo priekš pašas pļaujas, kad ziedi noziedējuši un kad no ziediem ķekari jau ietekās, tad Viņš stīgas nogriezīs ar dārza nazi un zarus atņems un nokapās.
6 Wataachwa kwa pamoja maana ndege wa milimani na wanyama wa duniani. Ndege watatua kwao majira ya joto, na wanyama wote watakuwa kwao kipindi cha baridi.''
Tie visi taps atstāti kalnu ērgļiem un zemes zvēriem, un tie ērgļi tur paliek pa vasaru un visi zemes zvēri tur mīt pa ziemu.
7 Kwa mda huo kodi italetwa kwa Yahwe wa majeshi kwa watu warefu na laini, kwa watu wanohofia umbali na ukaribu, taifa imara na kukanyagwa chini, ambayo nchi yao imegawanjwa na mito, Kwa sehemu ya jina la Yahwe wa majeshi, mpaka mlima Sayuni.
Tanī laikā Tam Kungam Cebaot nesīs dāvanas no tās tautas, kas lielu slaiku augumu, un no tās tautas, kas bijājama tālu tālu, no tās tautas, kas pavēlētāja un saminēja, kam upes zemi dala, uz to vietu, kur Tā Kunga Cebaot vārds, uz Ciānas kalnu.

< Isaya 18 >